Sausi Alex
JF-Expert Member
- Jan 26, 2021
- 239
- 181
Hifadhi maneno yako kwenye hansadi maana utatangulia wewe uliyetoa maneno ya kifedhuli Kwa kiongozi wa Dini ambayo hata huna mafungamano nayoWE JAMAA UMELAANIWA, NAKUAPIA KWA KUMTUSI MAMA YANGU HUU MWAKA HAUUMALIZI UKIWA HAI, UNAKUFA.
Mashehe ubwabwa utawajua tu..Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
MAJALIWA kama yeye ni muislam hamsa salawat na anafunga ramadhani na kuamini kitabu cha kuraan na mafundisho yake basi pale alipo Hana NDOA ndio maana shkh akamshauri aowe NDOA ya kiislamu co ya bomani.Sheikh funza kichwani aache kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu.
Unafik tu na kuhamasisha Udini. Kwanza ni dharau dhidi ya binadamu mwenzake. Kamkosea sana mke wa majaliwa. Huyo alieleta hicho kitabu chenyewe hajawahi kuwa na ndoa au mahusiano yaliyonyooka. 'mon man waarabu!???MAJALIWA kama yeye ni muislam hamsa salawat na anafunga ramadhani na kuamini kitabu cha kuraan na mafundisho yake basi pale alipo Hana NDOA ndio maana shkh akamshauri aowe NDOA ya kiislamu co ya bomani.
Huyu sheikh ni wa ajabu sana wake wengi kwake ni sifa.basi aongeze yeye awe na wanawake kumiSheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
Kwani Yesu sinae alikuwa mwanadamu?Fala kabisa lilimlinganisha Yesu na Magufuli. Hovyo kabisa takataka
Hutaki kuwa mziwanda na kula mapochopocho VIP treatment hna mafao akistaafu?hizonguvuanazo? siyo wivu haki nauliza tu ila sitaki kuwa mke wa pili.
Maombi ya kisenge amekosa vitu vya kuviombea Tz ambavyo vinagusa watu wengi?Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
MAJALIWA kama yeye ni muislam hamsa salawat na anafunga ramadhani na kuamini kitabu cha kuraan na mafundisho yake basi pale alipo Hana NDOA ndio maana shkh akamshauri aowe NDOA ya kiislamu co ya bomani.
Alhad hatimaye umeibuka.Fala ni Mama yako aliyekuzaa ukiwa mjinga Tena limbukeni
Kwanini asimuombee dua ili ajenge hospitali au shule ili wengine nao wafaidi ?Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate utulivu zaidi katika mizunguko yake.
Ameyasema hayo wakati Waziri Mkuu alipokuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Julai 2, 2022.
[emoji38][emoji38][emoji38]Huyu shehena nasikia anapenda sana wanawake wa kiarabu wenye makalio makubwa...haoni aibu kuowa asubuhi na kuacha jioni