Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasemaje kuhusu hawa kuliwa/kula tupu ya nyuma ?Unashangaa Mtume wa Mungu kurogwa ila hushangai 'Roho mtakatifu' kusalitiwa na ma denti na kuchezea kichapo cha wahuni hadi kutundikwa kwny mti.
Ponda ni mdini vibaya mnoSheikh mwenye akili ni mmoja tu, Sheikh Ponda basi, hao wengine ni mashehena tu, condom za Ccm.
Wewe mwehu. Hao CHADEMA, wamesema nini dhidi ya uislam? Wewe uawezekana uislam umeukuta uzeeni. Ni muislam jina tu wewe. Waislam washika dini hawapo kama ulivyo wewe.Waislam tokeni chadema haraka iwezekanavyo.
Muislam anaebaki chadema huyo ni Muislam jina tu, siyo Muislam wa kweli.
Watu wanaupiga vita Uislam waziwazi bado mnawakumbatia tu?
Nami nakuunga mkono pale unaposema nanukuu: "Jikite kwenye hoja. Mkataba ni mzuri au kuna vifungu vimekaa kinyonyaji??
Wanao ingiza udini kwenye jambo la kitaifa ni machizi. Tujikite kwenye hoja inayuhusu mkataba. Kwa tz waislamu na wakrito ni ndugu moja
Wanao ingiza udini kwenye jambo la kitaifa ni machizi" Ni kweli ni machizi- Nakazia tu.
Kuna Muislam alihutubia kongamano lenu?Wewe mwehu. Hao CHADEMA, wamesema nini dhidi ya uislam? Wewe uawezekana uislam umeukuta uzeeni. Ni muislam jina tu wewe. Waislam washika dini hawapo kama ulivyo wewe.
Wewe huna dini yoyote, unajificha kwenye uislam kutekeleza ajaenda zako za kishetani.
Kama kifungu kipi? Au kuna vifungu "hewa" ambavyo sisi hatuvioni?Jikite kwenye hoja. Mkataba ni mzuri au kuna vifungu vimekaa kinyonyaji??
Wanao ingiza udini kwenye jambo la kitaifa ni machizi. Tujikite kwenye hoja inayuhusu mkataba. Kwa tz waislamu na wakrito ni ndugu moja
[emoji1787][emoji1787]Kuna watu wanadhani ukiwa na Sijda kwenye paji la uso ndo sifa ya ziada ya kupata kazi DP world hapo bandarini
MWAIPOPO ANA LAANA YA KUMKANA YESU
AMEKUWA TAHRA KABISA.
Mwalimu Nyerere alituonya sana na Ishu Ya UDINI.
ALISEMA WANASIASA "
walioishiwa hoja wanazungumzia UDINI"
Mwalimu Julius Nyerere.
Acha kujitoa akili punguani wewe, anayeweka udini ni huyo chawa Mwaipopo,Kweli kabisa hawa chadema wamezingua kuanza kueka udini na ukabila kwenye hili swala..afu mambo hua yanaanza mdogo mdogo mwisho inakua bifu kubwa
We bibie ni mmoja wa watu wenye akili nzuri tuu, tatizo udini umekuathiri sana mpaka umefunika akili yako kama mtu aliyejifunika na blanket.Kuna Muislam alihutubia kongamano lenu?
Hamjachukuwa hata wasanii kawavalisha kanzu? Mwamposa anawashinda ujanja?
Chanzo ni mwenyekiti MBOWE,anataka kuivuruga nchi yetu, Mara aseme wazanzibar Mara aanzishe utanganyika HUYU Jamaa ameshapoteza focus KABISA!Acha kujitoa akili punguani wewe, anayeweka udini ni huyo chawa Mwaipopo,
Hizi ni propaganda mnazozitumia ccm mtaligawa taifa hili kwa njaa zenu za kuuza rasilimali za tanganyika huku za zanzibari zikibaki salamaChanzo ni mwenyekiti MBOWE,anataka kuivuruga nchi yetu, Mara aseme wazanzibar Mara aanzishe utanganyika HUYU Jamaa ameshapoteza focus KABISA!