ni bifu kutoka Upande ule usiotumia nyama pendwa ambayo mapishi yake yaliiasisiwa na kabila linalozunguka mlima kilimanjaro.Kunadogo nayeye kutoka huo upande wa wapinga nyama pendwa ameibuka na kuiga style za kuongezea thamani mafuta ya kupikia yanayolimwa kwa wingi mkoa wenye mabinti wasiojua kusema NO badala ya Lita 10,000 amepambana anauza kwa Bei anayotaka.Sasa wameibuka wenzake wa huohuo upande unaopiga marufuku nyama pendwa na wazee wa kuvaa viatu vya wazi ilhali wao wakituuzia timberland tutimbe nazo kwenye nyumba zetu za ibada..Baadhi Hawataki kabisa na Wameanza kumpinga huyo dogo anayeonekana kwenye media anaushawishi kwa wenzake wa kuwamwagia hayo mafuta na wanamkubali balaa si wazee wala vijana wala kina Mama huwaambii kitu kutoka huo upande wenye kuvaa nguo za kujigubika bila kujali Hali ya hewa na Inaonekana kijiwe kimemchanganyia.