HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Sina chuki ila kumlipia mahari mtu si sawaMama na baba yako bila kufanya ngono ww ungezaliwa?
Au huyo mke uliye naye umemuoa ili umlishe anenepe ili uje umchinje ukamuuze kama ngombe buchani au?
Some time chuki humfanya mtu kuwa mpumbavu.