Sheikh Mohamed Said heko wewe ni gwiji la historia Sasa mambo yanajitokeza hadharani!

Sheikh Mohamed Said heko wewe ni gwiji la historia Sasa mambo yanajitokeza hadharani!

Status
Not open for further replies.
Nashukuru sasa watanzania wameshafahamu mbivu na mbichi. Nyerere alikuwa hero asiyekosolewa sie kwa msaada wa mitandao hii na wanachuoni waliomdiriki Nyerere tumeuweka uhayawani wake japokuwa tumekuwa tukiitwa wadini. Haijatosha watu kibao waliokuwa wanamhusudu marehemu Nyerere wameanza nao kumvua nguo tena wav wa dini yake. Sasa sijui watakuwa ni wadini? Au ndio wanakuwa na majina mengine? Sie tupo tutaendelea kusema haki mpaka mwisho wa maisha yetu.

Shukran na umesomeka vya kutosha Mkuu Chamviga!

Tupamoja Maalim wangu!

Ahsanta sana.
 
Nyerere was smart... Aliwazuga wazenji, leo hii Lissu anaonekana mkombozi wa wazenji
 
Mass treatment: This can be dose and it reduces the parasite rate considerably even in people treated with more deleyed adminstration than the weeky one. In semi immune patients, the drug is active also at a lower dosage. Teh teh teh
teh teh..hili yai lako bhana..sijui upo busy na mare au mavi makavu ya mbwa najua dar hakuna ngamia..unakata gomba jangwani....unaokota jiwe ktk giza kumbe mavi ya mbwa......kweli hiyo ni sunnah.Ukimaliza urudi andika tena ..yai linaweza kuwa safi...?
 
Nyerere was smart... Aliwazuga wazenji, leo hii Lissu anaonekana mkombozi wa wazenji
Haha..alikuwa smart..km aliwapiga changa la macho wapenda bwabwa..wakampa masharti ...akapiga akili akaona hawezi wajengea shule ila anaweza pora kwa Wakristu anajua hawatamchinja wala mpiga mabomu....km bakwata wanavyolipuliwa na akina ponda......Nyerere alijua hata akipora shule ,hawa jamaa hawataki shule ila ni tabia zao z akutaka dai kila kitu..akachukua nchi..akachukua shule..leo .bado akina Ritz..wapo haa wanaongelea mfumo kristu..hawajiulizi km Nyerere aakutaifisha..sijui Ritz km angekuwa hai au kawahi Gnsters paradise...a.k.a danguro akapate uroda 24/7
 
nikupa mfano wa soka ili kuwasaidia vilaza nyie..km ni magoli si yamepigwa sana tangu soka likiwa haina hata sheria...na hata uswazi magoli yanafungwa kila kukicha ila akina Messi na Ronaldo wanakuwa bora kwa kufunga magoli na si lazima yazidi wafungaji duniani kote....mohamed Said hana tofauti na vichaa wengine wa kiswahili wanaolalama na kueleze shida kwa kila mtu na kulaumu kila aliyefanikiwa...MS hapa si tulimtoa nishai hakuthibisha chochote zaidi yenu kumsifia ,kupiga kelele sijui ni mjuzi, sijui ni mjuaji,sijui aliongea nao live..etc...Yeye alibase ktk uislam kuleta uhuru,sijui mfumo Kristu etc...Alichoongea Lissue hakifanani na huo ushenzi, ni matukio fulani fulani ambayo kwa ujumla unaweza dhani yalikuwa ktk maandikoya huyo mohamed Sad mdini na mpika data. The was and si still too general to be considered he knows anything.....hata Al-kitabu inapiga kelele sijui kujua utengezwaji wa Mvua..ila ilikuwa too general km common man in the street..ila Biblia inaelezea hadi idea ya evaporation kuoneka...,hilo ni wazi kuwa Mwandishi wa Bible alikuwa kifahamu hadi principal si generality tuu.MS hakuzidi commom sense na fikra za kusadikika..LIssue katoa Evidence ambzo kitabu cha MS ni km magazeti ya shigongo.....mohamed hata vikao hakuwa akijua,wala wapi uhalali wa muungano ulipotea,hakujua hata kuwa kuna watu waliuwawa, hakujua km leo CCM ya kiislam ndio inalilia serikali 2 ,na hata akina Lipumba ndicho wanafanya...sasa Mfumo Kristu unakujaje hapa?

I can't take you seriously if your grammar/syntax isn't perfect....with loads of unnecessary typographical errors!

Poor you!

Ahsanta.
 
Haha..alikuwa smart..km aliwapiga changa la macho wapenda bwabwa..wakampa masharti ...akapiga akili akaona hawezi wajengea shule ila anaweza pora kwa Wakristu anajua hawatamchinja wala mpiga mabomu....km bakwata wanavyolipuliwa na akina ponda......Nyerere alijua hata akipora shule ,hawa jamaa hawataki shule ila ni tabia zao z akutaka dai kila kitu..akachukua nchi..akachukua shule..leo .bado akina Ritz..wapo haa wanaongelea mfumo kristu..hawajiulizi km Nyerere aakutaifisha..sijui Ritz km angekuwa hai au kawahi Gnsters paradise...a.k.a danguro akapate uroda 24/7

I've just read your another waste, and I feel sick already! Daah!

Lunatics like you Nicholas can never truly make any compelling arguments at this thread!

All of your shit posts/comments makes me cringe!

You better fvck off!

Ahsanta.
 
Umbea na magamba ni sehemu ya kawaida....WENZIO NAO WAPO BUSY VIJIWENI NA BUNGE HADI IKULU..ETI SERIKALI YA 3 INAELEALEA TUU ANGANI HAINA MASHIKO........na wewe kila mtu unamwita shoga kienyeji tuu kwa vile kwenu na ushoga ndio furaha yenu,kwa mizaha na matendo......

We mlevi!
Usiropoke hovyo humu ukidhani tumo ndani ya vile vilabu vyenu vya gongo za moshi!

Akili yako na ya huyo kiongozi wa chama chako hazipishani sana!

Watu hudandia magari! We unafandia midahalo usioweza kuijadili!
Nyie ndio wale mnaoolewa na ndoa za mikeka!
Umekuja mjini juzi kutoka urru!
Una mdomo mreefu hali ya kuwa bado ni fundi viatu!
We siku ukipata kazi ya maana utanyea wachaga wenzako kichwani!
 
Mkuu Ntuzu,

Nimekusoma Kamanda,walaa haina shida!

Nafikiri labda Mkuu Wabara alikua tu ajaribu kukufurahisha weye nduguye...maana hajakuona kitambo!? Teeh! Teeh! Teeh!

Tuko pamoja!

Ahsanta.


Ni kweli Mkuu! Imekua kitambo Kidogo

Tuko Pamoja Mkuu!
 
Sasa unabisha nini? Si unakubali kuwa jk mkubwa alikua na hila? Na lissu na zaidi wamekubali?
Hivi wewe kwa akili yako unadhani mimi nipo hapa kwa ajili ya kubishana, labda nianze kukuambia ushenzi wa Nyerere tofauti na huyo Lissu, watu wameandika kitabu kizima wakielezea ushenzi wake na wakampa akisome hicho kitabu.
 
Haha..alikuwa smart..km aliwapiga changa la macho wapenda bwabwa..wakampa masharti ...akapiga akili akaona hawezi wajengea shule ila anaweza pora kwa Wakristu anajua hawatamchinja wala mpiga mabomu....km bakwata wanavyolipuliwa na akina ponda......Nyerere alijua hata akipora shule ,hawa jamaa hawataki shule ila ni tabia zao z akutaka dai kila kitu..akachukua nchi..akachukua shule..leo .bado akina Ritz..wapo haa wanaongelea mfumo kristu..hawajiulizi km Nyerere aakutaifisha..sijui Ritz km angekuwa hai au kawahi Gnsters paradise...a.k.a danguro akapate uroda 24/7
Drug Interactions.

Uwa najiuliza sana sijui Chadema walikupa vipi uongozi wa chama au sababu ni mchaga.
 
Kumbe kuna watu hawali nguruwe kwa vile wana mengi wanafanana na nguruwe....kweli wanastahili kutokula ndugu zao....Ulimweng u upi anajulikana huyo chura..wale waswahili waliokuwa akiumia BBC idhaa ya kiswahili kukaribsha wachambuzi wa kiswahili na kuwaita sijui nani mchambuzi mahiri wa UDSM kumbe ni mdini mwingine Haroub othman, halafu mwandishi maarufu ....MS aliyempropose ni Hariub othmana liyejitahidi sana kitabu kiingie Library ya UDSM...bongo hakuna mwandishi maarufu zaidi ya shabaani Robert, na mwandishi wa mercury...km kuna mzungu aliyemsoma kwa upatu wa waislam km akina Nkamia kule BBC,na akina Haroub othman..waliokitumia walikuwa wakipima km kiwango cha waandishi kinapa au kushuka..na mitazamo yao ina base ktk nini.....yaani uandishi wake ndio unaangaliwa kuliko contents..kwani ni rubbish na inahitaji msaada...

Weye Kunguru wa maziwa muoga sa ndo majiutumbo gani meandika...!?

Wajumbe wamekutakeni leteni andiko japo kurasa 21 za kupinga upotoshaji, hamjaeza fanza hayo, badali yake mwaleta maneno ya mbegeni.

Kama rahisi kupata promo weye Nguruwe mwitu na wanzio kwanini kutotoa hata makala katika yale magazeti yenyu na kumpinga Mohamed Said...!?

Msitukatie viuno hapa, let's data/truth speak.

Narejea.
 
Last edited by a moderator:
Wakifika Huku wanaufyata!

Leo hii Cdm na Tundu Lissu wamekua ndio wakombozi Wa Z'bar
Teh teh teh ndiyo maana nakuambia kwenye hii mijadala wewe mgeni nakushauri rudi Chit-Chat kuna mtu wa kufyata humu.
 
Last edited by a moderator:
Hakika ya vitu vitatu haviwezi fichika milele hata ka ukafanya jitihada kiasi gani, 1- ukweli 2- jua 3- mwezi. na ukweli utashinda kesho kama leo haukutosha.
 
Khe Khe Khe Khe

Lissu mkombozi wenu! Nyie mnaufya kisema Jusa!
Kumbe humjui Ritz teh teh teh teh, karibu sana.

Sijui kama unajua wakazi wote wa ukanda wa Pwani ni ndugu toka Nyerere ajazaliwa.

Yaani wewe utoke kibosho na Chadema yenu uje kuwa mkombozi wa watu ukanda wa Pwani, kwanza Lissu aliishasema Chadema hawaiitaji na Zanzibar siyo nchi ni kama jimbo tu.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe kuna watu hawali nguruwe kwa vile wana mengi wanafanana na nguruwe....kweli wanastahili kutokula ndugu zao....Ulimweng u upi anajulikana huyo chura..wale waswahili waliokuwa akiumia BBC idhaa ya kiswahili kukaribsha wachambuzi wa kiswahili na kuwaita sijui nani mchambuzi mahiri wa UDSM kumbe ni mdini mwingine Haroub othman, halafu mwandishi maarufu ....MS aliyempropose ni Hariub othmana liyejitahidi sana kitabu kiingie Library ya UDSM...bongo hakuna mwandishi maarufu zaidi ya shabaani Robert, na mwandishi wa mercury...km kuna mzungu aliyemsoma kwa upatu wa waislam km akina Nkamia kule BBC,na akina Haroub othman..waliokitumia walikuwa wakipima km kiwango cha waandishi kinapa au kushuka..na mitazamo yao ina base ktk nini.....yaani uandishi wake ndio unaangaliwa kuliko contents..kwani ni rubbish na inahitaji msaada...

Teh teh teh
Mohamed Said anaendelea/ataendelea kupasua anga na nyie wapakwa mafuta/wakata "mabuno" mtajikuta mnaachwa nyuma kwakuendelea kumfanyia ushushu.

Wa mbili haivai moja wewe!
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh
Mohamed Said anaendelea/ataendelea kupasua anga na nyie wapakwa mafuta/wakata "mabuno" mtajikuta mnaachwa nyuma kwakuendelea kumfanyia ushushu.

Wa mbili haivai moja wewe!

Mkuu Tayeb, nakuamkua nduu langu,

Assalaamu alaykum warahmatullaah wabarakaatuh,
Nalikuwa nkipita nkaona maneno yako yalo nona bashasha,

Kweli alozoeya Punda katu hapandi Farasi.

Hawakudhani kama itawadhihirikia moya siku katika bayana alozieka alhabeeb gwiji la Historia Mohamed Said.

Watu wana vifaa vya kutosha na hakika ziso nakiswa, hawajifaha vipi watamfahamu...!?

Ntarejea.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom