Sheikh Mkuu amuombea dua Waziri Mkuu aoe mke wa pili

Sheikh Mkuu amuombea dua Waziri Mkuu aoe mke wa pili

Waislamu ni watu wa hovyo sana imagine hilo jamaa kwakua lenyewe limevimbiwa na hela za CCM haoni mambo ya msingi ya kuwasemea wenzie anawaza kuongeza wigo wa ngono tu. Hii mijitu ni ya hovyo sana.
Astaghafirulah
 
Kitendo anachofanya huyo Sheikh kinaingilia faragha ya mtu.

Mtu ana mke wake aliyeishi naye miaka kibao! Leo umfanyie dua ya kuoa mke wa pili! Amekuomba umfanyie hivyo!

Na hata kama amekuomba, huyo mke anapatikana kwa kupitia hiyo dua, au ni kwa kupitia makubaliano ya watu wawili wapendanao?
 
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.

Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
Hizo kampeni mbona mapema sn?

Fanya KAZI, Bado parefu sana 2025.
 
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.

Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.

Kwani jamaa itakuwa Hana utulivu? Shehe anamaono?
 
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.

Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
Kwa lugha nyingine ni kwamba Premier Majaliwa tayari ana 'Kichaka' Kipya ila Mkewe Mama Mary hajui hivyo kawasiliana mapema na Sheikh huyo ili achomekee leo kama Utani ili kumuandaa Kisaiokolojia Mkewe hata kama itakuwa kweli kwa hivi karibuni au kwa baadae.
 
Back
Top Bottom