Acha vichekesho wewe.Chunga kauli yako kijana
Waislamu hatuna upuuzi wa kutafuta kura kwa kuzusha uongo kama hao wanaoabudu weekend.
As matter fact Kura zetu zinaibiwa wazi kila mara na huo huo mfumo kristo.
Dawa ya ujinga ni kuuliza.
Mtu wa aina yako kukuewesha kipi kinaendelea kuhusu mfumo kristo hapa tutakesha.Acha vichekesho wewe.
Kura 'zenu' zinazoibiwa ni zipi?....mnajuaje ni 'zenu' au zimetaja dini zenu ?
Pro...Acha vichekesho wewe.
Kura 'zenu' zinazoibiwa ni zipi?....mnajuaje ni 'zenu' au zimetaja dini zenu ?
Utakufa na stress kijana.Hakuna kitu inaitwa mfumo Kristu.Tatizo mnasoma Isalmic law na masomo mengine ya kiarabu halafu mnataka kuwa absorbed kwenye mfumo.Yaani nisome Canon law halafu niajiriwe kuwa hakimu,hell no!Ndo maana mnataka mahakama ya kadhi.Punguza.malalamiko na makasiriko.In short hakuna mfumo Kristo.Someni!Siku ukiona mgalatia anae elewa na KUKUBALI hoja ya muislamu juu ya HAKI ujue tayari nuru ya dini ya Mungu imeanza kuingia kwenye nafsi yake.
Waliobaki wote hata km wanaona kuwa wao hawako sawa LZM WAKATAE.
Kupinga HAKI kuko ndani ya DNA ya yyt anaeabudu Sanamu.
hayo ni mafundisho ya mtume na allah usishangae... mtume aliua watu kisa hawakumuamini kama yeye ni mtumeKama ungejua unalotenda ungemshabikia mtu anayeagiza waumini waue watu wa DINI nyingine? Shehe ILUNGA alikuwa nyuma ya mauaji ya wakristo wote hapa nchini.
Siasa za Zanzibar zina uhasama wa kihistoria hata kabla ya mapinduzi na muungano, rejea uhasama kati ya Asp ya kina Babu na Karume dhidi ya ZNP ya Ali Muhsin.Pro...
Chukua muda kutazama hiyo video hapo chini kuelewa tatizo la Zanzibar katika sanduku la kura:
Unaropoka bila ushahidi.hayo ni mafundisho ya mtume na allah usishangae... mtume aliua watu kisa hawakumuamini kama yeye ni mtume
haya nyerere hayupo miaka 25 iliyopita mbona hamjengi hivyo vyuo mmekuwa mnalalama tuuChizi Maarifa,
Haikuwa nia yangu kukujibu kuhusu suala la Waislam kujenga shule.
Inawezekana kabisa hujui historia ya Waislam na juhudi zao katika elimu na ndiyo maana ukaja na hoja hiyo.
Inaelekea wewe ni mgeni hapa jamvini.
Mimi nimetoa ushahidi jinsi watendaji Wakristo wanavyohujumu juhudi za Waislam katika elimu.
Nitakuwekea baadhi ya mifano ambayo tayari nilishaizungumza hapa kwa kirefu:
- Nyerere kuipiga marufuku East African Muslim Welfare Society (EAMWS)1968 ili isijenge Chuo Kikuu
- Serikali kukataa Chuo Kikuu Cha Kiislam kilichotaka kujengwa na OIC kisijengwe Tanzania
- Serikali kupiga vita Darul Imaan isijenge shule Kibaha
- Serikali kuondoa uongozi wa vijana wa WARSHA waliokuwa wanataka kuziborehs shule zilizokuwa chini ya BAKWATA shule ambazo zilijengwa na EAMWS kabla ya kupigwa marufuku
- Hujuma kwa vijana wa Kiislam ndani ya Wizara ya Elimu iliyogunduliwa na WARSHA 1981 na kuthibitishwa na marehemu Prof. Malima 1987
- Hujuma kwa shule za Kiislam katika NECTA
Hii ni baadhi ya mifano na Waislam wameiomba serikali wakae chini wajadili lakini serikali inaogopa kufanya hivyo juu ya kupatiwa ushahidi wa haya niliyosema.
Hayo mengine unayosema ya kuoa kwani kuna ubaya katika kuoa na kupata kizazi?
Ama hilo la ushirikina Uislam unakataza shirki na ni katika dhambi kubwa sana.
Kuhusu hali duni hilo ni suala linalotaka uzi wake maalum tujadili.
Waislam ni hooiii mnakazania juzuu tu wengi hadi kikwete aliwachana msome muache kukazania kurani tuThis is very wrong
Unless hauishi Tanzania
Muslims wamepiga hatua kubwa sana kwenye elimu, uchumi na sayansi…. Na ukitaka kufanikiwa kwenye sekta Binafsi watu mie wao, ni waaminifu zaidi
That being said, ILLUNGA WA A BAD PERSON MAANA ALIHUBIRI CHUKI KAMA UNAZOLETA WEWE
Unafikiri usheikh unagaiwa kama upadri?
Na kwa imani hii hii ulionayo juu ya hao mapadri ndio maana unauziwa mchanga wa mtoni na maji ya Azam ukidanganywa vimetoka kwa yesu na wewe unanunua kwa furaha kubwa ukiona umepata kumbe umepatikana.Ona ngombe hii,pardi mmoja ni sawa na mashehe ubwabwa wa afrika mashariki yote.
Nan...Utakufa na stress kijana.Hakuna kitu inaitwa mfumo Kristu.Tatizo mnasoma Isalmic law na masomo mengine ya kiarabu halafu mnataka kuwa absorbed kwenye mfumo.Yaani nisome Canon law halafu niajiriwe kuwa hakimu,hell no!Ndo maana mnataka mahakama ya kadhi.Punguza.malalamiko na makasiriko.In short hakuna mfumo Kristo.Someni!
Teh teh teh.Utakufa na stress kijana.Hakuna kitu inaitwa mfumo Kristu.Tatizo mnasoma Isalmic law na masomo mengine ya kiarabu halafu mnataka kuwa absorbed kwenye mfumo.Yaani nisome Canon law halafu niajiriwe kuwa hakimu,hell no!Ndo maana mnataka mahakama ya kadhi.Punguza.malalamiko na makasiriko.In short hakuna mfumo Kristo.Someni!
Kuondoka kwa maluuni nyerere hakujaondoa mfumo kristo bali kumepunguza kidogo.haya nyerere hayupo miaka 25 iliyopita mbona hamjengi hivyo vyuo mmekuwa mnalalama tuu
Mbuzi wewe, tukae hapa tuchambue hao mapadri na hizo elimu zao za shahada ya theologia tuone wanafiti wapi kwenye neno wasomiOna ngombe hii,pardi mmoja ni sawa na mashehe ubwabwa wa afrika mashariki yote.
Unafahamu siku hizi duniani vyuo vingi vinasomesha Common law pamoja na sharia (Islamic law)? Pia watu wa commerce wanasoma pamoja na (Islamic finance)?Utakufa na stress kijana.Hakuna kitu inaitwa mfumo Kristu.Tatizo mnasoma Isalmic law na masomo mengine ya kiarabu halafu mnataka kuwa absorbed kwenye mfumo.Yaani nisome Canon law halafu niajiriwe kuwa hakimu,hell no!Ndo maana mnataka mahakama ya kadhi.Punguza.malalamiko na makasiriko.In short hakuna mfumo Kristo.Someni!
Unautukuza uarabu hadi aibu.Hivi unatuonaje lakini?Nikisema neno kannuun limekuwa derived kutoka kwenye Kihebrania sitakuwa nimekosea.The term canon, from a Hebrew-Greek word meaning “cane” or “measuring rod,” passed into Christian usage to mean “norm” or “rule of faith.”Unafahamu siku hizi duniani vyuo vingi vinasomesha Common law pamoja na sharia (Islamic law)? Pia watu wa commerce wanasoma pamoja na (Islamic finance)?
Hutokuta wakisoma na "cannon law).
Unafahamu kuwa neno "cannon law" imetokana na "Kannuun" la kiarabu? Au kanuni kwa kwa Kiswahili?
Wewe fanya uoendavyo, upo huru, mimi huwa sikisii. Tafuta kwenye mtandao tu, maana ya ndno cannon laws utapata jibu.Unautukuza uarabu hadi aibu.Hivi unatuonaje lakini?Nikisema neno kannuun limekuwa derived kutoka kwenye Kihebrania sitakuwa nimekosea.The term canon, from a Hebrew-Greek word meaning “cane” or “measuring rod,” passed into Christian usage to mean “norm” or “rule of faith.”
umeleta sababu za kilofa sana...Kuondoka kwa maluuni nyerere hakujaondoa mfumo kristo bali kumepunguza kidogo.
Mfumo kristo ni CANCER na inataka subra na dawa nyingi sana kuutibu au japo kuupunguza nguvu
Sasa we tulia tu.
Sisi ndio tunaoweza kupiga marufuku ndoa za jinsia moja hata km Vatican wamezikubali.
Sisi ndio tunaoweza kuzuia Dhulma kwa kina mama japo Biblia inapiga marufuku wanawake kuongea .
Bila Uislamu hii dunia ingekuwa hatari kuliko Sodoma na Gomora.
Sasa tulia dawa iingie.
We endelea kuabudu sanamu la mzungu na kuuziwa maji na michanga ya upako hatutokusemesha.
Tunapambana na Issue kubwa kuliko uwezo wako wa kufikiri.