Penologist
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 790
- 1,923
Taasisi kubwa kama ile halafu haina "programmed decision making" hata atakayeweka hapo atakuwa anafanya maamuzi kwa utashi wake na siyo kwa maslahi mapana ya Taasisi na lengo kuu la taasisi.
Hiyo itaendelea kuleta misuguano kati ya wahanga wa maamuzi ya viongozi.
Hiyo itaendelea kuleta misuguano kati ya wahanga wa maamuzi ya viongozi.