Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum atenguliwa

Pamoja kuwa mkwewe lkn haukuzuia kumchinjia baharin
Mufti kafanya maamuzi sahihi.
kiongozi wa dini ni kioo cha maadili na nidhamu ya kiwango cha juu kwa waamini wake na hata jamii kwa ujumla.

Pongezi kwa shek wa mkoa mpya aliye teuliwa.
 
za ndaaaaani, zinadai kwamba jamaa ni mtu wa geti jeusi, makumbusho.

so wale wasaga kunguni wenzangu wanaodhani kwamba kwa kuondolewa ktk hiyo nafasi kutamfanya alale na njaa, hilo tusau.

watamtafutia kichaka kingine cha kumficha ili aendelee kublend na jamii na maisha yaendelee.
 
Alikua anaambatana na mwendazake kila corner akajisahau akajua yeye ni mkuu kuliko watu wote Bakwata. Kila mchuma janga hula na nduguze
 
NADHANI SASA ATAGOMBEA UBUNGE
 
Jamaa anatembea na ma vieiitee. Jamaa hana wa kumgusa. Anaingia airport anachukua kibegi anatoka.. haguswi.
Saa 9 usiku ulinzi mkali. Aaanh.. mtu wa majigambo, zee la mipango. Sikujua jamaa ni sheikh, mpaka mwaka juzi aisee. Nimeona show zake tatu za moto nikauliza huyu ni nani. Aisee kuna watu wanachezea pesa bongo hapa.. alafu wana vyeo vya kawaida sana.
 
Takataka za awamu ya tano zinaondoka kwa kasi, ni kama kalaana kanawapata
 
Mnafaidika nini kushangilia anguko la mwenzenu?

Kupumzishwa kutoka kwenye uongozi sio anguko. Kwa saab sii lazima afe akiwa kiongozi wa Waislam. Amekaa miaka mingapi ? Haitoshi ? Kuna waislamu ma milioni wanaweza kujaza nafasi yake.

Hiii ni hata kama angekuwa hana skandali. Ambazo anazo kibao. Ni vema alivyopumzishwa ije damu changa.

Mufti Zuberi is next up.
 

Karma sio kitu kidogo.
 
Upande atakapokuwa mzee wangu Mohamed Said ndio utakaokuwa sahihi, hiyo nafasi apewe sheikh Ponda sasa
Msaga...
Sheikh Ponda ni mkubwa mno kushika nafasi hiyo.

Hili mosi.

Pili BAKWATA ina historia ambayo haipendezi kwa umma mkubwa wa Waislam.

BAKWATA haikuundwa na Waislam.

Waislam wengi wamejitenganayo.

Kuwa kiongozi katika taasisi hiyo ni mtihani mkubwa.

Ponda anasikilizwa na umma mkubwa wa Waislam nje ya BAKWATA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…