wa ukae
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 2,720
- 2,151
Sio lazima wote awakumbushe yeye hata wewe unaweza kuwaambia kwa nafasi yako ndio maana ya neno kukumbushanaWangapi wako kama yeye na sheikh hajawaambia hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio lazima wote awakumbushe yeye hata wewe unaweza kuwaambia kwa nafasi yako ndio maana ya neno kukumbushanaWangapi wako kama yeye na sheikh hajawaambia hayo
Huyu sheikh ni mfukunyuzi wa ndoa za watu.Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
Mwanamke ilitakiwa asilimu aje kwenye UislamMzinifu vipi wakati dini ya kiislam inaruhusu mwanaume kuoa mke mkristo
Siasa mkuu ndio iliotufikisha hapo kiasi cha Mashekhe,Maaskofu,Wachungaji nk wanaongea hata yale ambayo hawayaamini katika dini zaoMbona wanamwalika mzinifu kwenye mimbari zao awahutubie.
Huo sio ubaguzi wa kidini na wala mimi sikusema amuache ila ukweli utabaki hivyo kwa Imani ya dini ya Kiislam na yeye mwenyewe kwa sababu anaamini kwenye Uislamu basi ni mzinifuWacha ubaguzi wa kidini bhana.. mbona wakristo wakioa waislamu hamsemi wanazini so waoe upya?!!!
Akikwambia kama si mkewe?Kidini PM hana mke ni mzinifu apo katumia hekima tu anataka Mh aoe
Halafu anajuaje kama naye ni Mkristo si mwislam kama wana vyolisikia jina lake?Mzinifu vipi wakati dini ya kiislam inaruhusu mwanaume kuoa mke mkristo
Mkuu tumekukosea nini mpaka unatutukana sote? Ina maana wewe ndugu unajiona ni mtu special sana kuliko wenzio?Waislamu ni watu wa hovyo sana imagine hilo jamaa kwakua lenyewe limevimbiwa na hela za CCM haoni mambo ya msingi ya kuwasemea wenzie anawaza kuongeza wigo wa ngono tu. Hii mijitu ni ya hovyo sana.
Ikiwa MAJALIWA ni muislam na anasali na kufunga ramadhani Sheikh mkuu wa dar hakukosea kwa sababu kwenye uislam hakuna NDOA baina ya muislam na mkristo wa naishi tu hao na kuzini ndio maana shkh akamshauri aowe.MARY MAJALIWA SIYO MUISLAM, AACHE UPUMBAVU KWENYE NDOA ZA WATU HUYO FALA.
Kwa kweli hapo cc waislamu tunafanya makosa mkubwa kumwalika MAJALIWA misikitini na kusali naye wakati tunajuwa maisha anayoishi c ya kiislamu.Mbona wanamwalika mzinifu kwenye mimbari zao awahutubie.
Majaliwa muislam, kwaiyo dini yake inamruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja,MARY MAJALIWA SIYO MUISLAM, AACHE UPUMBAVU KWENYE NDOA ZA WATU HUYO FALA.
Sasa yesu ni nani asilinganishwe na Magufuli tena huyo yesu hamfikii Magufuli hata kidogo,acha kushikiwa akili bwege weweFala kabisa lilimlinganisha Yesu na Magufuli. Hovyo kabisa takataka
Kama mtoto wa sheikh mkuu huyuHuyu sheikh ni mfukunyuzi wa ndoa za watu.
Yeye kaoa wangapi?
Mtu wa kukaa mbali sana naye huyu.
Hutaki kupunguziwa majukumu ?hizonguvuanazo? siyo wivu haki nauliza tu ila sitaki kuwa mke wa pili.
Anaruhusiwa kuoa Kaffir ?Mzinifu vipi wakati dini ya kiislam inaruhusu mwanaume kuoa mke mkristo
Jione ulivyo mtu wa hovyo. Takataka
Hata kawaida ukitaka ongeza mke lazma uombe ridhaa ya mke aliepo. Hapa huyu Sheikh mzinzi anashauri nini. Waislamu heshimuni haki za wanawake na wao ni binadamu pia. UISLAMU UNAONGOZA KUDHARAU WANAWAKE. ACHENI HUO USHETANI? POVU RUXAAA.
Dini ipi unayozungumzia?Kidini PM hana mke ni mzinifu apo katumia hekima tu anataka Mh aoe