JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Atakua kuna kajambo kakaona au kakasikia kuwa hatulii ni mtundu.Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
Duh!Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
... ha ha ha! Kwani muoaji ni Mary? Aliyeombewa ni mumewe.MARY MAJALIWA SIYO MUISLAM, AACHE UPUMBAVU KWENYE NDOA ZA WATU HUYO FALA.
Kidini PM hana mke ni mzinifu apo katumia hekima tu anataka Mh aoeDuh!
Shehe anajuaje labda PM anatoshelezwa kikamilifu na huyo mmoja?!!!
Asimuingize mwenzake chaka, kwani yeye anao wawili?Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
Sheikh achukuliwe hatuaHilo la kuoa mke wa pili ni juu ya majaliwa mwenyewe. Naona kama uchochezi huu
Itakuwa katelephone Ana mpango huo Sasa anamtumia sheikh ku test watu (mkewe) atalipokeajeHilo la kuoa mke wa pili ni juu ya majaliwa mwenyewe. Naona kama uchochezi huu
Wangapi wako kama yeye na sheikh hajawaambia hayoKidini PM hana mke ni mzinifu apo katumia hekima tu anataka Mh aoe
Kidini PM hana mke ni mzinifu apo katumia hekima tu anataka Mh aoe
Mbona wanamwalika mzinifu kwenye mimbari zao awahutubie.Kidini PM hana mke ni mzinifu apo katumia hekima tu anataka Mh aoe