Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu gombesugu,
nipo hapa saa hii namtizama mbowe,kuna wakati alisema;namnukuu rondemly.alisema "mwl nyerere alikubari kukosolewa,hata yeye mwenyewe alikiri kuwa kuna makosa yalifanyika ktk utawala wake....".
that being quoted,sidhani kama ni sahihi kuhisi tundu lissu katumwa na mzee edwini mtei kumkosoa nyerere.sio jambo la ajabu kwa wanachadema kumkosoa nyerere.
Shukran Kamanda nimekusoma!
Hivi ni kweli hizi khabar zilozagaa mjini hivi sasa...yakua Muheshimiwa Tundu Lissu ametumwa na mmiliki wa Chadema Bwana Edwin Mtei...katika ule muendelezo wa ile hasama ya myaka mingi baina yake na Baba Wa Taifa!?...yaani kwa kifupi Tundu Lissu anatumika tu kwa maslahi binafsi ya Mtei,au!? Daah!
Mkuu Kadoda...vipi weye binafsi una maoni yapi kukhusu hizi shutuma za Lissu kwa Baba Wa Taifa!?
Yaani unakubaliana na Lissu yakua Nyerere aliishi maisha ya kilaghai,vitisho,unafiki,uzandiki na dhuluma!? Daah!
Yaani kwa mujibu wa Tundu Lissu...inamaanisha yakua yule Nyerere alikua hana tafauti na Papaa Msofe au jambazi Alex Massawe!? Daah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!
Hivi Dr Slaa atakubali kweli kumuachia ugombeaji wa Rais huyu Lissu...najua karibuni kitanuka pale Ufipa!? Daah! Teeh! Teeeh! Teeeh!
Nakutakia siku njema mjukuu wangu kipenzi
Ahsanta sana!
Tumtake radhi kwani alieleza nini cha maana?Asalaam aleykum Al-Akh,
Sheikh Mohammed Said kwa muda mrefu tumekuwa tukijadiliana kwa marefu na mapana kuhusu historia ya Tanzania. Ukaleta kitabu cha life and times of Abdulwahid Sykes watu wakakubeza. Kikaja kitabu chengine cha the Rise of Muslim Militants wakakubeza. Ukweli umeanza kujitokeza bungeni sasa baada ya Tundu Lissu kumwaga hadharani mtama kuwa kiini cha Tatizo la nchi hii ni nani na kwanini? Na mambo yanavyozidi kwenda mbele nadhani mengi yatajitokeza hadharani. Kassim Hanga alivyokuwa ametamkwa nilitokwa na machozi kwani kwa muda mrefu watu wamekuwa wakiogopa kusema what happened to this person na who is responsible for his death. Na wengineo wengi.
Binafsi nakupa hongera ukweli umeanza kudhihirika. Na akina Nguruvi, Mwanakijiji na wengineo mtakeni Radhi Sheikh Mohammed kwa kumbeza na usoni mambo yatazidi kuja hadharani na mchakato wa katiba hii.Nilikuwapo!
Tumtake radhi kwani alieleza nini cha maana?
Haya yote yanayozungumzwa sasa tumeyajadili. Labda nikueleza tofauti moja ya Lissu na Mohamed, Lissu anaongea kwa data na vithibitisho. Mohamed Said anaongea kwa hisia 'inasemekana, imesemwa, nilisikia, ati, huenda' n.k.
Nitake radhi upotoshaji,fitna na uzushi, ebo! nidhalilishe uwezo wangu wa kufikiri !
Tadhali nitake radhi kwa kunihusisha na mada za MS
Aliyeandika hapa ni Viroba sio wewe pls gombesugu ukija ndo uedit account yako imehakiwa na viroba vya zanzi!!!
Mohammed Said alikupa data ulizikubali? Alikuletea vithibitisho ulivyokubali? Ajabu sasa akivitoa Lissu unavikubali je ni kwanini?
Prove kwamba nimevikubali mahali.Mohammed Said alikupa data ulizikubali? Alikuletea vithibitisho ulivyokubali? Ajabu sasa akivitoa Lissu unavikubali je ni kwanini?
Wee Nanren,Nguruvi3 na kenge wenzenu!
Acheni amma punguzeni kebehi japo kiduchu!
Maiti ya Baba yenu wa Taifa leo inavuliwa nguo hadharani na yule kilaza wenu wa Kinyiramba!
Kwa kifupi,nyinyi misukule nyoote safari hii mtakula kibri na jeuri zenu za kinyama! Mmejawa na chuki na hasada tu!
Hakuna jipya lolote au la maana alilosema yule Mnyiramba wenu pale Dodoma...lakini mmeamua kumeza kwa haraka haraka sababu ya udini wenu...mpo tayari kumeza uharo wowote na kwa gharama yoyote ile,sababu tu ya udini na chuki zenu kwa wasio wa imani zenu,sio!? Daah! Khalaf nyinyi vilaza ndo mnajinasibu usomi na uzalendo!? Duuh!
Tunajua dose inawauma...lakini tulieni tu kiduchu kiducbu mtapona tu!
Tumechoka kuishi na misukule nyinyi alotwachia yule kenge mwenzenu Nyerere...lazim tuwarekebishe tu...maana mmetugharimu mno!
Sasa,je mnakubaliana na kauli za yule mnyiramba wenu aka Tundu Lissu...yakua yule Nyerere aliishi maisha ya unafiki,urongo,vitisho na uzandiki...yaani kwa maana hiyo yule Nyerere hakuwa tafauti asilan na hao majambazi/matapeli kama Papaa Msofe na Alex Massawe!? Daah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!
Acheni kumtaja au kumsumbua Mstahiki Mohamed Said...yeye sio level yenu!
Wee khabith wa Kibondei aka Nguruvi3...acha ukenge...huna intellect,credibility walaa integrity ya kuzungumzia lolote/chochote katika nchi hiyo! Utabakia kupiga debe na kumwaga uharo humu-JF maisha yako yoote! Daah!
Nakutakiani jioni njema...na mjifunze adab za mijadala! Ebo!
Ahsantani sana!
Hii mada Ikiendelea waje na wachangiaji wengine!?!
Kumpaisha wapi JF? Usinichekeshe vitabu vyake ndiyo vinampaisha, wakati anamjibu Mtume wenu Nyerere wala hakuitaji kupaishwa aje kuitaji kupaishwa JF ebo!Mnataka kumpaisha tu yule mfitini wa kimanyema kwa kuhusisha na aliyosema Lissu. Rejeeni mijadala ya huko nyuma ya huyo nabii wenu wa kimanyema, masimulizi yake yamejaa hisia nyingi ambazo ndizo alikuwa anazitumia kuleta chuki za kidini. Na hayo ndiyo tuliyokuwa tunampinga.
Ati tumwombe msamaha, msamaha my foot!
Kwa hiyo kutokana na data za Tundu Lissu umekubali kuwa Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu, hizo ndiyo data za Tundu Lissu.Tumtake radhi kwani alieleza nini cha maana?
Haya yote yanayozungumzwa sasa tumeyajadili. Labda nikueleza tofauti moja ya Lissu na Mohamed, Lissu anaongea kwa data na vithibitisho. Mohamed Said anaongea kwa hisia 'inasemekana, imesemwa, nilisikia, ati, huenda' n.k.
Nitake radhi upotoshaji,fitna na uzushi, ebo! nidhalilishe uwezo wangu wa kufikiri !
Tadhali nitake radhi kwa kunihusisha na mada za MS
Kwani ni uongo kamanda au unataka kujitoa ufahamu.Nyie wafia dini acheni unafiki si kila siku mnasema kwamba Chadema chama cha Wakristo leo wanaume wanamwaga nondo za ukweli mnajitia kimbele mbele.Mkafie mbele huko na udini wenu.Hamna pakushika sasa hivi baada ya lichama lenu kutaka kuibaka katiba.Tulieni mtetewe ndo mtajua nini faida ya Chadema na vyama vya upinzani kwa ujumla.cc Ritz na mbululas wenzako wote.