THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Friends and Enemies.
Nimesikitishwa sana kwa kauli ya Sheikh Mwaipopo aliyotamka Leo Kwa kusema kwamba Muislam yeyote atakaehudhuria mkutano huo atamsomea kunuti na litakalo mkuta ajilaumu yeye mwenyewe.
Pia ameendelea kusema kwamba ni wakati sasa waislam wote warudishe kadi za uanachama wa Chadema na kukihama chama Hiko wote waliopo bara na visiwani.
Ameendelea kusema pia anawashangaa maaskofu kinachowafanya washupalie suala la DP World ni nin ili Hali kazi Yao ni kuhubiri neno la Mungu?
Mimi nimesikitishwa Kwa kuwa amechelewa sana kuusema ukweli huu,na Kwa namna nyingine nampongeza Kwa ujasiri wa kusimama na kulisema hili ili hawa ambao wameyakoroga haya madudu wayanywe sasa.
Freeman Mbowe Umebeep na sasa Rasmi unapigiwa, tafadhal pokea simu...
Nimesikitishwa sana kwa kauli ya Sheikh Mwaipopo aliyotamka Leo Kwa kusema kwamba Muislam yeyote atakaehudhuria mkutano huo atamsomea kunuti na litakalo mkuta ajilaumu yeye mwenyewe.
Pia ameendelea kusema kwamba ni wakati sasa waislam wote warudishe kadi za uanachama wa Chadema na kukihama chama Hiko wote waliopo bara na visiwani.
Ameendelea kusema pia anawashangaa maaskofu kinachowafanya washupalie suala la DP World ni nin ili Hali kazi Yao ni kuhubiri neno la Mungu?
Mimi nimesikitishwa Kwa kuwa amechelewa sana kuusema ukweli huu,na Kwa namna nyingine nampongeza Kwa ujasiri wa kusimama na kulisema hili ili hawa ambao wameyakoroga haya madudu wayanywe sasa.
Freeman Mbowe Umebeep na sasa Rasmi unapigiwa, tafadhal pokea simu...