Sheikh Hamisi Mataka: Nilivyokoseshwa elimu ya Sekondari

Sheikh Hamisi Mataka: Nilivyokoseshwa elimu ya Sekondari

Mzee wangu sioni ajabu mwanzfunzi kutokuchaguliwa japo alikuwa anaongoza darasani.
Siku hazifanani na huwezi kufanya vizuri kila siku.
Je hata alifanya vibaya siku ya mtihani wa mwisho achaguliwe?
Binafsi nimeona wanafunzi wengi walioongoza kuanzia la kwanza hadi la 7 hawakuchaguliwa bali ambao walifanya vizuri wastani wakachaguliwa mtihani wa mwisho.
Mmoja wapo ni mm nilipqta kuongoza darasa kuanzia darasa la 3 mpaka la saba ila sikuchaguliwa walichaguĺa wezangu
 
Uongo siyo Mzuri hata kidogo Ndugu yangu................mimi ni mwenye asili ya Kilwa na nimesomea huko shule ya msingi......Mzazi wangu ''Mungu ampunguzie Adhabu za Kabri'' Alinibadilisha Jina na kunipa jina la KIBANTU ili kuficha UISLAM wetu na hatimae nilipofika form 6 nilikuwa tunafuga Nguruwe.......yote hiyo ni kutaka kujua Mtu ana DINI gani........!!!!????? nimeshika mpaka Chetezo la Ubani KANISANI siku ya misa kama Mtoto wa kanisa la RC............!!!
Sasa mkuu ww hapo unalalama nn kama umesoma shule za Catholic si lazima ufuate sheria zao, mbona tuliosoma shule za kiislam tulifuata sheria japo nilisoma kwa kipindi kifupi
Na silalalmiki
 
Kuna kipindi waislam tulipata shida sana kielimu,yaani ilikua ni marufuku kufaulu,sitaki hata kukumbuka aiee
 
Kuna kipindi waislam tulipata shida sana kielimu,yaani ilikua ni marufuku kufaulu,sitaki hata kukumbuka aiee
uongo ni dhambi, Mohamed said mzee kuliko wewe mbona alifaulu na kufika chuo kikuu ili hali ni muislam?
 
Mzee Mohammed Said,Asalaam Aleykum!
Lengo la mada yako haswa ni nini?
Ni waislamu kunyimwa kuendelea na elimu ya sekondari kutokana na dini yao?
ama ni
Kuungaunga elimu sio tatizo kwa maana walioungaunga na waliounganisha elimu moja kwa moja mnakuja kupanga foleni moja kwenye kutunukiwa vyeti?

Kama lengo ni hilo la pili ninakuunga mkono sana na niwatie shime wale wanaoungaunga elimu kuwa malengo yao yatafanikiwa,hakuna kukata tamaa.
Maprofesa wengi wa zamani ninaowafahamu hasa wa udsm ni miongoni mwa wengi waliopitia njia ndefu hadi hapo walipo.

Kama lengo lako ni hilo la kwanza ,nachelea kusema haupo sahihi.
Acha kuwa miongoni mwa wanaolialia bure ama kwa kutaka kueta uchochezi wa kidini.
Ungetuambia wale wote waliopitwa na Shehe Mataka na wakaenda sekondari hawakuwepo waislamu?
Unaweza kututhibitishia haya ama ni stori tu za kuchochea moto?
Acha kulia lia shehe wangu
 
Mag3,
Sheikh Hamisi Mataka
alianza shule ya msingi akiwa na miaka 11.
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere alianza shule ya msingi 1934 akiwa na miaka 12.

Usikae kimya nitafurahi kama ukirejea Majlis na kuzungumza.
Sheikh Mataka alianza darasa la kwanza mwaka gani?
 
nakumbuka babu yangu ilibidi abadili jina kutoka athumani hadi joseph ili tu aweze kupangwa shule kwa kipindi hicho nyingi zikimilikiwa na wamisionari,

bila good enough alibadili jina ila imani yake haikutetereka R.I.P babu
safi sana...hv kwa nn alihangaika kubadili dini na kusoma kwenye shule za Kikristo,si angesoma kwenye shule za dini yake,au hazikuwepo?
 
Mzee Mohammed Said,Asalaam Aleykum!
Lengo la mada yako haswa ni nini?
Ni waislamu kunyimwa kuendelea na elimu ya sekondari kutokana na dini yao?
ama ni
Kuungaunga elimu sio tatizo kwa maana walioungaunga na waliounganisha elimu moja kwa moja mnakuja kupanga foleni moja kwenye kutunukiwa vyeti?

Kama lengo ni hilo la pili ninakuunga mkono sana na niwatie shime wale wanaoungaunga elimu kuwa malengo yao yatafanikiwa,hakuna kukata tamaa.
Maprofesa wengi wa zamani ninaowafahamu hasa wa udsm ni miongoni mwa wengi waliopitia njia ndefu hadi hapo walipo.

Kama lengo lako ni hilo la kwanza ,nachelea kusema haupo sahihi.
Acha kuwa miongoni mwa wanaolialia bure ama kwa kutaka kueta uchochezi wa kidini.
Ungetuambia wale wote waliopitwa na Shehe Mataka na wakaenda sekondari hawakuwepo waislamu?
Unaweza kututhibitishia haya ama ni stori tu za kuchochea moto?
Acha kulia lia shehe wangu
Kipuyo,
Mimi si mtu wa kulia.

Mimi ninapoona jambo haliko sawa nafanya utafiti kisha naandika.

Nilipoona historia ya TANU imevurugwa kwa makusudi nimeiandika upya na kitabu kipo toleo la nne.

Ningejishika kichwa kulia bado tungebaki historia ile ile ya Chuo Cha Kivukoni.
 
Sasa mkuu ww hapo unalalama nn kama umesoma shule za Catholic si lazima ufuate sheria zao, mbona tuliosoma shule za kiislam tulifuata sheria japo nilisoma kwa kipindi kifupi
Na silalalmiki
Hapa hatuandiki tu kufurahisha watu au Kupump post za watu Please hebu chukua MAUDHUI ya Post then njoo ulete mchango wako..........Eboooooooooo...........!!!! Tusichoshane Asubuhi hiii.....!!!!
 
So what is the point here? Wangapi wamechaguliwa ufundi mwaka huo? Je alikua pekeyake? Pass zake za darasa la saba zilikua ngapi??

mi nataka kumwambia anajua kuwa darasa la saba unachaguliwa, maana yake ni kuwa kama mmefaulu 100 na nafasi zipo 50 then unapita mstari pale kwenye watu 50 tu, ikitokea second selection then wale waliobak wanachukulia.

na nahis wanapanga aidha kwa alphabet au ufaulu. so kama ufaulu kwa mfano ni kuanzia 70% basi kama hao waliopata 70% wako 60 na nafasi ni 50 maana yake kuna kumi watabaki hawajachaguliwa ila wamefaulu ndo maana kulikuwa na shida ya waliofaulu kukosa nafas sababu uhitaj mkubwa kuliko shule zilizopo... zikipatikana bas inatokea second selection

so kama analalamika hakuchaguliwa inawezekana kuwa mstari ulipita katika idad ya waliohitajika na yeye hakuwemo.. kuhusu huyo mwalimu wake kumwambia haweza faulu sababu ya dini, may be it was just coincidence kuwa maneno yake yameakis kilichotokea

hayo ni mawazo yangu, nakaribisha kusahihishwa
 
Elgibo,
Kwanza, darasa la saba hakukuwa na kufaulu na matokeo hayakuwa
yakiwekwa hadharani kama ilivyo sasa.

Paliambiwa kuwa wanaofaulu ni wengi lakini nafasi za sekondari ni
chache na zinagawanywa kwa uwiano wa kitaifa.

Hivyo, kulikuwa na kuchaguliwa na si kufaulu Mtihani wa Darasa la Saba. Baada ya mtihani uchaguzi wa wanafunzi uliwapeleka Sekondari, Ufundi na Ualimu (UPE).
Mzee Mohamedi Elgibo hataja ufaulu bali kuchaguliwa. Tangu awali kulikuwa na kuchaguliwa kutokana na uhaba wa sekondari, pamoja na kuchaguliwa huko lazima kigezo cha nani kimzidi mwenziwe kilitumika
 
Nilipoona historia ya TANU imevurugwa kwa makusudi nimeiandika upya na kitabu kipo toleo la nne.
Bahati mbaya historia zako hazitumiki mahali popote palipo rasmi (official). Historia rasmi inayotumika na inayofundishwa ni ya Mwalimu Nyerere (Mkristu Mkatoliki) kuongoza harakati za kutafuta uhuru wa Tanganyika, hao wengine wala huwa hawauliziwi
 
Huyu mzee akapimwe akili

Kumbe amesoma qt ndio mana kichwa kimejaa uchafu wa chuki
 
Kipuyo,
Mimi si mtu wa kulia.

Mimi ninapoona jambo haliko sawa nafanya utafiti kisha naandika.

Nilipoona historia ya TANU imevurugwa kwa makusudi nimeiandika upya na kitabu kipo toleo la nne.

Ningejishika kichwa kulia bado tungebaki historia ile ile ya Chuo Cha Kivukoni.
uko sawa bro kuandika historia kwa usahihi, lakini hili la waislam kudhulumiwa siliungi mkono kabisa mikoa ya pwani na kusini alama za ufaulu zilkuwa chini makusudi hata hivyo imesaidia kidogo sana,tabia za watu wa pwani tamaduni zao na dini yao ilikuwa tatizo kufuata hiyo inayoitwa elimu dunia hata hivyo wenye bidii kama ww kaka mo'hd waliweza kufika mbali,ndiyo maana hata ww hukutumia jina la bandia (kikristo) ilikufaulu,kitu kingine Nyerere alitaifisha shule za misheni ili ziwe za serikali,raia wote wapate nafasi zisizo na masharti kama ya shule za misheni.
 
Uongo siyo Mzuri hata kidogo Ndugu yangu................mimi ni mwenye asili ya Kilwa na nimesomea huko shule ya msingi......Mzazi wangu ''Mungu ampunguzie Adhabu za Kabri'' Alinibadilisha Jina na kunipa jina la KIBANTU ili kuficha UISLAM wetu na hatimae nilipofika form 6 nilikuwa tunafuga Nguruwe.......yote hiyo ni kutaka kujua Mtu ana DINI gani........!!!!????? nimeshika mpaka Chetezo la Ubani KANISANI siku ya misa kama Mtoto wa kanisa la RC............!!!
Ilikuwa shule gani mkuu!?
 
Back
Top Bottom