Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
-
- #101
Mbussi,Sasa imekuwa serikali na siyo tena "necta parokia" ?
Nini kinawazuia kujenga vyuo sasa hivi?Serikali ikapiga marufuku EAMWS ikaunda BAKWATA.
Chuo hakikujengwa.
Laiti kama Waislam wangefanikiwa kujenga chuo hicho leo tungekuwa na vyuo vingi.
Congrats mzee wangu, sasa mbona unakua na mindset isiyo reflect usomi wako na exposure kubwa ulio nayo. Mbona hau live your testimony unakua huna tofaut na wale wazee wa vijiwen wanaoshinda misikin muda wote wakilalama !!.. kuna kitu kwako hakiko sawa. Na probably umesoma sana ila ukagoma kuelimika...umesafiri na kukitana na watu wengi sana ila shida ukakataa kubadilika to become a better version of yourselfIvan...
Hapana sina majuto katika maisha yangu.
Alhamdulilah.
Namshukuru Mungu.
Nimefanikiwa katika mengi khasa katika uandishi.
NImeandika vitabu na wachapaji wakubwa ulimwenguni.
Nimesafari kwingi duniani katika ujana wangu hadi utu uzima.
Kitabu changu cha hivi karibuni kama miezi mitatu iliyopita ni hicho hapo chini na ni kitabu changu cha kwanza kuchapwa na Amazon:
Ivan...Congrats mzee wangu, sasa mbona unakua na mindset isiyo reflect usomi wako na exposure kubwa ulio nayo. Mbona hau live your testimony unakua huna tofaut na wale wazee wa vijiwen wanaoshinda misikin muda wote wakilalama !!.. kuna kitu kwako hakiko sawa. Na probably umesoma sana ila ukagoma kuelimika...umesafiri na kukitana na watu wengi sana ila shida ukakataa kubadilika to become a better version of yourself
MohammedMbussi,
Upendavyo kuliona tatizo hili.
Muhimu ni kuwa maandamano yalifanyika ingawa yalizuiwa lakini Waislam walielezwa kuwa ushahidi wa dhulma upo lazima maandamano yafanyike liwalo na liwe kama nilivyoeleza.
Serikali ilipitia malalamiko ya Waislam na yaliyobakia sasa ni historia.
Mbussi,Mohammed
Tulimalize hili kwa ushauri tu, waimizeni vijana wenu pamoja na kiwasiditiza hiyo Elimu ya dini, waweke pia mkazo kwenye Elimu ya darasani. Hii ya kufaulu mitihani kwa njia ya kulalamika na maandamano haina afya sana.
Ahaaa, baada ya 1968 ikawaje au Nyerere aliendelea kuwakataza kujenga hicho chuo kikuu hata baada ya kuwa ameng'atuka? Mshukuruni Mkapa kuwapa kile cha Morogoro ambacho nacho ni taabu tupu jinsi kinavyoendeshwa!Mbussi,
Kama nilivyokueleza.
Wewe kadhia hii huwezi kuwa na majibu.
Majibu wanayo serikali.
Dr. Ndalichako anajua yote yalioelezwa kuhusu maandamano na mitihani ikasahihishwa upya.
Haki ikapatikana.
Hakuna afya kwa NECTA kujazwa na watendaji wa imani moja.
Ndiyo kisa bango likatahadharisha hilo.
Wewe utuhimize sisi umuhimu wa elimu watu tuliokuwa tunajenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968 serikali ikapiga marufuku EAMWS ikaunda BAKWATA?
Au huamini?
Mbussi,Ahaaa, baada ya 1968 ikawaje au Nyerere aliendelea kuwakataza kujenga hicho chuo kikuu hata baada ya kuwa ameng'atuka? Mshukuruni Mkapa kuwapa kile cha Morogoro ambacho nacho ni taabu tupu jinsi kinavyoendeshwa!
Matokeo ya mitihani kwenye shule nyingi za kiislamu mpaka leo hii tunayaona yalivyo mabovu ukilinganisha na zile za madhehebu mengine na za watu binafsi, au Ndalichako bado yupo baraza la mitihani?
Mohammed,Mbussi,
Nami narejea kukueleza kuwa yalifanyika maandamano dhidi ya NECTA na matokeo yakabadilishwa.
Au huamini?
Mbussi...Mohammed,
Yale matokeo siasa iliingilia kati. Ulishaona wapi matokeo yanarekebishwa kwa maazimio ya bunge?
Baadae tungeliona mabadiliko ya ufaulu ktk shule za kiislamu, lakini mambo ni yaleyale kazi kulalamika tu.