Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora kuwafundisha ujazilia mali kwanza kisha waozeshwe au waozeshwe kisha wafundishwe ujasilia mali,kama kijana kashindwa kupata 500 au 1000 za kumpa mtarajiwa wake kama mahari akilipiwa kumrisha je ataweza ?Shekh kishki Leo dar es Salam kwenye mashindano ya Quran Africa anasema Alhikma foundation itawalipia mahari vijana 50 wa kiislamu na kuwaozesha Ndoa Ya pamoja.
Mashallah hii ni habari njema kwa ndugu zangu waislamu
Wale vijana mliopanga kuoa mwaka huu hii ni fursa kwenu inshallah [emoji120]
Nb: haurusiwi kwa aneongeza mke wa pili,fursa hii kwa vijana wanao anza kuoa.
Wafuasi wa hii dini wanazo nguvu za kiume za kutosha wewe ni khanithi tunakujuaYaani hii dini inawaza ngono tu.
Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Wapuuzi sanaYaani hii dini inawaza ngono tu.
Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Wewe elimu ya dunia ulio nayo inawasaidia nini wanao kuzunguka?kila mtu na maisha yake bhana acha chukiTakbiir...........
Sijui ni lini nitawasikia wanazungumzia kuwaendeleza vijana kwenye Elimu dunia.......
Kulipa mahari kashindwa,ataweza tunza mke?Shekh kishki Leo dar es Salam kwenye mashindano ya Quran Africa anasema Alhikma foundation itawalipia mahari vijana 50 wa kiislamu na kuwaozesha Ndoa Ya pamoja.
Mashallah hii ni habari njema kwa ndugu zangu waislamu
Wale vijana mliopanga kuoa mwaka huu hii ni fursa kwenu inshallah 🙏
Nb: haurusiwi kwa aneongeza mke wa pili,fursa hii kwa vijana wanao anza kuoa.
Hiyo ni Mahari , vipi kuhusu maisha yao ya kila siku ?Shekh kishki Leo dar es Salam kwenye mashindano ya Quran Africa anasema Alhikma foundation itawalipia mahari vijana 50 wa kiislamu na kuwaozesha Ndoa Ya pamoja.
Mashallah hii ni habari njema kwa ndugu zangu waislamu
Wale vijana mliopanga kuoa mwaka huu hii ni fursa kwenu inshallah [emoji120]
Nb: haurusiwi kwa aneongeza mke wa pili,fursa hii kwa vijana wanao anza kuoa.
Hivi inalazimu kuwa hao vijana watakao lipiwa wawe hawawezi kujikimu kimaisha!?Hiyo ni Mahari , vipi kuhusu maisha yao ya kila siku ?
Apo mtaani kwako kuna vijana wangapi wanaishi na wapenz wao pasipo ndoa na wanagharamikia matumizi bila tatizo sasa hao ndo walegwa achaha kuwaza hasi mda wotee. Hongera kwa Kishki na Alkim Foundatio Allah awazidishie Wanapopunguza AmeenaInshaAllah zinaa na chukizo kwa Mola wetu.Yaani hii dini inawaza ngono tu.
Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Njoo nikuoneshe kwamba kazi ipoWafuasi wa hii dini wanazo nguvu za kiume za kutosha wewe ni khanithi tunakujua
Hii ni nzuri kwa wale waliopanga kufunga ndoa ila tatizo lao lilikuwa mahari tu. Kwa Mfano unaambiwa mahari ni million 4 na mazagazaga mengine.Shekh kishki Leo dar es Salam kwenye mashindano ya Quran Africa anasema Alhikma foundation itawalipia mahari vijana 50 wa kiislamu na kuwaozesha Ndoa Ya pamoja.
Mashallah hii ni habari njema kwa ndugu zangu waislamu
Wale vijana mliopanga kuoa mwaka huu hii ni fursa kwenu inshallah [emoji120]
Nb: haurusiwi kwa aneongeza mke wa pili,fursa hii kwa vijana wanao anza kuoa.
Wewe unapenda chini wakati wewe ni hanithi?khanithi anajua utamu k?mjinge usio kuwa na kwenu kijana kuozeshwa ajabu iko wapi mashoga kazi mnayoKulipa mahari kashindwa,ataweza tunza mke?
Wazee wa kobasi wanapenda chini [emoji3][emoji3][emoji3]
Wabillah Tawfiq [emoji13]
Shoga akio vijana wanaoa anachukia sanaApo mtaani kwako kuna vijana wangapi wanaishi na wapenz wao pasipo ndoa na wanagharamikia matumizi bila tatizo sasa hao ndo walegwa achaha kuwaza hasi mda wotee. Hongera kwa Kishki na Alkim Foundatio Allah awazidishie Wanapopunguza AmeenaInshaAllah zinaa na chukizo kwa Mola wetu.
Ilakumbuka Allah anawatu wake.
Hela kula kila siku 5000 mke anakula mahari 500,000,hipi nyepesi kupatikana kati ya hizo?Hiyo ni Mahari , vipi kuhusu maisha yao ya kila siku ?
kuna tuhuma nzito sana juu yako za ushoga zimenisikitisha sanaHiyo ni Mahari , vipi kuhusu maisha yao ya kila siku ?
Unadhani kwanini wanalipiwa mahari ?Hivi inalazimu kuwa hao vijana watakao lipiwa wawe hawawezi kujikimu kimaisha!?
Mbona sioni mantiki ya swali lako.
Au mtu akilipiwa mahari maana yake hatoweza kuhudumia mke?