Ekuweme
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 3,520
- 3,962
[emoji23]MARY MAJALIWA SIYO MUISLAM, AACHE UPUMBAVU KWENYE NDOA ZA WATU HUYO FALA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]MARY MAJALIWA SIYO MUISLAM, AACHE UPUMBAVU KWENYE NDOA ZA WATU HUYO FALA.
Anaeoa ni Marry au Kassim?halaf kwann unaita kuongeza mke ni Ufala?huoni unadhalilisha mafundisho ya dini za wengine?Half yy kuoa wala haitajii ruhusa ya mke kisheria,Hio ndo njia sahh ya kua muaminifu na sio michepukoMARY MAJALIWA SIYO MUISLAM, AACHE UPUMBAVU KWENYE NDOA ZA WATU HUYO FALA.
Mkuu Wewe ndo Mary majaliwa? Namshauri Hon. Majaliwa aoe wanne kabisa Kama uislam unavyotaka.MARY MAJALIWA SIYO MUISLAM, AACHE UPUMBAVU KWENYE NDOA ZA WATU HUYO FALA.
Kosa lake iko wapi?Hili lijamaa linawaza ngono saa zote. Yani katika viongozi wa Bakwata wa ovyo kabisa huyu anashika namba 1.
Its true hakuna ndoa ya mke kuwa mkristo na mume muislam batiliMbona wanamwalika mzinifu kwenye mimbari zao awahutubie.
Big Nooooo,lete ushahidi wa QuranMzinifu vipi wakati dini ya kiislam inaruhusu mwanaume kuoa mke mkristo
Huyo Mary amezaa watoto wangapi na PM?MARY MAJALIWA SIYO MUISLAM, AACHE UPUMBAVU KWENYE NDOA ZA WATU HUYO FALA.
Hongera hata huyo kapitiamo, kwani aliishia vingapi?hizonguvuanazo? siyo wivu haki nauliza tu ila sitaki kuwa mke wa pili.
Huyu kwa kufru hii dua zake zinadundàSheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
Wanawaza ngono tu,Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
Hawa ma sheikhe wenu kila saa wanawaza ngono tu.Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
Duh!Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
Mzinifu vipi wakati dini ya kiislam inaruhusu mwanaume kuoa mke mkristo
Wacha ubaguzi wa kidini bhana.. mbona wakristo wakioa waislamu hamsemi wanazini so waoe upya?!!!
Waislamu ni watu wa hovyo sana imagine hilo jamaa kwakua lenyewe limevimbiwa na hela za CCM haoni mambo ya msingi ya kuwasemea wenzie anawaza kuongeza wigo wa ngono tu. Hii mijitu ni ya hovyo sana.