Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Ishu ya dini ni very sensitive na mtihani sana ,acha atoe maoni yake .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasemaje?Jamani. Huyu naye ni kiongozi wa dini au tumbo. Kwani viongozi wameisha hadi tuongozwe na mijibwaa na mashehena? Shehe mkuu toa tamko tuondokane na majibwaaa
Sikiliza utumbo wake kama una mudaAnasemaje?
✍️
DuuuuJamani. Huyu naye ni kiongozi wa dini au tumbo. Kwani viongozi wameisha hadi tuongozwe na mijibwaa na mashehena? Shehe mkuu toa tamko tuondokane na majibwaaa
Una uhakika?Huyo ni shoga achana nae. Anapigwa miti kila leo.
CCM wanataka kuleta matatizo,nchi ishawashinda!Katumwa na CCM iko wazi nyeupe.
MWAIPOPO ANA LAANA YA KUMKANA YESU
AMEKUWA TAHRA KABISA.
Wewe sio mdini?? Angalia comments zakoMwalimu Nyerere alituonya sana na Ishu Ya UDINI.
ALISEMA WANASIASA "
walioishiwa hoja wanazungumzia UDINI"
Mwalimu Julius Nyerere.
Hadi unashika vifungu usivyovielewa kwa chuki zako tuKoran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.
DINI YA SHWETANI HII
Sidhani kwa hili kuna haja ya kumtetea huyu kiongozi.Wewe sio mdini?? Angalia comments zako
Hadi unashika vifungu usivyovielewa kwa chuki zako tu
Basi kuna wana ccm watakuwa wanafurahi sanaCCM wanataka kuleta matatizo,nchi ishawashinda!