TANZIA Sheikh Hamis Matata afariki dunia

Waislam viongozi wa din wameondoka wa tano mbaka sasa ingawa mi sio muislam,kuna mashehe wawili walipostiwa na mboni siwajui akaja kilemile,na huyo mjeshi wanadai naye ni ustadh na kisha huyu matata

Kwahiyo mpaka sasa Matokeo kati ya Waislamu na Wakristo wa nchini Tanzania ni 5-2 Ndugu yangu au? Nifafanulie hili nijue.
 

Sheikh Othman Matata (RIP) akionesha umahiri wake wa lugha

 
Inna li Llahi wa
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
 
Hatukatai mdada ila wanaema ukiwa na complications za kiafya Corona anakua deadly finisher.Mungu ndie mjuzi wa kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna Corona.
Babu alikuwa anaumwa sana.
Mjukuu wake alikuwa anapost sana fb kuwa babu anaumwa sana.
Haihusiani kabisa na corona

mama wawili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…