Sheikh Kishki/Alhikma Foundation Kuwalipia mahari vijana 50 na kuwaozesha

Sheikh Kishki/Alhikma Foundation Kuwalipia mahari vijana 50 na kuwaozesha

Wewe unapenda chini wakati wewe ni hanithi?khanithi anajua utamu k?mjinge usio kuwa na kwenu kijana kuozeshwa ajabu iko wapi mashoga kazi mnayo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mzee wa kobasi

WABILLAH TAWFIQ
 
Bora kuwafundisha ujazilia mali kwanza kisha waozeshwe au waozeshwe kisha wafundishwe ujasilia mali,kama kijana kashindwa kupata 500 au 1000 za kumpa mtarajiwa wake kama mahari akilipiwa kumrisha je ataweza ?
Inawezekana uwezo wa kupatikana chajio cha kila siku upo ila mahari ndio mtihani mtu kuyapata kwa pamoja..

Sidhani kama hio foundation itakurupuka tu kusaidia hilo jambo lazima kutakuwa na vigezo

Sehemu nilipokuwa nafanya kazi zamani...(school x) boss wetu (kwa sasa ni Marehemu) Allah Amraham...aliwaita vijana waliokuwa wa sifa za kuoa lkn bado hawajaoa kutaka kujua changamoto zao...mwisho wa habari kuna alowasaidia kodi za nyumba na wengine mahari...Alhamdulillah kwa upande wake alisaidia mengine tena yanatatulika tatizo likitokea
 
Mimi siwezi kukubali kulipiwa au kuchangiwa Mahali hata shilingi 1.

Huyo wanamke wa Bure hivyo atakuwa sio mwanamke!!!!

WAISLAMU mnafeli sana
Sio ivo tu...kwenye uislam kama bint kakupenda, ila kwenye suala la kuoa mwanamme hawezi kupata mahari kwa haraka basi binti anaweza kumpa mwaname mahari ili akampose kisudi waoane kuepuka zinaa
 
Ni jambo. Nzuri ndugu zetu waislamu.. ata uarabuni nadhani wanafanya haya.. pia muangalie jinsi ya kuwawezesha kiuchumi baada ya kuwafungisha ndoa.. ata mitaji na elimu ya ujasilimali .
 
Yaani hii dini inawaza ngono tu.
Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?

Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Kuna Magari mengine hadi yasukumwe yatawaka mbele kwa mbele huko! Kisiki Yuko sahihi kabisa! Ni sawasawa na Wazazi wanao walipia vijana Kodi ya kuanzia miezi mitatu, baada hapo wamesha aachana!!
 
Sometimes muwe-positive mnatoa appreciation bila kujali utofauti wa mitizamo yenu ya kidini. Sio kila time niku-criticize tu hata kile kitu ambacho kinaoonekana kuwa na faida.

Swala la ndoa sio uzinifu mzee

Mahari ktk uislam anapanga mwanamke,sasa kama watu wameshindwa mpaka kununua msaafu,hiyo kula yao itafananaje huko ndani???

Ndoa ni jambo jema,ila isiwe chanzo cha mateso.
 
Inaonesha we mnufaika wa hizo pesa za kulipiwa mahari
Mm sijakataa hoja yako ya kukataa vijana kulipiwa mahari mm nilicho kataa ni namna ulivyo iwasilisha kwa kejeri dhidi ya dini nyingine.
Ungeweza kuwakilisha hoja yako tu bila kejeri , na sidhani kama huo usabato wato unakurusu kukejeli watu wengine kwa misingi ya dini zao.
Tujifunze kuheshimiana sisi ni watu wazima.
 
Mahari ktk uislam anapanga mwanamke,sasa kama watu wameshindwa mpaka kununua msaafu,hiyo kula yao itafananaje huko ndani???

Ndoa ni jambo jema,ila isiwe chanzo cha mateso.
Kwa hiyo kila mwanamke anaye olewa huwa anataka mahari ya msahafu?
 
Mm sijakataa hoja yako ya kukataa vijana kulipiwa mahari mm nilicho kataa ni namna ulivyo iwasilisha kwa kejeri dhidi ya dini nyingine.
Ungeweza kuwakilisha hoja yako tu bila kejeri , na sidhani kama huo usabato wato unakurusu kukejeli watu wengine kwa misingi ya dini zao.
Tujifunze kuheshimiana sisi ni watu wazima.
Mnadhani mnavyotuita makafir twafurahia?
 
Takbiir...........











Sijui ni lini nitawasikia wanazungumzia kuwaendeleza vijana kwenye Elimu dunia.......
Elimu Dunia haifundishwi,ni jinsi tu Dunia inavyokuja ndiyo utakavyo ipokea hivyo !!
 
Kulipa mahari kashindwa,ataweza tunza mke?
Wazee wa kobasi wanapenda chini [emoji3][emoji3][emoji3]

Wabillah Tawfiq [emoji13]
Achaa dharau, safari moja huanzisha safari nyingine in life!!!
 
Back
Top Bottom