Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Shekh kishki Leo dar es Salam kwenye mashindano ya Quran Africa anasema Alhikma foundation itawalipia mahari vijana 50 wa kiislamu na kuwaozesha Ndoa Ya pamoja.
Mashallah hii ni habari njema kwa ndugu zangu waislamu.
Wale vijana mliopanga kuoa mwaka huu hii ni fursa kwenu inshallah 🙏
NB: Haurusiwi kwa aneongeza mke wa pili, fursa hii kwa vijana wanao anza kuoa.
Mashallah hii ni habari njema kwa ndugu zangu waislamu.
Wale vijana mliopanga kuoa mwaka huu hii ni fursa kwenu inshallah 🙏
NB: Haurusiwi kwa aneongeza mke wa pili, fursa hii kwa vijana wanao anza kuoa.