Asalaam aleykum Al-Akh,
Sheikh Mohammed Said kwa muda mrefu tumekuwa tukijadiliana kwa marefu na mapana kuhusu historia ya Tanzania. Ukaleta kitabu cha life and times of Abdulwahid Sykes watu wakakubeza. Kikaja kitabu chengine cha the Rise of Muslim Militants wakakubeza.
Ukweli umeanza kujitokeza bungeni sasa baada ya Tundu Lissu kumwaga hadharani mtama kuwa kiini cha Tatizo la nchi hii ni nani na kwanini? Na mambo yanavyozidi kwenda mbele nadhani mengi yatajitokeza hadharani.
Kassim Hanga alivyokuwa ametamkwa nilitokwa na machozi kwani kwa muda mrefu watu wamekuwa wakiogopa kusema what happened to this person na who is responsible for his death. Na wengineo wengi.
Binafsi nakupa hongera ukweli umeanza kudhihirika. Na akina Nguruvi, Mwanakijiji na wengineo mtakeni Radhi Sheikh Mohammed kwa kumbeza na usoni mambo yatazidi kuja hadharani na mchakato wa katiba hii.
Nilikuwapo!
Sheikh Mohammed Said kwa muda mrefu tumekuwa tukijadiliana kwa marefu na mapana kuhusu historia ya Tanzania. Ukaleta kitabu cha life and times of Abdulwahid Sykes watu wakakubeza. Kikaja kitabu chengine cha the Rise of Muslim Militants wakakubeza.
Ukweli umeanza kujitokeza bungeni sasa baada ya Tundu Lissu kumwaga hadharani mtama kuwa kiini cha Tatizo la nchi hii ni nani na kwanini? Na mambo yanavyozidi kwenda mbele nadhani mengi yatajitokeza hadharani.
Kassim Hanga alivyokuwa ametamkwa nilitokwa na machozi kwani kwa muda mrefu watu wamekuwa wakiogopa kusema what happened to this person na who is responsible for his death. Na wengineo wengi.
Binafsi nakupa hongera ukweli umeanza kudhihirika. Na akina Nguruvi, Mwanakijiji na wengineo mtakeni Radhi Sheikh Mohammed kwa kumbeza na usoni mambo yatazidi kuja hadharani na mchakato wa katiba hii.
Nilikuwapo!