MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
Kapewa uraia wa China.
hahhahaa bujibuji taratibu basi hahaha maana nimelipuka kichereko hapa hahaha! ngj uamsho wakusikie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapewa uraia wa China.
Kama ni mkenya acha aende kwao bora nchi iharibiwe na wananchi na sio wakimbiziHuyu sheikh ni raia wa kenya lakin ameishi zanzibar zaidi ya miaka 20
Mzaliwa wa kenya lakini ni mtanzania na mzanzibari ....Wingi wa miaka siyo hoja, hoja ya msingi ni kuwa siyo RAIA!
Akatetee RAIA wa nchini kwake,!
Hahahaha teh teh teh teh teh tehkwahyo aliota tu ndoto akaipeleka kwenye mamlaka husika! duh! kama kila mtu aote ndoto azipeleke serikalini mbn yatakuwa majanga?? maana mie mara nyingi naota watu wakubwa wakubwa wamehamia KIBITI🙂
Katika nakala zangu humu sijawahi kuzungumzia suala hata moja la kidini lakini leo nitazungumza jinsi serekali ya ccm Zanzibar ilivyomfanyia unyama mkubwa Sheikh Othman Maalim
*_Sababu kuu ya kumfukuza Sheikh othmam maalim ni kutokana na kuelezea ndoto yake ambayo ameiota siku 3 mfululizo ndoto yenyewe inazungumza kwamba anaamriswa sheikh Othman maalim kwenda kuongea na Serekali ya Zanzibar kutolewa kwa masheikh wa wa Zanzibar waliokamatwa bara kama magaidi(uamsho)_*
Siku zote nchi za udictecta kosa kubwa sanna ambalo utakalolifanya ni kuzungumza ukweli tu je ukweli wa Othman maalim ndio uliomponza na hii ni ndoto ambayo ameisimulia tu Au ndo uislam na waislam wake hamuwataki kama hamutaki nchi hii iendelee kwa dini ndio maana munatafuta kila vyanzo vya sababu kuwakamata na kuwa fukuza masheikh wetu basi tuuweni sote Wazanzibar kwani hadi sasa waislam wa Zanzibar ni asilimia 99.2
Licha ya kuwa sheikh othman maalim akifanya kazi zenu zote za kisiasa na akikutumikieni hadi kwenye matangazo ya vyandarua lakini hiyo ndio inaitwa fanya wema nenda zako usingoje shukurani Sheikh othman ameacha kazi zake makaazi yake wanafunzi wake na watu wake wa karibu lkn kwa kuambiwa ukweli tu serekali imeamua kumtimua
Kama ni mkenya acha aende kwao bora nchi iharibiwe na wananchi na sio wakimbizi
KwAhiyo ndoto ilikuwa inaendelea kila siku au kila siku inaanza upya na kuisha kisha kesho inaanza tena na kuisha
hahahhaaaaa mi ninaota kua kunajengwa maofisi makubwa makubwa na makampun makubwa alafu kunakua shwaaro kabisakwahyo aliota tu ndoto akaipeleka kwenye mamlaka husika! duh! kama kila mtu aote ndoto azipeleke serikalini mbn yatakuwa majanga?? maana mie mara nyingi naota watu wakubwa wakubwa wamehamia KIBITI🙂
hahahhaaaaa mi ninaota kua kunajengwa maofisi makubwa makubwa na makampun makubwa alafu kunakua shwaaro kabisa
Kwani mtu akirudishwa kwao kuna shida gani. Mngejua hata watanzania wanarudishwa pindi wanapoenda kinyume na tamaduni na sheria za watu. MsingelalamikaCCM ni chama cha ajabu sana !
kwahyo aliota tu ndoto akaipeleka kwenye mamlaka husika! duh! kama kila mtu aote ndoto azipeleke serikalini mbn yatakuwa majanga?? maana mie mara nyingi naota watu wakubwa wakubwa wamehamia KIBITI🙂
Akiota lema kamanda, akiota shehe anyamaze, nyie watu ni wapumbavu sana
Huyo sheikh kama sio mnafiki nini ,wacha akamatwe ,toka lini tukaongozwa na ndoto dunia hii ya leo,kwani yeye kawa mtume?wacha akamatwe hawa ndio walewale .Katika nakala zangu humu sijawahi kuzungumzia suala hata moja la kidini lakini leo nitazungumza jinsi serekali ya ccm Zanzibar ilivyomfanyia unyama mkubwa Sheikh Othman Maalim
*_Sababu kuu ya kumfukuza Sheikh othmam maalim ni kutokana na kuelezea ndoto yake ambayo ameiota siku 3 mfululizo ndoto yenyewe inazungumza kwamba anaamriswa sheikh Othman maalim kwenda kuongea na Serekali ya Zanzibar kutolewa kwa masheikh wa wa Zanzibar waliokamatwa bara kama magaidi(uamsho)_*
Siku zote nchi za udictecta kosa kubwa sanna ambalo utakalolifanya ni kuzungumza ukweli tu je ukweli wa Othman maalim ndio uliomponza na hii ni ndoto ambayo ameisimulia tu Au ndo uislam na waislam wake hamuwataki kama hamutaki nchi hii iendelee kwa dini ndio maana munatafuta kila vyanzo vya sababu kuwakamata na kuwa fukuza masheikh wetu basi tuuweni sote Wazanzibar kwani hadi sasa waislam wa Zanzibar ni asilimia 99.2
Licha ya kuwa sheikh othman maalim akifanya kazi zenu zote za kisiasa na akikutumikieni hadi kwenye matangazo ya vyandarua lakini hiyo ndio inaitwa fanya wema nenda zako usingoje shukurani Sheikh othman ameacha kazi zake makaazi yake wanafunzi wake na watu wake wa karibu lkn kwa kuambiwa ukweli tu serekali imeamua kumtimua
Mambo yenu yaishie hukohuko tafadhali watu tumeshatandika ulanzi wetu tunasubiri Noah hapa maswala ya Sheikh cjui ndugu katika imaan yaishie hukohuko hapa ni ndugu katika makinikia upo Sheikh?Hivi ndio kitu kinachoitwa Ugaidi kinatengenezwa,kwani sheikh ana wanafunzi,wapenzi,ndugu na jamii ya hasa ndugu zake katka imani tutarajie nn hao watafurahia udhalilishaji huo?nchi inakwenda kibaya sana