Sheikh Kipozeo atambulishwa rasmi WCB

Sheikh Kipozeo atambulishwa rasmi WCB

Shehe Bange.
how? sanaa yake katika uwasilishaji wa mawaidha ndo inakufanya umuite shehe bange? this is art of submission kila mtu ana ya kwake, ukimsikia Sh. Nurdini Kishki ana ladha yake, ukimsikia Dr. Sule ana ladha yake halkadhalika Ust. Mazinge ana ladha yake.....so muheshimu shehe wetu mpendwa.
 
how? sanaa yake katika uwasilishaji wa mawaidha ndo inakufanya umuite shehe bange? this is art of submission kila mtu ana ya kwake, ukimsikia Sh. Nurdini Kishki ana ladha yake, ukimsikia Dr. Sule ana ladha yake halkadhalika Ust. Mazinge ana ladha yake.....so muheshimu shehe wetu mpendwa.
hao wote Janja Janja"" wapigaji tu "" wezi ile mbaya
 
Yeye mpango wake ni kujigegedea mabikira 72 peponi
 
"ile mizigo mikubwa mikubwa tunayoipendaga watu wa Afrika...............hatari sana"
 
Kipind kitakuwa lini na saa ngapi?.Japo mimi siyo muislamu lakini huyu Sheikh napenda sana mafundisho yake.
 
Back
Top Bottom