Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Haturudi nyumaSema sitorudi nyuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haturudi nyumaSema sitorudi nyuma
Na nani? Mbonq mm sikuungi mkonoHaturudi nyuma
Hiyo ni vita ndani ya ChamaKumbe ni Vita ya masilahi tu ?..... muhimu walaji wakubwa wanaopingana wapo Ccm.
Hakuna issue ya dini hapo Mwaipopo kavuta umate mate kama walivyovuta wale MaaskofuKitendo cha shekhe mwaipopo kuwakataza waislam kushiriki mkutano wa chadema unaojadili suala la bandari, tayari yeye kama kiongozi wa dini ameacha kazi yake na KUJIINGIZA kwenye mambo ya bandari.
Muislamu gani wewe hata kutofautisha L na R huwezi😀PUMBAVU ZENU! Mimi ni muislamu na sikibali huu upuuzi wa mkataba wa kinyonyaji. Bandali akabidhiwe muwekezaji yoyote kwa mkataba ambao upo 50/50
Mwaipopo anakosea sana kufikiria wanaopinga huu mkataba wa ovyo ni Wakristo tu. Hili ni jambo la kitaifa toeni udini. TUNACHOTAK SERIKALI WALEKEBISHE BAADHI YA VIFUNGU KTK MKATABA KWANI HAVIKO SAWA
DuuuhUnashangaa Mtume wa Mungu kurogwa ila hushangai 'Roho mtakatifu' kusalitiwa na ma denti na kuchezea kichapo cha wahuni hadi kutundikwa kwny mti.
Kunuti sio nzuri shekhshekhekunuti
post mbili zilizopita umetoka kuwakashfu waislam, post hii unachukia udini.bongo sihami 😃😃Mwalimu Nyerere alituonya sana na Ishu Ya UDINI.
ALISEMA WANASIASA "
walioishiwa hoja wanazungumzia UDINI"
Mwalimu Julius Nyerere.
Naomba mfanye hiyo kunuti kwa yule mtu aliyekopa benki 5 kisha akatimkia majuu.Kunuti sio nzuri shekhshekhe
Kunuti sio nzuriNaomba mum-kunuti yule mtu aliyekopa benki 5 kisha akatimkia majuu.
Ninasubiri arejeshe fedha hizo ili nisione hiyo kunuti sio hekaya kama hekaya zinginezo.
Zamani nilikuwa nikisikia watu wanatishia mtu eti atasomewa albadir nilikuwa naamini. Nikaja kugundua ni usanii fulani unaofanywa kisaikolojia kupitia dini ya kiislamu. Hakuna cha albadir wala uchafu wowote. Na ukienda maeneo yenye waislamu wengi unakuta kabisa hicho kitisho wanakihofia!Hiyo kunuti Kama ingekuwepo wangeemsomea mwendazake au makonda.
Another null and void !Kunuti sio nzuri
Naunga mkono hojaKoran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.
DINI YA SHWETANI HII