Sheikh Mwaipopo: Muislam atakayehudhuria mkutano wa CHADEMA litakalomkuta ni juu yake

Sheikh Mwaipopo: Muislam atakayehudhuria mkutano wa CHADEMA litakalomkuta ni juu yake

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
16,950
Reaction score
13,527
Friends and Enemies.

Nimesikitishwa sana kwa kauli ya Sheikh Mwaipopo aliyotamka Leo Kwa kusema kwamba Muislam yeyote atakaehudhuria mkutano huo atamsomea kunuti na litakalo mkuta ajilaumu yeye mwenyewe.

Pia ameendelea kusema kwamba ni wakati sasa waislam wote warudishe kadi za uanachama wa Chadema na kukihama chama Hiko wote waliopo bara na visiwani.

Ameendelea kusema pia anawashangaa maaskofu kinachowafanya washupalie suala la DP World ni nin ili Hali kazi Yao ni kuhubiri neno la Mungu?

Mimi nimesikitishwa Kwa kuwa amechelewa sana kuusema ukweli huu,na Kwa namna nyingine nampongeza Kwa ujasiri wa kusimama na kulisema hili ili hawa ambao wameyakoroga haya madudu wayanywe sasa.

Freeman Mbowe Umebeep na sasa Rasmi unapigiwa, tafadhal pokea simu...
 
Ukitaka kuepukana na wajinga, una mambo mawili ya kuchagua

1. Uhame kwenye dunia hii
2. Ufe

Kwa kuwa yote hayawezekani, twendeni nao na tunawajibu wa kuchukuliana nao

Ila hili la bandari, haturudishwi na kelele za wajinga wasiojua umhimu wa rasilimali pamoja uhuru wa nchi na wananchi

Wanaoamini bandari ni za chadema, wabaki nyumbani


Wanaoamini bandari ni kwa masilahi ya watu wote, wenye dini na wasio na dini, ccm na wasio wa ccm, kesho mapemaaa uwanjani kusikiliza maelekezo ya wataalamu na wanasheria nguli nchini
 
Back
Top Bottom