Sheikh Mohamed Said heko wewe ni gwiji la historia Sasa mambo yanajitokeza hadharani!

Sheikh Mohamed Said heko wewe ni gwiji la historia Sasa mambo yanajitokeza hadharani!

Status
Not open for further replies.
Mnataka kumpaisha tu yule mfitini wa kimanyema kwa kuhusisha na aliyosema Lissu. Rejeeni mijadala ya huko nyuma ya huyo nabii wenu wa kimanyema, masimulizi yake yamejaa hisia nyingi ambazo ndizo alikuwa anazitumia kuleta chuki za kidini. Na hayo ndiyo tuliyokuwa tunampinga.
Ati tumwombe msamaha, msamaha my foot!


Ng'ombesugu, acha matusi! Mbona unakosa adabu kama mtu anayeSUGUliwa?

Mtoto wa zinaa utamjua tu!
hata akiwaasa wenzake lzm atoe matusi ya nguoni!

We kijana mvaa shanga!
Tunafahamu kuwa babako humjui!
Je! Mama pia huna?
Au nyie ndio ile mitoto iliokuwa kwa bahati nasibu.

Mitoto.najisi km nyie pamoja na hao kina nguruwe3 na mpenziwe hamna mlijualo.ispokuwa kumkashifu mzee Ms bila hoja!

Nendeni.mkatafute baba zenu kwanza kabla ya kuingia humu jukwaani!
Huenda.hizo lugha za nyumbani kwenu mkaacha kuzitumia humu!

Watoto nuksi sana nyie!
 
Daah! Teeeh! Teeeh! Teeh!

Yaani Mkuu umenifanza nicheke pasi kiasi! Daah! Haya bana!

Yaani unenikumbusha kipindi kile account ya Mzee Slaa humu-JF, ilipokua inatumika na Dadaetu Josephine Mshumbuzi...na kuwatukana wapinzani wa fikra za Bwanake!? Daah!

Ahsanta sana.

Kwa hiyo wewe nawe umemwachia mkeo achangie mada?
 
Ng'ombesugu, acha matusi! Mbona unakosa adabu kama mtu anayeSUGUliwa?
Wewe una adabu gani? majibu ya gombesugu ni murua kutokana na maneno yenu sasa wewe unatuambia Mohamed Said nabii wetu hivi kweli utajibiwa kiustaraabu hapana sisi hatupo hivyo ukifanya mjadala kiungwana unatajibiwa kiungwana, lakini wewe utajibiwa kikauzu kama ulivyo kauzu.
 
Last edited by a moderator:
Alichosema Tundu Lissu Bungeni kuhusu Nyerere ndicho anachokisema kila siku humu JF Mzee Mohamed Said.

Bahati nzuri leo hii watu wengine tena viongozi wa vyama vya upinzani unamuongelea Nyerere alichowafanyia Watanzania.

Shukran sana Akhy Mohamed Said

Nakala gombesugu

Acheni kupotosha, kasomeni tena report ya Lissu, imesheeni references zaidi ya 70 na zingine za mwaka huu 2014. Na mkumbuke report ya Lissu ni ya vichwa vya UKAWA is not a single person's stand.
 
Last edited by a moderator:
Acheni kupotosha, kasomeni tena report ya Lissu, imesheeni references zaidi ya 70 na zingine za mwaka huu 2014. Na mkumbuke report ya Lissu ni ya vichwa vya UKAWA is not a single person's stand.
Kupotosha nini? Tundu Lissu kasema Nyerere alizoa kuishi kwa uongo na udanganyifu sasa wewe kutokana na kumpenda Nyerere hautaki kuyasikia haya maneno huo ndiyo ukweli.
 
Wee Nanren,Nguruvi3 na kenge wenzenu!

Acheni amma punguzeni kebehi japo kiduchu!

Maiti ya Baba yenu wa Taifa leo inavuliwa nguo hadharani na yule kilaza wenu wa Kinyiramba!

Kwa kifupi,nyinyi misukule nyoote safari hii mtakula kibri na jeuri zenu za kinyama! Mmejawa na chuki na hasada tu!

Hakuna jipya lolote au la maana alilosema yule Mnyiramba wenu pale Dodoma...lakini mmeamua kumeza kwa haraka haraka sababu ya udini wenu...mpo tayari kumeza uharo wowote na kwa gharama yoyote ile,sababu tu ya udini na chuki zenu kwa wasio wa imani zenu,sio!? Daah! Khalaf nyinyi vilaza ndo mnajinasibu usomi na uzalendo!? Duuh!

Tunajua dose inawauma...lakini tulieni tu kiduchu kiducbu mtapona tu!

Tumechoka kuishi na misukule nyinyi alotwachia yule kenge mwenzenu Nyerere...lazim tuwarekebishe tu...maana mmetugharimu mno!

Sasa,je mnakubaliana na kauli za yule mnyiramba wenu aka Tundu Lissu...yakua yule Nyerere aliishi maisha ya unafiki,urongo,vitisho na uzandiki...yaani kwa maana hiyo yule Nyerere hakuwa tafauti asilan na hao majambazi/matapeli kama Papaa Msofe na Alex Massawe!? Daah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Acheni kumtaja au kumsumbua Mstahiki Mohamed Said...yeye sio level yenu!

Wee khabith wa Kibondei aka Nguruvi3...acha ukenge...huna intellect,credibility walaa integrity ya kuzungumzia lolote/chochote katika nchi hiyo! Utabakia kupiga debe na kumwaga uharo humu-JF maisha yako yoote! Daah!

Nakutakiani jioni njema...na mjifunze adab za mijadala! Ebo!

Ahsantani sana!

Teh teh teh teh!
Mkuu gombesugu umevunja mbavu zangu leo!

Huyo nguruwe3 siku hii Jf ikifungwa! Na yeye anakufa kifo cha mende!

Manake maskini ujuaji wake woote ni humuhumu ndani ya Jf!
Nje ya hapa! Hana amjuae! Wala hana anachokijua.

Kuropoka na kutoa maneno ya mipasho ndio fani yake.
Khalaf ati anataka kujibizana na MS!

Teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Mtoto wa zinaa utamjua tu!
hata akiwaasa wenzake lzm atoe matusi ya nguoni!

We kijana mvaa shanga!
Tunafahamu kuwa babako humjui!
Je! Mama pia huna?
Au nyie ndio ile mitoto iliokuwa kwa bahati nasibu.

Mitoto.najisi km nyie pamoja na hao kina nguruwe3 na mpenziwe hamna mlijualo.ispokuwa kumkashifu mzee Ms bila hoja!

Nendeni.mkatafute baba zenu kwanza kabla ya kuingia humu jukwaani!
Huenda.hizo lugha za nyumbani kwenu mkaacha kuzitumia humu!

Watoto nuksi sana nyie!
Yeye ndiyo kaanza kutoa kejeli kuwa Mohamed Said nabii wetu, mpini wa gombesugu ulivyoingia kashindwa kuvumilia.
 
Ndugu yangu Mchungaji Ntuzu,

Ndo maana yake Mkuu! Mbona unauliza majibu!? Daah!

Hapa sio Msikitini walaa kanisani...sisi soote tunapaswa kujumuika hapa kama Watanzania...na kwa maslahi ya Taifa letu na Wananchi wenzetu wangine,au!?

Vipi maandalizi ya Easter Mkuu!? Sisi wa huku Vijijini,sherehe zetu zinakua sio kubwa mno kama nyinyi wenzetu wa huko mijini!? Teeeh! Teeeh! Teeh!

Tuko pamoja!

Ahsanta sana.



Mkuu upo?

Easter iko na wenyewe Mkuu!
 
Tumtake radhi kwani alieleza nini cha maana?
Haya yote yanayozungumzwa sasa tumeyajadili. Labda nikueleza tofauti moja ya Lissu na Mohamed, Lissu anaongea kwa data na vithibitisho. Mohamed Said anaongea kwa hisia 'inasemekana, imesemwa, nilisikia, ati, huenda' n.k.

Nitake radhi upotoshaji,fitna na uzushi, ebo! nidhalilishe uwezo wangu wa kufikiri !
Tadhali nitake radhi kwa kunihusisha na mada za MS

Tuoneshe data za Mbowe, jana kuna mbunge aitwae Machali alikuwa akinukuu kitabu cha Ghassany, Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru, unajuwa kina uhusiano upi na Mohamed Said?

[video=youtube_share;k_1056Uk8Vo]http://youtu.be/k_1056Uk8Vo[/video]

Hapo sasa!
 
Mnataka kumpaisha tu yule mfitini wa kimanyema kwa kuhusisha na aliyosema Lissu. Rejeeni mijadala ya huko nyuma ya huyo nabii wenu wa kimanyema, masimulizi yake yamejaa hisia nyingi ambazo ndizo alikuwa anazitumia kuleta chuki za kidini. Na hayo ndiyo tuliyokuwa tunampinga.
Ati tumwombe msamaha, msamaha my foot!

Huko nyuma alikufanzaje Weye mnaniliwa...?

Gwiji la History Mohamed Said, alichokieleza tangu myaka hiyo ndo sasa yanadhihirika na wajinga wajinga kama weye ati kumsifia yule Kizuka atumiwaye Tobo Lissu.

Ninyi MIKAAFIR muna wivu mabaya sana, sisi tulikikupendeni ila sasa chuki zenyu mmezidhihirisha, nasi hatuna haja tena..

Nakugeiya mfano mdogo tu kukuthibitishia chuki zenyu dhidi ya Waislaamu na Uislaamu wao :

Hiyo ambayo yakupigisheni kelele ati Katiba mpya ninyi wakoswa na staha si mloianzisha, na pale walipoianzisha Waislaamu haikuonekana kuwa ni kitu cha muhimu na lazima kupitia umoja wenyu na sasa mlipokoswa cha kutoka nacho ndo mkakurupuka kama nsha kafumanika katika shamba la karanga na tahamaki mmejikuta hamuna cha kuzisafishia huja zenyu ila nondo za Mudeer Mohamed Said hazikwepeki na lazima muzitumie.

Shida inakuja wapi enyi wakoswa na fadhila / shukraan...!!?

Hamuna kipya pale ambacho hakijazungumziwa na zao la Madrasa kupitia gwiji lao kiboko wa kurekabisha rongorongo zenyu si mwangine ni astahikiye sifa hizo Mohamed Said.

Ntarejea .
 
Last edited by a moderator:
Tumtake radhi kwani alieleza nini cha maana?
Haya yote yanayozungumzwa sasa tumeyajadili. Labda nikueleza tofauti moja ya Lissu na Mohamed, Lissu anaongea kwa data na vithibitisho. Mohamed Said anaongea kwa hisia 'inasemekana, imesemwa, nilisikia, ati, huenda' n.k.

Nitake radhi upotoshaji,fitna na uzushi, ebo! nidhalilishe uwezo wangu wa kufikiri !
Tadhali nitake radhi kwa kunihusisha na mada za MS

Nguruvi

Wewe ni kinara kule "great thinkers" umenishangaza sana kumpa mtu/member onyo ati asikutaje/mention katika huu uzi.

Leo imekuwa nongwa/shida baba yako wa taifa kudadavuliwa hadharani na Tundu Lissu makubwa! Mzee Ms alipokuwa akitueleza kwamba huyu baba yako wa taifa ni mtu hatari/fatani ulipinga sana kwa kushirikiana na yule fundi mchundo sasa leo hii imethibitika kwamba historia ya kweli imefichwa.

Nguruvi ukweli utaonekana muda si mrefu hata mwenyekiti wa chama chako CDM amesema kuna umuhimu wa kuandika historia ya Tanzania/Tanganyika upya, Kwahiyo zile propaganda/kelele zenu mulikuwa munapiga kuhusu historia iliyoandikwa pale Kivukoni zimefikia tamati ni hayo tu.

Ahsanta.
 
Sasa hivi wabunge wa katiba wanafanya reference kupitia kwa maandiko ya kina Mohamed Said na Dr. Ghassany, kwenye kitabu cha Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru.
 
Duh! Nimekosa cha kujifunza juu ya mada hii. Sijaona hoja wala fikra pevu.
Nitarudi kukakugua tena.
 
Kwani ni uongo kamanda au unataka kujitoa ufahamu.

Nondo zipi mkuu kusema Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu wakati wa utawala wake haya maneno kayasema Lissu ndiyo nondo?

Mbona Mohamed Said na wengine waliyasema siku nyingi tu humu JF kabla ya Lissu.
Ustaadhat Mohamedi tatizo alikuwa anaongea bila ushahidi yeye ni hadithi hadithi tu ndomana hata Kikwete amemtosa ujumbe wa bunge la katiba kwani ni mzee wa porojo na ni mchochezi.Umeelewa we gamba.
 
Tumtake radhi kwani alieleza nini cha maana?
Haya yote yanayozungumzwa sasa tumeyajadili. Labda nikueleza tofauti moja ya Lissu na Mohamed, Lissu anaongea kwa data na vithibitisho. Mohamed Said anaongea kwa hisia 'inasemekana, imesemwa, nilisikia, ati, huenda' n.k.

Nitake radhi upotoshaji,fitna na uzushi, ebo! nidhalilishe uwezo wangu wa kufikiri !
Tadhali nitake radhi kwa kunihusisha na mada za MS

Daah!? You can't admit it. Wewe na wenzako huwa nawashangaa sana yaani ni watu wa ajabu sana. Chakumshukuru Mungu kila propaganda mnazofanya katika nchi yetu mnaishia kuaibika. Mumempigia propaganda Zitto ang'olewe chadema leo chadema inapumulia mashine, propaganda kwa CCM zimeishia kuota nyasi. Dah yaai mmebaki na hang'over sasa za kuwatukana wenzenu baada ya kalamu zenu kushindwa vibaya. Ndio maana ninamuambiaga Mzee Mwanakijiji arudi akafanye kazi yake ya kuhubiri injili kama alivyokuwa anafanya zamani.
 
Last edited by a moderator:
Hata hivyo haijalishi mtakubali kuwa mzee Mohamed Said kasema kweli au la chamsingi ni kuwa watanzania washajua kuwa mwalimuNYERERE hakuwahi kuwa mkweli hata kidogo bali aliishi maisha yaliojaa uwongo,unafiki, uzandiki. Hili linatosha kabisa la kuhusu maandiko ya Mohamed Said huo ukweli bakini nao moyoni mwenu.
 
Last edited by a moderator:
I wonder huyu mzee alipewa na cheo kabisa cha utakatifu ndani ya kanisa na kuitwa baba wa taifa kumbe ukiwa muongo, mnafiki na mzandiki ni sifa mojawapo ya kupewa utukufu na cheo ndani ya kanisa!? Napata picha sasa ya maovu wayafanyayo viongozi ndani ya makanisa huku wakiwa wanapewa vyeo na utukufu kuwa ni sehemu katika sifa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom