mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Kwa hiyo kila mwanamke anaye olewa huwa anataka mahari ya msahafu?
Sasa mwanamke anayehitaji mahari inayomshinda mchumba wake huyu anawekwa kundi gani la kiislam??
Au alhikma inakwenda kutoa na mshahara kila mwezi kwa ajili ya wanandoa hao???