Weka hilo andiko
Aayah inayohusiana na hilo ni ile ya Suratul Maa’idah (5):
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka hilo andiko
Aayah inayohusiana na hilo ni ile ya Suratul Maa’idah (5):
We jamaa kwa hiyo huyo sheikh njaa ndio anawakilisha wauslamu wote mpaka umeamua kuwatusi wote.Waislamu ni watu wa hovyo sana imagine hilo jamaa kwakua lenyewe limevimbiwa na hela za CCM haoni mambo ya msingi ya kuwasemea wenzie anawaza kuongeza wigo wa ngono tu. Hii mijitu ni ya hovyo sana.
Jione ulivyo mtu wa hovyo. TakatakaMwanaume rijali lazima awe na mwanamke zaid ya mmoja bwashee
😆😁😁😄😃SHekhe mbona kama kalewa hayohayo madawa ya kulevya
Mke unaye wewe, miaka yote hiyo hakuwa mzinifu leo hii ndio mna muona mzinifu.Kidini PM hana mke ni mzinifu apo katumia hekima tu anataka Mh aoe
Huyu Sheikh dua yake haiwezi sikilizwa. Huyu alikuwa akiamtukuza sana jiwe. Imani yake haba sabaSheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.