Sheikh Mselem: Tukiambiwa Hapana, tusishindane na mwenye nguvu

Sauti ya upolee... macho yenye kungwi! Ila wasisahau remote ipo Msoga, wakizengua fasta Segerea 9 tena! Kutoka ni 2021+9= 2030!
 
Detective,
Hilo la kupoteza maisha ni sehemu ya historia ya matatizo yaliyoko Zanzibar.

Wazanzibari wengi wamepoteza maisha katika kupigania nchi yao.
Ni hatari mno kuipigania Zanzibar kwa kutaka kuvunja Muungano.Masheikh wana experience
 
Naona kifinyo kimewapata vizuri, mnaleta chokochoko za machafuko halafu mnataka kuchekewa
 
Ebaeban,
Sheikh Mselem au Muislam yeyote yule hawezi kufanya hayo.

Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa.
Sheria ilivunjwa kwa wao kuletwa kushitakiwa kwenye mahakama za Bara kwa makosa ambayo yanatakiwa kusikilizwa kwenye mahakama sa Zanzibar.
 
Wale jamaa walikuwa wanachezea mbupu za sirikali, sasa wameshapata somo la kutosha.
 
Na ndani ya hiyo miaka 9 hakuna makanisa yaliyochomwa wala tindikali iliyomwagwa.
Walipotakiwa mashahidi juu ya kesi zao kwanini hukujitokeza kwenda kuthibitisha uliyo na hakika nayo, kule kibiti walikufa watu mwendazake akasema ni uamsho waliojela miaka 8 iliyopita, wapi na wapi, nyinyi ndio wale ccm mliokuwa na chuki na roho mbaya ambao sasa hamna nafasi tena,

mtabaki na mafundo katika roho zenu chini ya mama samia jemedari wa kweli mumekwisha kabisa otherwise munywe sumu muungane na jamaa., JK pia kaumia, Seif Iddi, Shein wote hao mumeumia, yenu hayakutimia jamaa wako huru mtaani wanakula kuku, shwayn..
 
Waambie warudie 🤣
 
Utawala tu ulikuwa wa chuki double standard.,
Hakuna mtawala anayependa kuongoza nchi yenye matukio, migogoro na vurugu kila kukicha.

Sasa hivi yupo, Samia waambie waanze mihadhara ya aina ile ile halafu ndio utajua Dola ndio shetani mwenyewe.
 
Hakuna mtawala anayependa kuongoza nchi yenye matukio, migogoro na vurugu kila kukicha.

Sasa hivi yupo, Samia waambie waanze mihadhara ya aina ile ile halafu ndio utajua Dola ndio shetani mwenyewe.
Sasa mnapata tabu sana viongozi waliokuwa na chuki na kubambikizia watu makesi na matatizo mbambali zama zao zimeisha, mlikuwa mnateka watu, mnaua watu, mnapoteza watu na kuseka watua jela nk na sasa mnajaribu kutaka kurudisha chuki kwa mama samia aongoze kama mwendazake mmedunda., samia ni muislamu na ana damu ya kibinadamu anajuwa uongozi ni dhamana siku utamtoka.

Mwacheni afanye kazi, uongozi wa kihuni huni sasa basi, tunampenda mama samia ni mwanamke lakini amewashinda hao wanaume waliopita kwa muda mfupi sana.,
 
Wa Zanzibar ndiyo wana njaa wana kula vyakula vya ajabu ajabu tu
 
Hujawahi kukaa ndani....kaa kimya.
 
Asilimia 80 ya wzanzibari hawautaki muungano huu.
Tanganyika imejigeuza jina kujiita Tanzanaia na kuitawala zanzibar.
Mpaka kesho tutadai Zanzibar yetu na asoitaka zanzibar ahame.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…