Tetesi: Sheikh Othman Maalim afukuzwa Zanzibar

Tetesi: Sheikh Othman Maalim afukuzwa Zanzibar

Hyo ndoto yake apeleke
Kwa uncle zake Iss

Tanganyika hatutak ujinga
Wa wajinga
 
Kila kitu Allah ndio anavyopanga labda kheri kwake Allah anazidi kumfungulia oman na hakika ataishi vizuri kuliko znz na shekhe khalili atampokea atakuwa na maisha bora zaidi na kuendeleza uislam ukizingatia oman wengi huongea kiswahili neno la Allah litaenea
Yule nchi za kule ni mwenyeji moja wapo ya mambo zake (kwa kuwasikia watu) kuwa hufanya kazi ya kuwaongoza mahujaji maeneo ya kihistoria kwa dini ya kiislam maana yasemekana ni mbobezi wa historia ya dini ya kiislam na jiografia yake!
 
Yule nchi za kule ni mwenyeji moja wapo ya mambo zake (kwa kuwasikia watu) kuwa hufanya kazi ya kuwaongoza mahujaji maeneo ya kihistoria kwa dini ya kiislam maana yasemekana ni mbobezi wa historia ya dini ya kiislam na jiografia yake!

Yeye anakuja oman sio saudia usichanganye mambo
 
kwahyo aliota tu ndoto akaipeleka kwenye mamlaka husika! duh! kama kila mtu aote ndoto azipeleke serikalini mbn yatakuwa majanga?? maana mie mara nyingi naota watu wakubwa wakubwa wamehamia KIBITI🙂
Umenivunja mbavu aisee duu hii kali sana
 
SHheke alijisahau sana.Ukiwa nchini kwa watu lazima uendane na mazingira,ukijifanya mjuaji unatenguliwa tu.Aende akaote kenya ndoto zake kama hajauawa na serikali ya kenya
 
Katika nakala zangu humu sijawahi kuzungumzia suala hata moja la kidini lakini leo nitazungumza jinsi serekali ya ccm Zanzibar ilivyomfanyia unyama mkubwa Sheikh Othman Maalim

*_Sababu kuu ya kumfukuza Sheikh othmam maalim ni kutokana na kuelezea ndoto yake ambayo ameiota siku 3 mfululizo ndoto yenyewe inazungumza kwamba anaamriswa sheikh Othman maalim kwenda kuongea na Serekali ya Zanzibar kutolewa kwa masheikh wa wa Zanzibar waliokamatwa bara kama magaidi(uamsho)_*

Siku zote nchi za udictecta kosa kubwa sanna ambalo utakalolifanya ni kuzungumza ukweli tu je ukweli wa Othman maalim ndio uliomponza na hii ni ndoto ambayo ameisimulia tu Au ndo uislam na waislam wake hamuwataki kama hamutaki nchi hii iendelee kwa dini ndio maana munatafuta kila vyanzo vya sababu kuwakamata na kuwa fukuza masheikh wetu basi tuuweni sote Wazanzibar kwani hadi sasa waislam wa Zanzibar ni asilimia 99.2

Licha ya kuwa sheikh othman maalim akifanya kazi zenu zote za kisiasa na akikutumikieni hadi kwenye matangazo ya vyandarua lakini hiyo ndio inaitwa fanya wema nenda zako usingoje shukurani Sheikh othman ameacha kazi zake makaazi yake wanafunzi wake na watu wake wa karibu lkn kwa kuambiwa ukweli tu serekali imeamua kumtimua
Nyie mizanzibar hovyo sana, mnajidai kuhubiri dini kumbe mna yenu mbambo. Naona unasifia magaidi yaliyokuwa yanatuulia wakristo wenzetu huko Zanzibar. Halafu usiilaumu Serikali ya sasa kwa kisingizio cha udini kwani hao Uamsho walikamatwa Enzi za utawala wa muislamu mwenzenu.
 
Nyie mizanzibar hovyo sana, mnajidai kuhubiri dini kumbe mna yenu mbambo. Naona unasifia magaidi yaliyokuwa yanatuulia wakristo wenzetu huko Zanzibar. Halafu usiilaumu Serikali ya sasa kwa kisingizio cha udini kwani hao Uamsho walikamatwa Enzi za utawala wa muislamu mwenzenu.
Kumbe uamsho waliua wakristo, mie nlikua sijui
 
Kila kitu Allah ndio anavyopanga labda kheri kwake Allah anazidi kumfungulia oman na hakika ataishi vizuri kuliko znz na shekhe khalili atampokea atakuwa na maisha bora zaidi na kuendeleza uislam ukizingnatia oman wengi huongea kiswahili neno la Allah litaenea

Exactly mamaudaku,,,, OMAN, AMANI, IMANI,,,,Wa Omani wanaimani mnoo tofauti na nchi zingine za kialabu
 
Shekh Othman Maalim, ana elim ya dini mpaka raha. Kwahakika kila nikimsikiliza natamani kumsikiliza zaidi. Anawasilisha mada zake kwa utaratibu, upole na weledi wa hali ya juu. Kwangu mimi ndiye sheikh ninaependa mawaidha yake kuliko sheik yeyote yule.

Kama ni kweli, Allah ampe subra na kheri kokote atakakokuwa ili aendelee kutupa darasa adhwim kabisa.
 
Siku zote nchi za udictecta kosa kubwa sanna ambalo utakalolifanya ni kuzungumza ukweli tu je ukweli wa Othman maalim ndio uliomponza na hii ni ndoto ambayo ameisimulia tu Au ndo uislam na waislam wake hamuwataki kama hamutaki nchi hii iendelee kwa dini ndio maana munatafuta kila vyanzo vya sababu kuwakamata na kuwa fukuza masheikh wetu basi tuuweni sote Wazanzibar kwani hadi sasa waislam wa Zanzibar ni asilimia 99.2

Tutashuhudia mengi
  • Ina maana hiyo nchi haina sheria na vyombo vya kisheria
  • Je aliyefanya hilo ni kiongozi wa kikristo au?
 
Katika nakala zangu humu sijawahi kuzungumzia suala hata moja la kidini lakini leo nitazungumza jinsi serekali ya ccm Zanzibar ilivyomfanyia unyama mkubwa Sheikh Othman Maalim

*_Sababu kuu ya kumfukuza Sheikh othmam maalim ni kutokana na kuelezea ndoto yake ambayo ameiota siku 3 mfululizo ndoto yenyewe inazungumza kwamba anaamriswa sheikh Othman maalim kwenda kuongea na Serekali ya Zanzibar kutolewa kwa masheikh wa wa Zanzibar waliokamatwa bara kama magaidi(uamsho)_*

Siku zote nchi za udictecta kosa kubwa sanna ambalo utakalolifanya ni kuzungumza ukweli tu je ukweli wa Othman maalim ndio uliomponza na hii ni ndoto ambayo ameisimulia tu Au ndo uislam na waislam wake hamuwataki kama hamutaki nchi hii iendelee kwa dini ndio maana munatafuta kila vyanzo vya sababu kuwakamata na kuwa fukuza masheikh wetu basi tuuweni sote Wazanzibar kwani hadi sasa waislam wa Zanzibar ni asilimia 99.2

Licha ya kuwa sheikh othman maalim akifanya kazi zenu zote za kisiasa na akikutumikieni hadi kwenye matangazo ya vyandarua lakini hiyo ndio inaitwa fanya wema nenda zako usingoje shukurani Sheikh othman ameacha kazi zake makaazi yake wanafunzi wake na watu wake wa karibu lkn kwa kuambiwa ukweli tu serekali imeamua kumtimua
Unamfukuzaje mtu kwenye nchi yake??Ukiona hivyo hakuwa mzanzibar
 
Back
Top Bottom