LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Kaka angu sheikh Kishki upo sahihi sana kuhusu sakata la huyu Bwana mdogo " Abdul Dunya" almaarufu " Shareef Firdaus".
Dogo ana karama sana ana nyota sana na anakubalika sana. Bora umpotezee tu.
Raia mitaani jijini Darusalama wanamkubali ile kinomanoma.
Kwa Raia mitaani, Kishki vs Shareef Firdaus ni sawa na YESU vs Baraba kwa wayahudi.
Waliambiwa kati ya Yesu na Baraba wanamchagua nani wakamchagua Baraba asie na haki mbele ya Yesu mwenye haki...
Yani ni sawa tu na ishu ya Kaini na Habili.
Habili alitoa sadaka yenye kuswihi ( yenye kukubalika mbele za Mwenyezi Mungu), Kaini akatoa sadaka isiyo swihi.
Mwisho wa siku Habili alie toa sadaka yenye kuswihi akauwawa na Kaini alie toa sadaka isiyo kubalika.
Cha kushangaza sasa Mungu akampromote Kaini, akampa kibali cha kuwa mtalii dunia nzima na akamuwekea alama kwamba ole wake atakae jaribu kumgusa Kaini.
Ushauri wangu kwa Sheikh Kishki.
Achana na Shareef Firdaus.
Dogo ana karama sana ana nyota sana na anakubalika sana. Bora umpotezee tu.
Raia mitaani jijini Darusalama wanamkubali ile kinomanoma.
Kwa Raia mitaani, Kishki vs Shareef Firdaus ni sawa na YESU vs Baraba kwa wayahudi.
Waliambiwa kati ya Yesu na Baraba wanamchagua nani wakamchagua Baraba asie na haki mbele ya Yesu mwenye haki...
Yani ni sawa tu na ishu ya Kaini na Habili.
Habili alitoa sadaka yenye kuswihi ( yenye kukubalika mbele za Mwenyezi Mungu), Kaini akatoa sadaka isiyo swihi.
Mwisho wa siku Habili alie toa sadaka yenye kuswihi akauwawa na Kaini alie toa sadaka isiyo kubalika.
Cha kushangaza sasa Mungu akampromote Kaini, akampa kibali cha kuwa mtalii dunia nzima na akamuwekea alama kwamba ole wake atakae jaribu kumgusa Kaini.
Ushauri wangu kwa Sheikh Kishki.
Achana na Shareef Firdaus.