Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum atenguliwa

Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum atenguliwa

Picha yake
Huyu hapa USSR
Screenshot_20230202-210229.jpg
 
Leo tarehe 2/2/2023 baraza la waislam tanzania BAKWATA limemvua cheo cha ushekhe wa mkoa wa daresalam aliyevunja ndoa ya dk mwaka,

Nakumbuka alishawahi kumwambia mange kimambi atamsomea dua uzulike
Evidence?
 
Baraza la Ualama la Baraza kuu la kiislamu Tanzania Bakwata, lililokutana kwa siku mbili jijini Dar es Salaam chini ya mwenyekiti wake Mufti Abubakari Zuberi, limetengua uteuzi wa Sheikh wa Mkoa wa DSM Alhad Mussa, kuanzia leo Alhamis Feb2 2023 na nafasi yake imechukuliwa na Sheikhe Walid Alhad Omary
[[/IMG]
 
UTV wanalipoti muda huu kuwa shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alhaji ISSA salimu ametolewa kwenye nafasi yake sio tena shekhe wa mkoa

Huu isiwe ile vita na mke wa mtu na wale Maulamaa walivyomkalia kooni

USSR
View attachment 2504080
Nasikia huyu bwana wake zake wanamkimbia anapenda kwa mpalange Sana , Na kila mwanamke anaeolew lazm akupigwe nyuma kwa mpalange
 
Back
Top Bottom