Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Hata kwa anayeoa kwa mara ya 4? Tangazo liwe clear.Mashaallah. Vijana waiepuke zinaa
Sometimes muwe-positive mnatoa appreciation bila kujali utofauti wa mitizamo yenu ya kidini. Sio kila time niku-criticize tu hata kile kitu ambacho kinaoonekana kuwa na faida.Yaani hii dini inawaza ngono tu.
Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Sijakupata vyema mkuu.Hata kwa anayeoa kwa mara ya 4? Tangazo liwe clear.
Be positive mzeeYaani hii dini inawaza ngono tu.
Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Huu uzi hautaki maelezo marefu. Ulitakiwa ujibu tu kwa ufupi, mfano wa maneno kama haya hapa chini;Yaani hii dini inawaza ngono tu.
Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Mkiwa katika ndoa, hata katika ukristo, hiyo ni Sacramento mojawapo, sio uzinzi au kama ulivyoita ngono.Yaani hii dini inawaza ngono tu.
Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
TakbiiirBaba yangu ni marehemu kitambo, labda mjomba wangu.
ahcA agohsU ewew.
Hahaaaa haaaa, wajiandae kugongewa.Yaani hii dini inawaza ngono tu.
Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?