USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Baraza la Waislamu BAKWATA lilikaa jana chini ya Mufti Zubery limfuta kazi Shekhe Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Alhaji Mussa Salumu kutokana na mienendo isiyofaa aliyoionesha tangu siku za nyuma na kufuatia kulumbana na baraza la Maulamaa kuhusu talaka ya mke wa Dk Juma Mwaka.
Juzi vyombo vya habari hapa nchini vilimnukuu akisema yeye hataki kuwa mufti wa Tanzania akionya kama kuna watu wanamshambulia wakidhani anataka madaraka hayo.
Pia kumekuwa na taarifa za kutukanisha BAKWATA kwa tabia yake ya kugombana na wanablog Mange Kimambi kwa muda mrefu
Nafasi yake inachukuliwa na shekhe Walid Alhad Omar
USSR
Juzi vyombo vya habari hapa nchini vilimnukuu akisema yeye hataki kuwa mufti wa Tanzania akionya kama kuna watu wanamshambulia wakidhani anataka madaraka hayo.
Pia kumekuwa na taarifa za kutukanisha BAKWATA kwa tabia yake ya kugombana na wanablog Mange Kimambi kwa muda mrefu
Nafasi yake inachukuliwa na shekhe Walid Alhad Omar
USSR