Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
Nashukuru kile kidogo nilichojaaliwa. Naomba unihifadhi al habib, kuninasabisha na MS mnanitia unyonge. Tafadhalini sana naomba mnipe stara kidogo.Wewe nguruwe3,
Kusoma hujui, hata lugha ya picha pia inakushinda!
Vithibitisho gani unataka hata ukatosheka kuhusu huyo kafiri mkubwa Nyerere kwa unyama alokua akifanza!...Mengi yamesemwa/yameandikwa na Sheikh Mohamed Said, na leo ndio hayo hayo yanarejewa na huyo Tundu Lisu.
Bila shaka utakua na kilema cha ufahamu wewe, si bure!
Ahsante.
Heshima kitu kidogo, nina waheshimu sana, nami naomba heshima yenu japo kidogo, mkome kuninisabisha na MS.