Sheikh Mwaipopo: Muislam atakayehudhuria mkutano wa CHADEMA litakalomkuta ni juu yake

Sheikh Mwaipopo: Muislam atakayehudhuria mkutano wa CHADEMA litakalomkuta ni juu yake

Ukitaka kuepukana na wajinga, una mambo mawili ya kuchagua

1. Uhame kwenye dunia hii
2. Ufe

Kwa kuwa yote hayawezekani, twendeni nao na tunawajibu wa kuchukuliana nao

Ila hili la bandari, haturudishwi na kelele za wajinga wasiojua umhimu wa rasilimali pamoja uhuru wa nchi na wananchi

Wanaoamini bandari ni za chadema, wabaki nyumbani


Wanaoamini bandari ni kwa masilahi ya watu wote, wenye dini na wasio na dini, ccm na wasio wa ccm, kesho mapemaaa uwanjani kusikiliza maelekezo ya wataalamu na wanasheria nguli nchini
Sheikh mwenye akili ni mmoja tu, Sheikh Ponda basi, hao wengine ni mashehena tu, condom za Ccm.
 
Rekebisheni huo mkataba Mwarabu afanye kazi.
Mpeni hata miaka 50 ya majaribio. Msituchokoze kabisa.
Sisi ni watu wema sana.
Hii ndio kauli wa WATANGANYIKA
Mama Samia Hoyeee[emoji106][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
PUMBAVU ZENU! Mimi ni muislamu na sikibali huu upuuzi wa mkataba wa kinyonyaji. Bandali akabidhiwe muwekezaji yoyote kwa mkataba ambao upo 50/50

Mwaipopo anakosea sana kufikiria wanaopinga huu mkataba wa ovyo ni Wakristo tu. Hili ni jambo la kitaifa toeni udini. TUNACHOTAK SERIKALI WALEKEBISHE BAADHI YA VIFUNGU KTK MKATABA KWANI HAVIKO SAWA
Kama Kweli wee Ni muisalamu una akili Sana barikiwa ndugu
 
Hiyo ni vita ndani ya Chama

Chadema hawana watu wa kuratibu Upinzani wa jambo hili kwa namna lilivyo …

hili zogo kwa ukubwa wake linafanana na zogo la kumpinga JPM wakati ule …na Chadema hupewa tu Mwenge kuukimbiza ila Waratibu na wavujisha Mkataba ni wale wale waliokuwa wanavujisha Taarifa za Ikulu wakati wa Mwamba

wakihakikishiwa mgao katika zile 35% share za Wazawa watapoa na jambo litapitishwa

TPA ni kitalu chao cha Uwindaji na kukabidhiwa mgeni ni sawa na kuhamisha Wamasai kule Ngorongoro
Dah!...kweli hii nchi ina wenyewe au 'king makers'........ tatizo kwa JPM alipambana zaidi na Chadema akawasahau waratibu na wawezeshaji wa upinzani dhidi yake waliopo huko chamani.
 
Anachofanya yeye haya ni mahubiri ?!!!

Hiki ndio Nyerere alichokiita kufirisika Ki-Fikra
 
Huyu sheh anatumika na nani?kama ni serikali hii inayoongozwa na rais muislam wanamtumia sheh mwaipopo anakaribisha hatari

Ila Chadema inayoongozwa na Wagalatia, kutumia maaskofu kwenye majukwaa ya kisiasa haikaribishi hatari.
Hukumu gani hiyo mnayoitoa?
 
Hii SERIKAL inamkumbatia yeyote aliyeko upande wake no matter anaongea Nini.

Sishangai kuona inatukanwa Matusi ya nguoni Kwa sababu ya ugoigoi wake. Unamwita Lissu na mwabukusi kumhoji una mwacha Mwaipopo?.

Afu Sheikh mnyakyusa Wapi na Wapi atakuwa wa mchongo huyu

Huyu Bwana ndo analigawa taifa vipannde vipannde. Hii NCHI Naona Hata Waze meno yanewaishia wamekuwa mabubu Hawana msaada kabisa.

Siku tumeanza kugawana mbao ndo mtaelewa mchelea mwana kulia atalia yeyé mwenyewe .
 
Back
Top Bottom