kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mzee wa kobasiWewe unapenda chini wakati wewe ni hanithi?khanithi anajua utamu k?mjinge usio kuwa na kwenu kijana kuozeshwa ajabu iko wapi mashoga kazi mnayo
WABILLAH TAWFIQ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mzee wa kobasiWewe unapenda chini wakati wewe ni hanithi?khanithi anajua utamu k?mjinge usio kuwa na kwenu kijana kuozeshwa ajabu iko wapi mashoga kazi mnayo
Huyo sio muislamu ni mkiristu maana hajitambuiHuwa akili zote zinaishia madrasa, madarasani hawaendi
Pesa ya bure hiyo nakamata natinga Fancy Food pale, makange safi ya Mbuzi😉😀😀 Mimi ntachukua then hiyo pesa ntaitumia kula bata
Sio mahali inaitwa mahari kuandika tu huwezi Sasa mke utamtunzaje ?Mimi siwezi kukubali kulipiwa au kuchangiwa Mahali hata shilingi 1.
Huyo wanamke wa Bure hivyo atakuwa sio mwanamke!!!!
WAISLAMU mnafeli sana
Inawezekana uwezo wa kupatikana chajio cha kila siku upo ila mahari ndio mtihani mtu kuyapata kwa pamoja..Bora kuwafundisha ujazilia mali kwanza kisha waozeshwe au waozeshwe kisha wafundishwe ujasilia mali,kama kijana kashindwa kupata 500 au 1000 za kumpa mtarajiwa wake kama mahari akilipiwa kumrisha je ataweza ?
Ooooh!! Hapo sawa.Hiyo ni offer tu wamepewa. Siyo kwamba hawana uwezo wa kulipa mahari.
Yaani ni sawa tu na mtu kukupa zawadi ya kitu fulani, ambacho hata wewe mwenyewe una uwezo wa kukinunua.
Inaonesha we mnufaika wa hizo pesa za kulipiwa mahariUngetoa hoja bila kejeli ungeeleweka tu tujifunze kuheshimiana.
Sio ivo tu...kwenye uislam kama bint kakupenda, ila kwenye suala la kuoa mwanamme hawezi kupata mahari kwa haraka basi binti anaweza kumpa mwaname mahari ili akampose kisudi waoane kuepuka zinaaMimi siwezi kukubali kulipiwa au kuchangiwa Mahali hata shilingi 1.
Huyo wanamke wa Bure hivyo atakuwa sio mwanamke!!!!
WAISLAMU mnafeli sana
Kuna Magari mengine hadi yasukumwe yatawaka mbele kwa mbele huko! Kisiki Yuko sahihi kabisa! Ni sawasawa na Wazazi wanao walipia vijana Kodi ya kuanzia miezi mitatu, baada hapo wamesha aachana!!Yaani hii dini inawaza ngono tu.
Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Sasa ndg yangu kwenye Ndoa, Mashoga wameingiaje tena!!??Hata kufuturisha mashoga pia sio dhambi.
Sometimes muwe-positive mnatoa appreciation bila kujali utofauti wa mitizamo yenu ya kidini. Sio kila time niku-criticize tu hata kile kitu ambacho kinaoonekana kuwa na faida.
Swala la ndoa sio uzinifu mzee
Punguza Matusi ndg, humu wamo watu wa rika mbali mbali!!Huwa namla baba yako nyuma
Mm sijakataa hoja yako ya kukataa vijana kulipiwa mahari mm nilicho kataa ni namna ulivyo iwasilisha kwa kejeri dhidi ya dini nyingine.Inaonesha we mnufaika wa hizo pesa za kulipiwa mahari
Takbiir...........
Sijui ni lini nitawasikia wanazungumzia kuwaendeleza vijana kwenye Elimu dunia.......
Mnauhakika gani kama hao vijana hawajasoma?Kwanini wasiwalipie ada ya veta wapate kujikimu baadae?
Kwa hiyo kila mwanamke anaye olewa huwa anataka mahari ya msahafu?Mahari ktk uislam anapanga mwanamke,sasa kama watu wameshindwa mpaka kununua msaafu,hiyo kula yao itafananaje huko ndani???
Ndoa ni jambo jema,ila isiwe chanzo cha mateso.
Mnadhani mnavyotuita makafir twafurahia?Mm sijakataa hoja yako ya kukataa vijana kulipiwa mahari mm nilicho kataa ni namna ulivyo iwasilisha kwa kejeri dhidi ya dini nyingine.
Ungeweza kuwakilisha hoja yako tu bila kejeri , na sidhani kama huo usabato wato unakurusu kukejeli watu wengine kwa misingi ya dini zao.
Tujifunze kuheshimiana sisi ni watu wazima.
Elimu Dunia haifundishwi,ni jinsi tu Dunia inavyokuja ndiyo utakavyo ipokea hivyo !!Takbiir...........
Sijui ni lini nitawasikia wanazungumzia kuwaendeleza vijana kwenye Elimu dunia.......
Achaa dharau, safari moja huanzisha safari nyingine in life!!!Kulipa mahari kashindwa,ataweza tunza mke?
Wazee wa kobasi wanapenda chini [emoji3][emoji3][emoji3]
Wabillah Tawfiq [emoji13]