Bill Cosby
JF-Expert Member
- Sep 2, 2013
- 2,588
- 1,554
Mnataka kumpaisha tu yule mfitini wa kimanyema kwa kuhusisha na aliyosema Lissu. Rejeeni mijadala ya huko nyuma ya huyo nabii wenu wa kimanyema, masimulizi yake yamejaa hisia nyingi ambazo ndizo alikuwa anazitumia kuleta chuki za kidini. Na hayo ndiyo tuliyokuwa tunampinga.
Ati tumwombe msamaha, msamaha my foot!
Ng'ombesugu, acha matusi! Mbona unakosa adabu kama mtu anayeSUGUliwa?
Mtoto wa zinaa utamjua tu!
hata akiwaasa wenzake lzm atoe matusi ya nguoni!
We kijana mvaa shanga!
Tunafahamu kuwa babako humjui!
Je! Mama pia huna?
Au nyie ndio ile mitoto iliokuwa kwa bahati nasibu.
Mitoto.najisi km nyie pamoja na hao kina nguruwe3 na mpenziwe hamna mlijualo.ispokuwa kumkashifu mzee Ms bila hoja!
Nendeni.mkatafute baba zenu kwanza kabla ya kuingia humu jukwaani!
Huenda.hizo lugha za nyumbani kwenu mkaacha kuzitumia humu!
Watoto nuksi sana nyie!