Sheikh Ilunga Hassan Kapungu 1957 -2014

Sheikh Ilunga Hassan Kapungu 1957 -2014

RIH. Hivi alipozikwa alifunikwa na bendera nyeusi yenye maandishi ya kiarabu?
 
Hivi huu unaoitwa mfumo kristo unamnufaisha mkristo yupi hasa? Mbona sijauona huku mtaani zaidi naona wote waislamu na wakristo wakitaabika pamoja?

Kama ni mashuleni wote wanakosa vitabu, mahospitalini wote wanakosa madawa, Umeme ukikatika hauchagui huyu mwislamu huyu mkristo, mvua zikinyesha Wote wanakumbwa na mafuriko n.k n.k..
Usipate shida mkuu, msemo wa mfumokristo ni uzushi wa kijinga tu. Ni harakati ya watu wanaojitafutia ajira na kipato kupitia dini bila kujali madhara wanayosababisha kwa kuzua itikadi za kubuni ili kuwafariji wafuasi wao kutokana na dhiki ya maisha.
 
Wanajamvi,
Naamini si wengi wanaomfahamu Sheikh Ilunga Hassan Kapungu.

Karibuni tuangalie Ilunga katokea wapi na nini kilimfanya awe vile alivyokuwa:

KIFO CHA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU NI MSIBA KWA VIJANA - Mohamed Said

Mungu wa Israel anisamehe sana (na tena bure kwa jina la YESU), ila nyie mliotoa like kwenye uzi huu natamani Boko Haram wangewateka watoto wenu wa kike (kama mnao na kama hamna basi watoto wandugu/rafiki zenu wakaribu) for the same "reasons" waliozitumia kuwateka wale watoto wa kike Nigeria.
 
Wanajamvi,
Naamini si wengi wanaomfahamu Sheikh Ilunga Hassan Kapungu.

Karibuni tuangalie Ilunga katokea wapi na nini kilimfanya awe vile alivyokuwa:

KIFO CHA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU NI MSIBA KWA VIJANA - Mohamed Said
Sifa kuu atakayokumbukwa ni kuagiza: Maaskofu, mapadre, makadinali, walei na waskristo wengine wauawe na waislamu... Kazi yake imeonekana Zanzibar na GEITA... Mapadre na wachungaji wameuawa kwa maagizo yake.. na SERIKALI IKAKAA KIMYAAA!
 
Hivi huu unaoitwa mfumo kristo unamnufaisha mkristo yupi hasa? Mbona sijauona huku mtaani zaidi naona wote waislamu na wakristo wakitaabika pamoja?

Kama ni mashuleni wote wanakosa vitabu, mahospitalini wote wanakosa madawa, Umeme ukikatika hauchagui huyu mwislamu huyu mkristo, mvua zikinyesha Wote wanakumbwa na mafuriko n.k n.k..

Much appreciated mkuu, hili ni moja kati ya mabandiko yenye "akili". Hopefully, litawafungua "wajinga"!!!
 
Nenda ofisi za serikali na makampuni binafsi kaangalie uwiano wa ajira ... angalia interview shortlist ktk magazeti wakiristo 30 jina la muislam moja ... najua mtatokwa na povu hpa ila ndio ukweli

Fanya tafiti pia uone uwiano wa Wakristo na Waislam ambao ni grafuates but bado hawana ajira. I dare to tell you...hutabaki na fikra hii potofu kwamba Wakristo wanapendelewa kwenye ajira.
 
Shukrani kwa makala hii adhimu. Umeeleza vyema unavyomjua Marehemu Ilunga. Upande wangu pamoja na harakati zake,nilitaka kufahamu juu ya elimu yake kwa ujumla. Ngazi yake ya elimu mpaka mauti yanamkuta. Asante
 
Mwalimu Said kuna kitu nimejifunza kwenye huu uzi wako. pamoja na haya yote yaliyokuwa yakihubiriwa kwenye mitandao juu ya Marehum Ilunga (RIP), kama akina Maalim Seif (Makamu wa kwanza wa rais-Zanzibar) wameweza kuhudhuria kwenye hayo maziko basi inanifanya niamini waislam wote hasa hao waliopo kwenye system wanamapenzi naye ila tofauti yao na hao akina Seif ni woga tu.

Wanajamvi,
Naamini si wengi wanaomfahamu Sheikh Ilunga Hassan Kapungu.

Karibuni tuangalie Ilunga katokea wapi na nini kilimfanya awe vile alivyokuwa:

KIFO CHA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU NI MSIBA KWA VIJANA - Mohamed Said
 
Nenda ofisi za serikali na makampuni binafsi kaangalie uwiano wa ajira ... angalia interview shortlist ktk magazeti wakiristo 30 jina la muislam moja ... najua mtatokwa na povu hpa ila ndio ukweli

kama asilimia ni akina bokoharan mtakuwaje shortlisted?unadhan wanaangalia uwiano au elimu dunia?we kalia madrasa halaf ubak miaka yote unalalamika na mfumo kristo.wenzenu wanasonga mbele .nenda mikoa yenye christians weng uone wanavyoshindana kujenga shule. mbeya,kinjaro,bukoba,arusha,iringa n.k halaf nenda tbr,tanga,kigoma,mtwara,pwan wanavyoshindana kuoa na kuzaa..ushirikina na hal duni.nenda zanzibar....
 
Hakuna aya inayo SEMA binadamu awe Shehe an Imam an Ustaadh. Dini zingine ni misiba tu. Jamaa anasubiri kuhukumiwa na Yesu. Halo sasa.
 
Ilunga hakuwa mtu mwema, alikuwa ni kielelezo cha fujo na mauwaji.

chonde, chonde, chonde, katika misingi ya kiislam Ilunga ni mtu mwema sana. Alikuwa na hamu ya kufa akiwa shaheed wa uislam.
 
Hakika Allah anawasafisha hawa. Amerudi mavumbini alipo toka na hakuna cha bikira 72 kwa wafu.
 
Back
Top Bottom