Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
17 tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
17 tu
Amen....atasikia hitaji lako..kuwa makini tunakupenda badkDah! Mimi nimeanza kuishi kwa hofu kweli kweli! Maana safari za lazima wakati fulani haziniishi. Mungu aniepushie mbali hili janga.
Inshallah! 😷
Waislam viongozi wa din wameondoka wa tano mbaka sasa ingawa mi sio muislam,kuna mashehe wawili walipostiwa na mboni siwajui akaja kilemile,na huyo mjeshi wanadai naye ni ustadh na kisha huyu matataNaon
a sasa Israeli anataka Kubalansi baada ya Kutuchukulia Wakristo Wawili sasa
amewachukua Waislamu Wawili nao pia.
Mkinyamaza/Mkisema wembe uleule mkimbie msikimbie wembe uleule, muwatukane/ msiwatukane CHADEMA wembe uleule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar inaogopesha sana kwenye mazishi ya yule shehe kilemile watu kibao hawajui ni hatari zaidi waacha wajipakae coronaNinawaza tu huko m
agerezani wanakolala mchongoma watakua wanazikwa kama mbwa. Wale wa Unonio
tuliwaona kwa bahati.
Saa hizi Ni mwizi anafukuzwa kimya kimya,na hii Ni mbaya sana,,Jamani jamani! This is too much now! Nani sasa aliye salama kwa speed hii? RIP Sheikh!
... Usishangae baadhi ya id's humu zikianza kuwa silent. Hali ni mbaya mno.
Mask hapana kuacha unapotoka,hata Kama unayo chunga umbali wako na watu,,mikono kunawa muhimuDah! Mimi nimeanza kuishi kwa hofu kweli kweli! Maana safari za lazima wakati fulani haziniishi. Mungu aniepushie mbali hili janga.
Inshallah! 😷
Kwa huyo marehemu sijui,,,ila corona Ni cardiovascular system disease,siyo RespiratoryRespiratory system complications!!
No lokudauni!