Sheikh Kipozeo ndani ya Take One ya Clouds TV

Sheikh Kipozeo ndani ya Take One ya Clouds TV

sheikh Al-Habib Hilal Kipozeo nouma sana hususani akiwa anahadithia maisha ya huko peponi anakuambia mwanaume atakuwa na uwezo wa kuhudumia wanawake 60 na kitu kinakuwa kipo mnara muda wote, aisee sitoikosa hiyo interview yake leo
DAH Nasikitika kusikia unayoyasema lakini ngoja nisiingilie .....
 
Kwanini Star Times hawana hii frequency kwenye visumbuzi vyao? Very boring
 
Nimecheka sana, na hakika sitaikosa hii!

Leo Jumanne, saa 3 usiku sheikh Al-Habib Hilal Kipozeo atakuwa mgeni kwenye msimu mpya wa kipindi cha Bongo Movie (Take One, New Chapter) akizungumzia masuala mbalimbali ya kinyumba baina ya mke na mume.. Patamu hapoooo!

Kwenye Jingle ambayo Mtangazaji Zamaradi Mketema anaonekana mwenye furaha na kutabasamu kwa maneno ya muhadhir huyu, Kipozeo anasikika akisema, ''Wanawake wametofautiana, kuna mwingine fundi zaidi, awe mtundu mtundu chumbani, mwenye kukuridhisha wewe... Naam''!

Sheikh huyu ni maarufu kutokana na uwasilishaji wake wa mawaidha kwa lugha lainiiiii..

Hatar sana sheikh '' anasemaga mii napendaga walee wa kibantu wee penda hao wakizungu'' mawaidha yake yanakuwaga zaid kweny mahusiano [emoji132]
 
Sheikh Kipozeo ndio analianzisha hapa kwa utangulizi WA clip matata,umeng'ang'ania mke mmoja mama yako yule....hatare
 
Jana baada ya kuangalia interview ya sheikh kipozeo nimegundua ana busara hekima na elimu kubwa ya dini ya kiislamu tofauti na zile clips zilizosambaa zilim specialize sana kwenye mapenzi ila kumbe ana uwezo mkubwa wa kupambanua mambo mengi.. by the way alinifurahisha kuhusu uadilifu upande wa kindani kwa wenye wake zaidi ya mmoja
 
Back
Top Bottom