Sheikh Mohamed Said heko wewe ni gwiji la historia Sasa mambo yanajitokeza hadharani!

Sheikh Mohamed Said heko wewe ni gwiji la historia Sasa mambo yanajitokeza hadharani!

Status
Not open for further replies.
Wewe kujifungia kule kwenye jukwaa lako unaandika uharo unataka kujifananisha na Mohamed Said, ha ha ha ha.

Huwa nacheka sana mpo watatu mnajiuliza maswali kisha mnajijibu wenyewe.

Mnakubaliana kila uharo.
Sikujua unasoma kule. Hewala ndugu yangu. Hakuna lalam.
Niepushe tu na jina la MS, mengine sema hadi ukomo wako.
Usininasibishe na jina hilo, nina familia na naheshima zangu. Nisitiri ndugu yangu.

Vipi salama hapo nyumbani? Mvua namna gani zimekuathiri au umenusurika. Mwenyezi ajaalie na kutuepusha na mabalaa.

Msalimi ahli kama yupo na wengine hapo nyumbani.
 
Nitakuwa muongo zaidi ya ule wa Ibadan?
Nitakuwa muongo zaidi ya yule aliyesema Nyerere kaja Dar 1950? Nitakuwa muongo zaidi ya yule aliyesema Abdul hakumjua Nyerere hadi 1964. Nitakuwa muongo zaidi ya yule aliyeleta takwimu za Daily news kama ushahidi?
Nitakuwa muongo zaidi ya yule aliyesema research ya uongo?
Nitakuwa muongo zaidi ya yule aliyesema balozi kahutubia bunge?

Sidhani!


Wacha pumba, Lissu alivyosema hakuna hati ya Muungao Ikulu wakaitoa kukata mzizi wa fitna, wewe unaejidai una maandiko ya ukweli, weka reference hapa tuone:

Tuoneshe japo moja uliloandika likachapishwa, tupe reference.

Ukishindwa ujuwe wewe ni muongo, mzandik, mnafik, fataani.
 
Huna lolote Maneno matupu bila hoja kakojoe ulale...
Ndiyo Ilm mliyofyonza kwa MS? Tafadhali usimdhalilishe huyu Mzee, ni mtu ana familia na heshima zake.
Watu watakapobaini ninyi ndio wanafunzi wake, lah sijui watamwangalia vipi mzee wa watu.

Ukiongea bila kuleta lugha chafu unaeleweka na ndio uungwana.
Kwa lugha hiyo utaweza kumlingania nani? Chonde chonde walioko pembeni wanajiuliza, hivi ndivyo walivyo? Masikini kumbe sivyo ni wanafunzi wachache wa MS.

Inshallah nawe pia wasalimie hapo nyumbani. Mimi nakuombea kwa mwenyezi akpe kauli njema ili siku moja uwe mafao kwa jamii. Aiwekee ndimi yako kauli thabiti na hakika uwe miongoni mwa wema
 
Wacha pumba, Lissu alivyosema hakuna hati ya Muungao Ikulu wakaitoa kukata mzizi wa futna, wewe unaejidai una maandiko ya ukweli, weka reference hapa tuone:

Tuoneshe japo moja uliloandika likachapishwa, tupe reference.

Ukishindwa ujuwe wewe ni muongo, mzandik, mnafik, fataani.
Kama ni mzandiki na muongo mwenyezi atunusuru mimi na wewe. Pia usisahau kumnasihi MS aache kuzunguka duniani akieneza fitna. Fitna imesemwa sana katika vitabu, ni kweli ama nimekosea.

Vipi hapo kariakoo kasheshe ya maji ilikuwaje. Mvua za mwaka huu dhiki tupu.
Yote heri

Wajulie hali hapo Lumumba.

Ahsante
 
I mean

we are dangerous..

kama unabisha nenda kamuulize tundu lisu ile jeuri na ngebe ya kusimama na kumchamba nyerere kias kile wapi kautoa ule ujasiri...

ukweli haupendi kupindishwa pindishwa na kubezwa bezwa,

atlast moh said mzee wa gerezani kaibuka kidedea...

:israel:
Hewala, kidedea kwa wengine. Wenye vichwa vyao watawasoma wote wawili na kupata tafakur zao. Ni hatari kubwa kumeza shekh. Hata ming'oko lazima uangalie na kuisafisha.
Pori lina vingi na mengi, ukishaupata si kumeza tu.

Karibu sana Magila, hakika naanda ngwogwe na ng'ong'o.
 
Hotuba ya Tundu Lissu alioitoa bungeni Jana ndio imenileta hapa! Na Wewe umekuja hapa kwa sababu gani?
Kama unajua hivyo unavyokuja na maneno ya kipunguani kuwa eti Mohamed Said aje hawakataze watu humu ili akufurahishe wewe nani humu aliyekuambia yupo chini ya Mohamed Said.
 
Last edited by a moderator:
Kama unajua hivyo unavyokuja na maneno ya kipunguani kuwa eti Mohamed Said aje hawakataze watu humu ili akufurahishe wewe nani humu aliyekuambia yupo chini ya Mohamed Said.



Ni vema kumuita aje awatulize! Kwani nyie hapa mnamtetea nani Kama sio huyo Mzee Ms? Namna mnavyomtetea kwa lugha chafu ndio ustaraabu Wa madrasa huo? Na Kwanini Mzee Ms asije kuweka Hali ya mjadala ukawa Wa lugha nzuri Kama kweli mnapenda ustaraabu? Kwa jinsi mnavyotoa lugha mbovu ni kwamba mna mdharirisha tu huyo Mzee wenu Ms!
 
Kama ni mzandiki na muongo mwenyezi atunusuru mimi na wewe. Pia usisahau kumnasihi MS aache kuzunguka duniani akieneza fitna. Fitna imesemwa sana katika vitabu, ni kweli ama nimekosea.

Vipi hapo kariakoo kasheshe ya maji ilikuwaje. Mvua za mwaka huu dhiki tupu.
Yote heri

Wajulie hali hapo Lumumba.

Ahsante

Mwenyezi, Mwenyezi ndio nani huyo ?
 
Ndiyo Ilm mliyofyonza kwa MS? Tafadhali usimdhalilishe huyu Mzee, ni mtu ana familia na heshima zake.
Watu watakapobaini ninyi ndio wanafunzi wake, lah sijui watamwangalia vipi mzee wa watu.

Ukiongea bila kuleta lugha chafu unaeleweka na ndio uungwana.
Kwa lugha hiyo utaweza kumlingania nani? Chonde chonde walioko pembeni wanajiuliza, hivi ndivyo walivyo? Masikini kumbe sivyo ni wanafunzi wachache wa MS.

Inshallah nawe pia wasalimie hapo nyumbani. Mimi nakuombea kwa mwenyezi akpe kauli njema ili siku moja uwe mafao kwa jamii. Aiwekee ndimi yako kauli thabiti na hakika uwe miongoni mwa wema



Mkuu Nguruvi3 hapa hakuna la Maana! Huyo anaetetewa na Hawa wateteaji Hawa lolote!

Wangekua wanajadili Huku hisia zao za udini zikiwa kando Nafikiri Karibu Watu wengi wangejumuika nasi! Lakini Watu wameogopa kutokana na Hawa wanaojiita wana madrasa kutoa lugha zao mbaya!
 
Last edited by a moderator:
Ni vema kumuita aje awatulize! Kwani nyie hapa mnamtetea nani Kama sio huyo Mzee Ms? Namna mnavyomtetea kwa lugha chafu ndio ustaraabu Wa madrasa huo? Na Kwanini Mzee Ms asije kuweka Hali ya mjadala ukawa Wa lugha nzuri Kama kweli mnapenda ustaraabu? Kwa jinsi mnavyotoa lugha mbovu ni kwamba mna mdharirisha tu huyo Mzee wenu Ms!
Wewe kweli punguani sisi hapa hatupo kumtetea Mohamed Said, tupo hapa kutetea maandishi yetu ambao tuliandika sana kuhusu Nyerere.

Inawezekana wewe mgeni kwenye hii mijadala yetu fuatilia ujue tulianzia wapi.

Sisi leo tunawauliza alichosema Tundu Lissu mnakikubali kuhusu Nyerere wanasema wamekikubali sasa mbona sisi tumeyasema hayo maneno muda mrefu mkatuita wadini.

Halafu siyo kudharirisha ni kudhalilisha.
 
Kama ni mzandiki na muongo mwenyezi atunusuru mimi na wewe. Pia usisahau kumnasihi MS aache kuzunguka duniani akieneza fitna. Fitna imesemwa sana katika vitabu, ni kweli ama nimekosea.

Vipi hapo kariakoo kasheshe ya maji ilikuwaje. Mvua za mwaka huu dhiki tupu.
Yote heri

Wajulie hali hapo Lumumba.

Ahsante

Nguruvi

Sasa tukuelewe vipi wewe si umesema usinasibishwe na jina la mzee MS? sasa mbona unaendelea kulitaja na kama kweli hutaki mbona huu uzi umekushughulisha sana na kwenye jina la uzi umeandikwa jina lake?

Nilichogundua ni kwamba"unautaka ubondia lakini unaogopa manundu" ngoja nikuache uendelee kurusha ngumi hewani.
 
Mkuu Nguruvi3 hapa hakuna la Maana! Huyo anaetetewa na Hawa wateteaji Hawa lolote!

Wangekua wanajadili Huku hisia zao za udini zikiwa kando Nafikiri Karibu Watu wengi wangejumuika nasi! Lakini Watu wameogopa kutokana na Hawa wanaojiita wana madrasa kutoa lugha zao mbaya!
Hakuna lugha mbaya hapa unajibiwa jinsi utakavyokuja ukija kiungwana utapokelewa utapewa na faluda ukija kifedhuri utapokelewa pia ndiyo utaratibu wetu.
 
Last edited by a moderator:
Kama ni mzandiki na muongo mwenyezi atunusuru mimi na wewe. Pia usisahau kumnasihi MS aache kuzunguka duniani akieneza fitna. Fitna imesemwa sana katika vitabu, ni kweli ama nimekosea.

Vipi hapo kariakoo kasheshe ya maji ilikuwaje. Mvua za mwaka huu dhiki tupu.
Yote heri

Wajulie hali hapo Lumumba.

Ahsante


Bado hujathibitisha kauli yako kuwa wewe unaandika ya ukweli.

Hapa naona unamwaga pumba tu, usijiaibishe kama alivyojiaibisha jamaa yako Yericko Nyerere alipojidai yeye baba'ke mzazi ni Nyerere. Sasa wewe unaleta pumba za uandishi unapoambiwa weka ushahidi, unaleta pumba.

Huna lolote zaidi ya ufataani.

Jana bungeni Mbunge wa upinzani anaitwa Machali kakionesha kitabu cha Ghassany kama ndio reference yake na juu huko nimekubandikia kina uhusiano upi na Mohamed Said.

Wewe nawenzako si mlijidai mtaandika sijui pamoja sijui kila mtu kivyake kitabu cha kupingamaandiko ya Mohamed Said! Vipi mpaka leo bado tu, siku zimepita, miezi imepita, miaka sasa inakatika. Kulikoni? mlifikiri kuandika ni rahisi?

Unafikiri kutunga hadithi za uongo ndio kuandika kitabu kinachokaa kwenye maktaba za vyuo vikuu na sehemu zinazoheshimika duniani? Mawee!

Huna lolote zaidi ya porojo na ufataani tu.
 
Last edited by a moderator:
Bado hujathibitisha kauli yako kuwa wewe unaandika ya ukweli.

Hapa naona unamwaga pumba tu, usijiaibishe kama alivyojiaibisha jamaa yako Yericko Nyerere alipojidai yeye baba'ke mzazi ni Nyerere. Sasa wewe unaleta pumba za uandishi unapoambiwa weka ushahidi, unaleta pumba.

Huna lolote zaidi ya ufataani.

Jana bungeni Mbunge wa upinzani anaitwa Machali kakionesha kitabu cha Ghassany kama ndio reference yake na juu huko nimekubandikia kina uhusiano upi na Mohamed Said.

Wewe nawenzako si mlijidai mtaandika sijui pamoja sijui kila mtu kivyake kitabu cha kupingamaandiko ya Mohamed Said! Vipi mpaka leo bado tu, siku zimepita, miezi imepita, miaka sasa inakatika. Kulikoni? mlifikiri kuandika ni rahisi?

Unafikiri kutunga hadithi za uongo ndio kuandika kitabu kinachokaa kwenye maktaba za vyuo vikuu na sehemu zinazoheshimika duniani? Mawee!

Huna lolote zaidi ya porojo na ufataani tu.
Unataka kuniambia Nguruvi3 kuandika kote hana kitabu chochote hata kwenye maktaba, maandishi yake yapo JF halafu hakuna anayemjua.

Lakini Mwanakijiji yeye anacho kitabu cha mapenzi anakiuza pale Mlimani City kinaitwa Majeruhi wa Mapenzi.

Anakiuza 14.000

Teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Bado hujathibitisha kauli yako kuwa wewe unaandika ya ukweli.

Hapa naona unamwaga pumba tu, usijiaibishe kama alivyojiaibisha jamaa yako Yericko Nyerere alipojidai yeye baba'ke mzazi ni Nyerere. Sasa wewe unaleta pumba za uandishi unapoambiwa weka ushahidi, unaleta pumba.

Huna lolote zaidi ya ufataani.

Jana bungeni Mbunge wa upinzani anaitwa Machali kakionesha kitabu cha Ghassany kama ndio reference yake na juu huko nimekubandikia kina uhusiano upi na Mohamed Said.

Wewe nawenzako si mlijidai mtaandika sijui pamoja sijui kila mtu kivyake kitabu cha kupingamaandiko ya Mohamed Said! Vipi mpaka leo bado tu, siku zimepita, miezi imepita, miaka sasa inakatika. Kulikoni? mlifikiri kuandika ni rahisi?

Unafikiri kutunga hadithi za uongo ndio kuandika kitabu kinachokaa kwenye maktaba za vyuo vikuu na sehemu zinazoheshimika duniani? Mawee!

Huna lolote zaidi ya porojo na ufataani tu.

Cc Nguruvi3,Mag3,Mzee mwanakijiji,Son of Alaska,Yericko,Remote,Wickama,Gwalihenzi,Nicholas
 
Last edited by a moderator:
Wewe kweli punguani sisi hapa hatupo kumtetea Mohamed Said, tupo hapa kutetea maandishi yetu ambao tuliandika sana kuhusu Nyerere.

Inawezekana wewe mgeni kwenye hii mijadala yetu fuatilia ujue tulianzia wapi.

Sisi leo tunawauliza alichosema Tundu Lissu mnakikubali kuhusu Nyerere wanasema wamekikubali sasa mbona sisi tumeyasema hayo maneno muda mrefu mkatuita wadini.

Halafu siyo kudharirisha ni kudhalilisha.


Punguani Wewe mwenyewe!

Mnatetea unafiki na ufitini!
 
Hakuna lugha mbaya hapa unajibiwa jinsi utakavyokuja ukija kiungwana utapokelewa utapewa na faluda ukija kifedhuri utapokelewa pia ndiyo utaratibu wetu.



Hamna majibu ya busara nyie Zaidi ya lugha mbovu tu!
 
Hakuna lugha mbaya hapa unajibiwa jinsi utakavyokuja ukija kiungwana utapokelewa utapewa na faluda ukija kifedhuri utapokelewa pia ndiyo utaratibu wetu.

Mkuu pasuka awa siwo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom