Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Mwanaume rijali lazima awe na mwanamke zaid ya mmoja bwashee
Wanawaza ngono tu,
Shame on them.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawaza ngono tu,
Shame on them.....
Hawa ma sheikhe wenu kila saa wanawaza ngono tu.
Unaweza usijue, lakini inawezekana kabisa kwamba huyo sheikh anayo agenda muhimu anayoitekeleza kwa njia zake mwenyewe, na inaelekea yuko 'consistent' juu ya jambo analolifanyia kazi.Fala kabisa lilimlinganisha Yesu na Magufuli. Hovyo kabisa takataka
EeeeNHeeee Heeee!hizonguvuanazo? siyo wivu haki nauliza tu ila sitaki kuwa mke wa pili.
Hawa masheikh wanawaza chini tu 🤣Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
Tulia mkuu waziri aoe!MARY MAJALIWA SIYO MUISLAM, AACHE UPUMBAVU KWENYE NDOA ZA WATU HUYO FALA.
Siyo hutaki, huna hadhi ya kutongozwa na PM wala mwenye hela. We' size yako ni sisi makapuku wenzio wa JF. Amka ndotoni!hizonguvuanazo? siyo wivu haki nauliza tu ila sitaki kuwa mke wa pili.
Makasiriko haya sasaMARY MAJALIWA SIYO MUISLAM, AACHE UPUMBAVU KWENYE NDOA ZA WATU HUYO FALA.
Sasa kama siyo wivu kinachokufanya kukataa ni ninihizonguvuanazo? siyo wivu haki nauliza tu ila sitaki kuwa mke wa pili.
WE JAMAA UMELAANIWA, NAKUAPIA KWA KUMTUSI MAMA YANGU HUU MWAKA HAUUMALIZI UKIWA HAI, UNAKUFA.Fala ni Mama yako aliyekuzaa ukiwa mjinga Tena limbukeni
[emoji16][emoji16][emoji16]WE JAMAA UMELAANIWA, NAKUAPIA KWA KUMTUSI MAMA YANGU HUU MWAKA HAUUMALIZI UKIWA HAI, UNAKUFA.
Ipo mkuu,inategemea unaishi nchi gani.Its true hakuna ndoa ya mke kuwa mkristo na mume muislam batili
Hahahahahaaa,WE JAMAA UMELAANIWA, NAKUAPIA KWA KUMTUSI MAMA YANGU HUU MWAKA HAUUMALIZI UKIWA HAI, UNAKUFA.
sidhaana kama so called Kiongozi wa diniUnaweza usijue, lakini inawezekana kabisa kwamba huyo sheikh anayo agenda muhimu anayoitekeleza kwa njia zake mwenyewe, na inaelekea yuko 'consistent' juu ya jambo analolifanyia kazi.
Bwahaaa bwahaaa, mkuu nimecheka kwa nguvu. Nahisi mkikutana na shehe mkuu mtagawana majengo ya umma, yeye mortuary, na ww lupango.Fala kabisa lilimlinganisha Yesu na Magufuli. Hovyo kabisa takataka
Duh! nikisoma hii komenti yako, avatar na jina mh!Siyo hutaki, huna hadhi ya kutongozwa na PM wala mwenye hela. We' size yako ni sisi makapuku wenzio wa JF. Amka ndotoni!
Weka hilo andiko