Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha ubaguzi wa kidini bhana.. mbona wakristo wakioa waislamu hamsemi wanazini so waoe upya?!!!Kidini PM hana mke ni mzinifu apo katumia hekima tu anataka Mh aoe
Sio kwamba anapenda kupita barabara ya vumbi?Huyu shehena nasikia anapenda sana wanawake wa kiarabu wenye makalio makubwa...haoni aibu kuowa asubuhi na kuacha jioni
AstaghafirulahWaislamu ni watu wa hovyo sana imagine hilo jamaa kwakua lenyewe limevimbiwa na hela za CCM haoni mambo ya msingi ya kuwasemea wenzie anawaza kuongeza wigo wa ngono tu. Hii mijitu ni ya hovyo sana.
Fala ni Mama yako aliyekuzaa ukiwa mjinga Tena limbukeniMARY MAJALIWA SIYO MUISLAM, AACHE UPUMBAVU KWENYE NDOA ZA WATU HUYO FALA.
Hizo kampeni mbona mapema sn?Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
Kwani jamaa itakuwa Hana utulivu? Shehe anamaono?
Kwa lugha nyingine ni kwamba Premier Majaliwa tayari ana 'Kichaka' Kipya ila Mkewe Mama Mary hajui hivyo kawasiliana mapema na Sheikh huyo ili achomekee leo kama Utani ili kumuandaa Kisaiokolojia Mkewe hata kama itakuwa kweli kwa hivi karibuni au kwa baadae.Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
Kwani Mary ni shangazi yako? Mbona unakua na wivu kama vile wewe ndio unapelekewa moto kulikoni mkuu?MARY MAJALIWA SIYO MUISLAM, AACHE UPUMBAVU KWENYE NDOA ZA WATU HUYO FALA.