Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UTV wanalipoti muda huu kuwa shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alhaji ISSA salimu ametolewa kwenye nafasi yake sio tena shekhe wa mko...
Maulamaa wamenyofoa cheo chao,Kama ni kweli fisadi na wababaishaji wamerejea madarakani ngazi zote. Huyo mwaka anayejidai ni daktari msomi hawezi kusababisha shekhe wa mkoa wa dsm avuliwe madaraka.
Kama KimaroNi jambo jema
Alitoa siri kwamba Mchakato wa kuomba Mahakama ya Kadhi Serikalini haukufika mwisho
Nikajua tu ameshajivuruga!
Labda amani ya kula ubwabwa wa maccm wenzake.Alikuwa ni mtu anaependa amani na maridhiano ya kidini watu wa hivi huwa hawatakiwi, sijui kwa nini
Huyu shehe wa CCM tangu zamani alionekana kuwa kanjanja ngoja sasa akapigwe njaa hadi akili zimkae sawa.UTV wanalipoti muda huu kuwa shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alhaji ISSA salimu ametolewa kwenye nafasi yake sio tena shekhe wa mkoa
Baraza la waislamu BAKWATA lilikaa jana chini ya Mufti Zubery limfuta kazi shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Alhaji Mussa Salumu kutokana na mienendo isiyofaa aliyoionesha tangu siku za nyuma na kufuatia kulumbana na baraza la Maulamaa kuhusu talaka ya mke wa Dk juma mwaka
Juzi vyombo vya habari hapa nchini vilimnukuu akisema yeye hataki kuwa mufti wa Tanzania akionya kama kuna watu wanamshambulia wakidhani anataka madaraka hayo.
Pia kumekuwa na taarifa za kutukanisha BAKWATA kwa tabia yake ya kugombana na wanabrog mange kimambi kwa muda mrefu
Nasafi yake inachukuliwa na shekhe Walid Alhad Omar
USSR
View attachment 2504080
View attachment 2504211
AkomeNi jambo jema
Alitoa siri kwamba Mchakato wa kuomba Mahakama ya Kadhi Serikalini haukufika mwisho
Nikajua tu ameshajivuruga!
Ni jambo jema
Alitoa siri kwamba Mchakato wa kuomba Mahakama ya Kadhi Serikalini haukufika mwisho
Nikajua tu ameshajivuruga!
The Director of Tanzania Intelligence and Security Services (TISS), Mr Rashid Othman ....
Bashite = SUBIANIHuyo shehe ndiye alikuwa mpiga mapambio wa Bashite na Lusifa
Maridhiano ya kidini una maana gani??? Nani amewaambia kuna ushirika wa kiibada baina ya Islam na dini nyingine???Alikuwa ni mtu anaependa amani na maridhiano ya kidini watu wa hivi huwa hawatakiwi, sijui kwa nini
Chizenga kamzidi kete alhadYaani ni majanga.Mwaka kawapa ngapi ?Au Chizenga ana chuki binafsi na Alhadi?