Suleiman mchawi WA Rhymes
JF-Expert Member
- Apr 24, 2022
- 405
- 1,008
๐๐๐๐๐ Mbona shekhe unataja KIGILAGILA mtaani kwetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia hajui kuwa waliotaka kujitenga na Tanganyika na waliokuwa na chuki dhidi ya Tanganyika yupo huyo huyo, kama alivyokuwa bosi wake na Mentor wake mkuu Amana Karume.MWAIPOPO ANA LAANA YA KUMKANA YESU
AMEKUWA TAHRA KABISA.
NI dini isiyohitaji matumizi ya akili, faith and reasonMWAIPOPO ANA LAANA YA KUMKANA YESU
AMEKUWA TAHRA KABISA.
Vyovyote vile afanye aone kwamba Mungu ni mmoja anayemwabudu yeye na tunaye mwabudu wengineUmeambiwa Kunuti wewe uko kwenye "Albadili" kaazi kweli kweli.
Jikite kwenye hoja. Mkataba ni mzuri au kuna vifungu vimekaa kinyonyaji??Wataarifu hao walioleta udini kwanza, pengine watakusikia na kubadili safu ya waalikwa viongozi wa dini. Kwa waalikwa hao, sijui pengine huwajui.
CHADEMA ama imejikoroga yenyewe ama imeamua kujipambanua.
Huyo anaejiita sheikh Mwaipopo hana uislam wowote ni mchumia tumbo tu kutoka hubo kwao !!! Asiwatishe watu kwani kuna wengine wamesoma hiyo dini kuliko yeye na wamejitambua!MWAIPOPO ANA LAANA YA KUMKANA YESU
AMEKUWA TAHRA KABISA.
Wapo kaka..kwa dunia ya sasa ya changanyikeni wamejaa sana tu.Mnyakyusa muislamu!!!!!! Km ni mnyakyusa basi sio muislamu lakini kama ni muislamu basi sio mnyakyusa
Nini kilimkuta Abubakary mwaipopo mzee wa mihadhara?Huyu tapoli na juhaa asiwatieshe. Mwenyewe mbona lishampata kuishi maisha kubabaisha kwani ashahudhuria mkutano huo? Hawa akina Mwaipopo wana laana gani. Namkumbuka tapeli Abubakar Mwaipopo. msilimu aliyewatapeli waarabu wakamdhalilisha hadi akafa na aibu naomba na huyu mwanangu mlaaniwa imkute
Na hiyo laana itamtafuna sanaMWAIPOPO ANA LAANA YA KUMKANA YESU
AMEKUWA TAHRA KABISA.
Huyo BIG SHOW na FAYZA ni wapenzi wakubwa wa ubaguzi wa diniMwaipopo mwenyewe kuna masheikh wengi tu wanaenda naye kwa tahadhari kubwa
Mambo ya dini na siasa wapi na wapi..Mwaipopo huwa naona kama hayuko sawa kichwani
Toka lini amekuwa msemaji wa Waislamu ?Waislamu kwanini wanachagua kusemewa na watu wa hovyo sana.
Kwa hili, nitazidi kuiheshimu dini yangu Catholic... Kule ni elimu kwanza na kutumikia. Ndiposa baadae upewe mamlaka ya kuongea kwa niaba ya kanisa.
Hapo ndipo wakatoliki tunapoupiga mwingi.