Sheikh Mwaipopo: Muislam atakayehudhuria mkutano wa CHADEMA litakalomkuta ni juu yake

Sheikh Mwaipopo: Muislam atakayehudhuria mkutano wa CHADEMA litakalomkuta ni juu yake

Kwamba yeye ndie Mungu, yeye ni nani apangie wengine namna ya kuishi... Kwamba yeye ni vyema kumsikiliza lakini kumsikiliza Mbowe ni dhambi, huyo Mwaipopo ndie mjinga zaidi, mwambie majini yake mwisho ni kwa wale anaowamudu tu wengine tumeaga nyumbani, akae na unafiki wake huko.
Yule Mwaipopo chizi,alikamatwa na kuwekwa ndani kwa utapeli nchini Kenya na watu walimkimbia kumdhamini.Rafiki yake Sheikh Majini akawa anaomba michango ili akamtoe ndani!
 
MWAIPOPO ANA LAANA YA KUMKANA YESU

AMEKUWA TAHRA KABISA.
Muda wa miaka 5 ya kufungiwa mikutano ya hadhara, imewafanya CHADEMA kuwa TAAHIRA. Sasa hivi kila wanalofanya ndio linawachafulia zaidi. Alipoulizwa LISSU Club house juu ya Udini, jibu lake lilikuwa rahisi- viongozi wa dini wanaushawishi. Hivyo hata akiingia IKULU hao ndio ataowapigia magoti. M Mungu tuongioze njia iliyonyooka. Lakini sio kwa hiki CHAMA.
 
Hii SERIKAL inamkumbatia yeyote aliyeko upande wake no matter anaongea Nini.

Sishangai kuona inatukanwa Matusi ya nguoni Kwa sababu ya ugoigoi wake. Unamwita Lissu na mwabukusi kumhoji una mwacha Mwaipopo?.

Afu Sheikh mnyakyusa Wapi na Wapi atakuwa wa mchongo huyu

Huyu Bwana ndo analigawa taifa vipannde vipannde. Hii NCHI Naona Hata Waze meno yanewaishia wamekuwa mabubu Hawana msaada kabisa.

Siku tumeanza kugawana mbao ndo mtaelewa mchelea mwana kulia atalia yeyé mwenyewe .
View attachment 2696508
Ameonesha jinsi gani ni mweupe kichwani.
 
PUMBAVU ZENU! Mimi ni muislamu na sikibali huu upuuzi wa mkataba wa kinyonyaji. Bandali akabidhiwe muwekezaji yoyote kwa mkataba ambao upo 50/50

Mwaipopo anakosea sana kufikiria wanaopinga huu mkataba wa ovyo ni Wakristo tu. Hili ni jambo la kitaifa toeni udini. TUNACHOTAK SERIKALI WALEKEBISHE BAADHI YA VIFUNGU KTK MKATABA KWANI HAVIKO SAWA
Wataarifu hao walioleta udini kwanza, pengine watakusikia na kubadili safu ya waalikwa viongozi wa dini. Kwa waalikwa hao, sijui pengine huwajui.
CHADEMA ama imejikoroga yenyewe ama imeamua kujipambanua.
 
Unaijua Soko matola
Unaijua Ghana
Unaijua Nonde
Unaijua Majengo
Unaijua Nsoo
Unaijua Itigi

Hayo maeneo wamejaa Waislamu kama upo Pwani.

Tembea ujionee
kuna kuwepo waislamu ila hakuna misimamo ya kiislamu kama huku pwani , Mwaipopo ni mpiga kelele tu huwezi msikiliza mtu asiyejielewa rejea sakata la shehe wa mkoa ndio utajua hazimtoshi
 
kuna kuwepo waislamu ila hakuna misimamo ya kiislamu kama huku pwani , Mwaipopo ni mpiga kelele tu huwezi msikiliza mtu asiyejielewa rejea sakata la shehe wa mkoa ndio utajua hazimtoshi
Misimamo hivi ushafika hayo maeneo kweli?
Unaongeleaje sehemu usiyo wahi kanyaga?

Wana misimamo zaidi/ sawa na watu wa Pwani.

Usikalili
 
Waislamu kwanini wanachagua kusemewa na watu wa hovyo sana.

Kwa hili, nitazidi kuiheshimu dini yangu Catholic... Kule ni elimu kwanza na kutumikia. Ndiposa baadae upewe mamlaka ya kuongea kwa niaba ya kanisa.

Hapo ndipo wakatoliki tunapoupiga mwingi.
 
Yaani wanaoupinga mkataba wangeukubali kama wangekuwa wazungu? Tatizo lao ni waarabu hata kama mkataba ni mzuri?
Wanaoukubali mkataba ni kwa sababu ni waarabu? Hata ingekuwa mkataba mbovu wangeukubali kwa sababu ni waarabu?
Yaani ubaya au uzuri wa mkataba ni suala la dini tu?
Naomba jibu kutoka pande zote mbili
 
Waislamu kwanini wanachagua kusemewa na watu wa hovyo sana.

Kwa hili, nitazidi kuiheshimu dini yangu Catholic... Kule ni elimu kwanza na kutumikia. Ndiposa baadae upewe mamlaka ya kuongea kwa niaba ya kanisa.

Hapo ndipo wakatoliki tunapoupiga mwingi.
Yes, mnaupiga mwingi kwa wakatoliki wenzenu na wasiojitambua wenzenu.

Sisi kwetu huku kila mmoja anawajibu wa kufikisha kile
alichonacho hata kama ni AYA MOJA.
 
Et sheikh Mwaipopo!![emoji23][emoji23].
Majina mengine haya match kabisa na baadhi ya Title..
Hazi sound kabisaa...

NB
sijasoma uzi
Vitu vingine huwa vinagoma mkuu ila watu wanafosi tu [emoji3][emoji23] eti sheikh Mwaipopo[emoji1] yani title tu mtu ukisoma inaonesha tu imegoma [emoji1]

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
 
Ukiona kiongozi wa dini anahimiza utengano huyo hafai.

Ebu msikilizeni huyu kiongozi alafu tuje na ushauri wa nini kifanyike kama watanzania.

Tanzania haijawahi kuwa na tabia za kibaguzi kama huyu mtu. Nadhani amepotea njia.

 
Ukiona kiongozi wa dini anahimiza utengano huyo hafai.

Ebu msikilizeni huyu kiongozi alafu tuje na ushauri wa nini kifanyike kama watanzania.

Tanzania haijawahi kuwa na tabia za kibaguzi kama huyu mtu.Nadhani amepotea njia.View attachment 2696630
Jamani. Huyu naye ni kiongozi wa dini au tumbo. Kwani viongozi wameisha hadi tuongozwe na mijibwaa na mashehena? Shehe mkuu toa tamko tuondokane na majibwaaa
 
Back
Top Bottom