Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

Kwa sababu JPM hakuwa dini yao, kwa hiyo lolote alilowafanyia watasema siyo yeye aliyelifanya bali kulikuwa na mwana dini mwingine.

Kuna siku JPM alipitisha bakuli (nadhani kanisani) kukusanya michango ya ujenzi wa msikiti fulani Dodoma.
Ni kiherehere chake tu, waislamu tuna uwezo mkubwa
 
Mm nadhani tuendelee na juhudi ya kufuta yote mema yaliyoasisiwa na JPM maana ndio mkakati mkuu.
 
Waislamu wana chuki mbaya sana kwa watu wasio waislamu. teknolojia haziongopi tazama mwenyewe video chini.

Rais Magufuli achangisha fedha Kanisani, kujenga Msikiti.​


View attachment 2945065
Hawajawahi kuwa na Akili hao wamejawa na unafiki mtupu,hawanaga utu,Magufuli angekuwa mwislamu usingeona chuki hiyo,Tukumbuke kuogopa mambo mawili yaani MUNGU na technolojia.
 
Mkuu


Stendi kuu ya Morogoro hapo hapana, aliikuta labda useme akiwa waziri wa ujenzi stendi hiyo ilijengwa.

Labda hizi hapa
1. Soko kuu la Chifu Kingalu hilo ndio 'credit' zake
2. Soko kuu la Chuno Mtwara
3. Stendi kuu Tanga, Muheza na Korogwe
3. Stendi ya mabasi ya mfano-Same, Kilimanjaro
4. Soko kuu Nane nane Dodoma
5. Stendi kuu ya Ndugai Dodoma
6. Stendi kuu Ipogolo, Iringa
7. Hosteli na Maktaba chuo kikuu Dar Es Salaam
8. Ujenzi wa meli kubwa ziwa viktoria, Tanganyika na Nyasa
9. Mji wa mfano wa serikali Mtumba Dodoma (Magufuli Satellite City)
10. Hospitali ya Uhuru Chamwino Dodoma
11. Daraja la mto Wami Chalinze, Pwani
12. Mwekezaji mzawa kupewa ardhi kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda cha sukari Bagamoyo (Bagamoyo Sugar-AZAM)
13. Ununuzi wa rada kwa kanda tano kwa ajili ya usalama wa anga
14. Uboreshaji wa mikataba ya madini kwa manufaa ya taifa baada ya kutungwa sheria wezeshi
15. Upanuzi wa bandari ya Mtwara na Tanga kwa kujenga magati mapana zaidi kuwezesha meli kubwa kutua nanga
16. Wananchi wasio na mamlaka na masikini kutetea kwa dhati na jitihada kuonekana
17. Heshima kwa watumishi serikalini kurejeshwa ijapokuwa kwa sasa wameota mapembe tena na kuanza kuwanyanyasa wananchi bila hata kuchukuliwa hatua stahiki
18. Kudhibiti mfumuko wa bei ya bidhaa ambazo ni mhimu kwa matumizi ya wananchi kwa kila siku
19. Jeshi kuaminiwa kiasi cha kutosha katika usimamizi wa miradi ya umma
20. Wananchi kuwa na uwezo wa kumiliki ardhi bila usumbufu na kujenga

Nk................
 
Hivi kwanin hakusema kipind mr president yu hai?huu ni unafik at its best!
 
Hamna shukran, Haramia atabaki kua Jangili tu hata umtendee nini atakulipa mabaya hata ukiwa umekufa.
 
Wanaona aibu Kwamba hata nyumba ya Ibada wanaombewa na kafiri🤣🤣🤣
 
Mbona hamkukanusha aliposema amewaombea msikiti alipokuwa hai? Mnaona aibu?
 
Watu wanajua kinachosemwa na sheikh Jongo, ila wanajitoa ufahamu tu. Hakuna asiyejua jinsi jamaa alivokuwa hawapendi masilamu, ila kwenye kamera akijifanya ni mtetezi wao sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…