Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Mashallah.Huu uzi hautaki maelezo marefu. Ulitakiwa ujibu tu kwa ufupi, mfano wa maneno kama haya hapa chini;
MashaAllah!!
Wabilah tawfiq!
Takbiir!!
Allah Akbar!
InshaAllah!, nk.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashallah.Huu uzi hautaki maelezo marefu. Ulitakiwa ujibu tu kwa ufupi, mfano wa maneno kama haya hapa chini;
MashaAllah!!
Wabilah tawfiq!
Takbiir!!
Allah Akbar!
InshaAllah!, nk.
Muulize mama'ko alikuwa anawaza nini kabla hujazaliwa?Yaani hii dini inawaza ngono tu.
Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Hata mke wa tajiri anagongwa na mkosha viombo kugongwa ni tabia ya mwanamkeHahaaaa haaaa, wajiandae kugongewa.
Hiyo sio kazi yako wewe kamlipie mwanao kila mtu na maisha yake heboKwanini wasiwalipie ada ya veta wapate kujikimu baadae?
kutukanwa mimi humu JF haikuanza leo , lakini Je jiulize wenzako walioanza kunitukana walipata faida gani ? nimeuliza swali la msingi sana , lakini kwa sababu ya akili yako ndogo ukaamua kunitukana ! Mimi huyu Kishki ni mtu nafahamiana naye , na ninafahamu uwezo wake kwamba anaweza kufanya zaidi ya hapo , kwamba badala ya kuwalipia mahali tu angeweza kuwawezesha hata kidogo kwenye masuala ya kimaisha , sasa hii haikuwa sababu ya wewe kuvunja sheria za jf na kutukana .kuna tuhuma nzito sana juu yako za ushoga zimenisikitisha sana
mkuu sijakutukana balinimekufahamisha kwani nimeona sehemu mbalimbali ukituhumiwa kwa hilokutukanwa mimi humu JF haikuanza leo , lakini Je jiulize wenzako walioanza kunitukana walipata faida gani ? nimeuliza swali la msingi sana , lakini kwa sababu wa akili yako ukaamua kunitukana ! Mimi huyu Kishki ni mtu nafahamiana naye , na ninafahamu uwezo wake kwamba anaweza kufanya zaidi ya hapo , kwamba badala ya mahali angeweza kuwawezesha hata kidogo kwenye masuala ya kimaisha , sasa hii haikuwa sababu ya wewe kuvunja sheria za jf na kutukana .
Ni aibu kwako na kwa Wazazi wako pia
Mkuu hela huwa haitoshi. Unaweza poteza muda kwenye maisha yako yote na usitosheke. Kijana akimpata mtu sahihi basi hata hela itamfuata akiwa hukohuko kwenye ndoa. Halafu kuliko vijana wafanye uzinzi ni bora waoe. Hata biblia inaelekeza hivyo. Kwenye uzinzi kuna gharama kubwa kuliko kuoa.Bora kuwafundisha ujazilia mali kwanza kisha waozeshwe au waozeshwe kisha wafundishwe ujasilia mali,kama kijana kashindwa kupata 500 au 1000 za kumpa mtarajiwa wake kama mahari akilipiwa kumrisha je ataweza ?
Chuki chuki chuki hazikunenepeshiiiYaani hii dini inawaza ngono tu.
Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Pole mkuu!kutukanwa mimi humu JF haikuanza leo , lakini Je jiulize wenzako walioanza kunitukana walipata faida gani ? nimeuliza swali la msingi sana , lakini kwa sababu ya akili yako ndogo ukaamua kunitukana ! Mimi huyu Kishki ni mtu nafahamiana naye , na ninafahamu uwezo wake kwamba anaweza kufanya zaidi ya hapo , kwamba badala ya kuwalipia mahali tu angeweza kuwawezesha hata kidogo kwenye masuala ya kimaisha , sasa hii haikuwa sababu ya wewe kuvunja sheria za jf na kutukana .
Ni aibu kwako na kwa Wazazi wako pia
Wanawezaje kumtuhumu mtu wasiyemfahamu ? halafu hilo andiko lako linahusiana nini na post yangu ? hapa JF jitahidi sana kujibu hoja kwa hoja utabarikiwa sanamkuu sijakutukana balinimekufahamisha kwani nimeona sehemu mbalimbali ukituhumiwa kwa hilo
wapi nimekutukana?
komradhi nafahamu ni maudhi makubwa.Wanawezaje kumtuhumu mtu wasiyemfahamu ? halafu hilo andiko lako linahusiana nini na post yangu ? hapa JF jitahidi sana kujibu hoja kwa hoja utabarikiwa sana
Ili kuwafanyia wepesi katika suala kuoa, waliendee kwa haraka.Unadhani kwanini wanalipiwa mahari ?
🤣🤣🤣Yaani hii dini inawaza ngono tu.
Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Mama na baba yako bila kufanya ngono ww ungezaliwa?Yaani hii dini inawaza ngono tu.
Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Mtoa maoni alikuwa na hoja. Kuwafungisha watu ndoa ni kitu chenye faida? Hauoni idadi ya ndoa zinazovunjika kila siku hapa nchini? Kwa Dar peke yake ndoa 300 huvunjika kwa mwezi.Sometimes muwe-positive mnatoa appreciation bila kujali utofauti wa mitizamo yenu ya kidini. Sio kila time niku-criticize tu hata kile kitu ambacho kinaoonekana kuwa na faida.
Swala la ndoa sio uzinifu mzee