Sheikh Ponda Issa Ponda Alama ya Uadilifu

Sheikh Ponda Issa Ponda Alama ya Uadilifu

Prince...
Naam.
Vijana wa Kiislam wakapata haki zao.

Acha upotoshaji wewe mzee mnafiki,matokep ya 4m4 mwaka 2012 yalikua mabaya nchi nzima sababu kuu ni mitihani migumu na mabadiliko ya mpangilio wa matokeo kutoka division kiwa GPA,hizo habari za sijui walifelishwa wanafunzi wa kiislamu ni unafiki na propaganda za chuki ulizojaza moyoni mwako anduje wewe.
 
Unachanganya kusoma na kuelimika.
Kimsingi tunasoma ili kuelimika!! Japo kuna walliofeli wakaishia kusoma bila kuelimika!! Niambie huyu mtu wenu mnamweka fungu lipi? Nilivyokuelewa unataka kutuambai kuwa huyu mtu wenu hajasoma ila unataka kudanganya umma kuwa japo hajasoma ila ameelimika!! Tusidanganyane hakuna kuelimika bila kusoma!! Hiyo option ingekuwepo watu wasingetumia gharama kubwa kusoma!!

In short huyu jamaa hajasoma wala hajaelimika!!
 
Tuwekeeni hapa CV ya Ponda!! Tuone kaa kuna mwenye ubavu wa kufanya hivyo!!
 
Kimsingi tunasoma ili kuelimika!! Japo kuna walliofeli wakaishia kusoma bila kuelimika!! Niambie huyu mtu wenu mnamweka fungu lipi? Nilivyokuelewa unataka kutuambai kuwa huyu mtu wenu hajasoma ila unataka kudanganya umma kuwa japo hajasoma ila ameelimika!! Tusidanganyane hakuna kuelimika bila kusoma!! Hiyo option ingekuwepo watu wasingetumia gharama kubwa kusoma!!

In short huyu jamaa hajasoma wala hajaelimika!!
Hongera!
 
Tuwekeeni hapa CV ya Ponda!! Tuone kaa kuna mwenye ubavu wa kufanya hivyo!!
Mbingu...
Kwako wewe kusoma ni kusoma hadi uingie sekondari na labda zaidi ya hapo.

Mimi nimesomeshwa na waalimu ambayo hawakusoma kwa madarasa ya juu katika elimu hii ambayo wewe unataka uonyeshwe viwango vya Sheikh Ponda.

Sheikh Ponda kasoma tena vizuri sana elimu ya dini kiwango cha kuwa sheikh.

Sheikh Ponda ni hafidh yaani anaweza akakusomea Qur'an kutoka kichwani.

Sasa siwezi hapa nikakuekeza fani nyingine alizosoma mfano wa rarikh yaani historia, mantik, balagha, fiq nk. kwa kuwa itakuwa tabu kwako kuelewa.

Kwako wewe mtu aliyesoma na kuelimika ni yule aliyepitia elimu uliyokuwanayo wewe.

Mimi nimesomeshwa historia na Sheikh Ali bin Abbas mwanafunzi wa Sheikh Hassan bin Ameir.

Nikasoma elimu ya mijadala yaani mnakasha kutoka kwa Sheikh Haruna.
Elimu hizi nazitumia hapa JF na naamini mnafaidikanazo.

Nilikuwa nikimtaja mwalimu wangu Sheikh Ali Abbas katika kazi zangu kiasi James Brennan mmoja kati ya mabingwa wa historia ya Tanganyika alipokuja Tanzania aliniomba nimkutanishe na mwalimu wangu amuone.

Naamini Brennan akitatanishwa na mimi kumueleza mambo kadhaa ambayo yeye yalimsaidia katika tafiti zake na rejea zangu kuwa Sheikh Ali Abbas.

Ponda mpaka sasa kaandika vitabu viwili na ana miswada inakaribia 10 haijachapwa.

Lakini ikiwa unataka kuupima ubongo wa Sheikh Ponda msikilize anapozungumza.

Ukitaka kupima uwezo wa Sheikh Ponda na ''intellect'' yake soma kitabu chake hiki: ''Juhudi na Changamoto.''

Kitabu hiki mimi nimekifanyia pitio na kisha nikafanya mahojiano kuhusu kitabu hicho na Mohamed Ghassany wa DW.

1700143189919.png

1700146672546.png

James Brenna na Sheikh Ali Abbas nyumbani kwake Mwenge



 
Mbingu...
Kwako wewe kusoma ni kusoma hadi uingie sekondari na labda zaidi ya hapo.

Mimi nimesomeshwa na waalimu ambayo hawakusoma kwa madarasa ya juu katika elimu hii ambayo wewe unataka uonyeshwe viwango vya Sheikh Ponda.

Sheikh Ponda kasoma tena vizuri sana elimu ya dini kiwango cha kuwa sheikh.

Sheikh Ponda ni hafidh yaani anaweza akakusomea Qur'an kutoka kichwani.

Sasa siwezi hapa nikakuekeza fani nyingine alizosoma mfano wa rarikh yaani historia, mantik, balagha, fiq nk. kwa kuwa itakuwa tabu kwako kuelewa.

Kwako wewe mtu aliyesoma na kuelimika ni yule aliyepitia elimu uliyokuwanayo wewe.

Mimi nimesomeshwa historia na Sheikh Ali bin Abbas mwanafunzi wa Sheikh Hassan bin Ameir.

Nikasoma elimu ya mijadala yaani mnakasha kutoka kwa Sheikh Haruna.
Elimu hizi nazitumia hapa JF na naamini mnafaidikanazo.

Nilikuwa nikimtaja mwalimu wangu Sheikh Ali Abbas katika kazi zangu kiasi James Brennan mmoja kati ya mabingwa wa historia ya Tanganyika alipokuja Tanzania aliniomba nimkutanishe na mwalimu wangu amuone.

Naamini Brennan akitatanishwa na mimi kumueleza mambo kadhaa ambayo yeye yalimsaidia katika tafiti zake na rejea zangu kuwa Sheikh Ali Abbas.

Ponda mpaka sasa kaandika vitabu viwili na ana miswada inakaribia 10 haijachapwa.

Lakini ikiwa unataka kuupima ubongo wa Sheikh Ponda msikilize anapozungumza.

Ukitaka kupima uwezo wa Sheikh Ponda na ''intellect'' yake soma kitabu chake hiki: ''Juhudi na Changamoto.''

Kitabu hiki mimi nimekifanyia pitio na kisha nikafanya mahojiano kuhusu kitabu hicho na Mohamed Ghassany wa DW.

View attachment 2815624
View attachment 2815691
James Brenna na Sheikh Ali Abbas nyumbani kwake Mwenge



Mzee Said, dini imekuathili sana uwezi kuwaza zaidi inje ya Uislamu? Msomi kwako ni yule mwenye uwezo wa kukariri Qruan, siyo? Kwann kila kitabu unachotushawishi tusome vyote vina mlengo wa udini, hasa vinavyotukuza Uislamu. Issa Ponda hawezi kuandika kitabu kisicho cha malalamishi na uchochezi. Niambie ni kipi kati ya ulivyovisoma.
 
Mzee Mohamed Said wewe ni mwislamu mnafiki. Kwenye uzi wako kuhusu vurugu za mabucha ya kitimoto ulisema wakati wa vurugu uliingia mitini na kuacha waislamu wenzako wakiingia kwenye matatizo. Kwa mfano hiyo picha uliyopost yenye swali " NECTA PAROKIA?" nia yake ni nini kwa wakati tuliopo? Inajulikana wewe ni mtu mwenye nia ovu dhidi ya amani ya nchi hii ndo maana watu kama nyie mtaishia kulalamika tu mtandaoni ila mkijitokeza dola inalala nanyi sambamba. Mzee acha chokochoko. Kama kuna watu wanakulipa kwa huu ushenzi unaoandika hapa JF waambie ni ngumu sana kutimiza huo ujinga wenu ndani ya Tanzania.
Huyu ni wa kumpuuza tu mkuu, hana nia yoyote na ustawi wa taifa zaidi ya kusisitiza chuki za kidini.
 
Huyu ni wa kumpuuza tu mkuu, hana nia yoyote na ustawi wa taifa zaidi ya kusisitiza chuki za kidini.
City...
Nimejibu huko nyuma kuhusu hili suala la ''kuingia mitini.''
Hiyo si lugha yangu.

Ikiwa uko ushahidi na uwekwe hapa watu wausome.

Ama hili la mimi kupuuzwa si jambo jepesi na lingekuwa jepesi ungeanza wewe kuwa kimya huandiki kuhusu mimi.

Sijaandika chuki yoyote.

Kilichokuumiza wewe na mko wengi ni kuona kuw animefanikiwa kuirejesha historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika.
 
Mzee Said, dini imekuathili sana uwezi kuwaza zaidi inje ya Uislamu? Msomi kwako ni yule mwenye uwezo wa kukariri Qruan, siyo? Kwann kila kitabu unachotushawishi tusome vyote vina mlengo wa udini, hasa vinavyotukuza Uislamu. Issa Ponda hawezi kuandika kitabu kisicho cha malalamishi na uchochezi. Niambie ni kipi kati ya ulivyovisoma.
Mbussi,
Hakika Uislam umeniathiri sana na ndiyo inavyotakiwa kwani ni kitu chema mno.
Uislam unakufunza yote yaliyo mema na kukutaza yote maovu.

Nani hatopenda haya?
Kuhifadhi (hifdh) si kukariri.

Hili ni msingi wa elimu ya Uislam.
Soma kwanza kitabu cha Sheikh Ponda ujue alichoandika ndiyo tujadili.

Huwezi kujadili kitabu usichokisoma.

''Imekuathiri''
Jitahidi katika R/L.
 
Shehe watoto wenu Zanzibar wanapata F ya dini ya kiislamu. Shule zenu zinaongoza kutokea mkiani. Mkapa mkatoliki kawapa chuo cha tanesco mmekigeuza madrasa.
 
Mbussi,
Hakika Uislam umeniathiri sana na ndiyo inavyotakiwa kwani ni kitu chema mno.
Uislam unakufunza yote yaliyo mema na kukutaza yote maovu.

Nani hatopenda haya?
Kuhifadhi (hifdh) si kukariri.

Hili ni msingi wa elimu ya Uislam.
Soma kwanza kitabu cha Sheikh Ponda ujue alichoandika ndiyo tujadili.

Huwezi kujadili kitabu usichokisoma.

''Imekuathiri''
Jitahidi katika R/L.
Mohammed Said,
Kama kweli uislam unafunza yaliyo mema na kukemea maovu, ni kwann basi, Vikundi vya kigaidi karibu vyote vinaundwa na Waislam, chuki, ubaguzi kwa watu wasio wa imani ya kiislam, kuvaa mabomu na kujilipua ktkt ya makundi ya watu, uchokozi, uchochezi, wivu nk. nk ni baadhi ya tabia na matendo yanayo onekana waz yakifanywa na Waislam.

Tangu ubandike bango la "necta parokia" kwenye maandamano ya Issa Ponda, nimeishiwa hamu ya kusoma maandiko yake maana yatakuwa na mlengo huohuo wa kibaguzi.
 
City...
Nimejibu huko nyuma kuhusu hili suala la ''kuingia mitini.''
Hiyo si lugha yangu.

Ikiwa uko ushahidi na uwekwe hapa watu wausome.

Ama hili la mimi kupuuzwa si jambo jepesi na lingekuwa jepesi ungeanza wewe kuwa kimya huandiki kuhusu mimi.

Sijaandika chuki yoyote.

Kilichokuumiza wewe na mko wengi ni kuona kuw animefanikiwa kuirejesha historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika.
Huna lolote ni mpuuzi tu.
 
Shehe watoto wenu Zanzibar wanapata F ya dini ya kiislamu. Shule zenu zinaongoza kutokea mkiani. Mkapa mkatoliki kawapa chuo cha tanesco mmekigeuza madrasa.
Execute,
Sina taarifa hizo lakini ikiwa ni kweli hili ni jambo la kusikitisha.
Kuwa Mkapa katupa chuo ni historia ndefu naamini wewe huijui.

Kwa ufupi.
Waislam walikuwa wanajenga Chuko Kikuu chini ya East African Muslim Welfare Society (EAMWS) mwaka wa 1968.

Serikali ikapiga marufuku EAMWS ikaunda BAKWATA.
Chuo hakikujengwa.

Laiti kama Waislam wangefanikiwa kujenga chuo hicho leo tungekuwa na vyuo vingi.

Hii ni historia ya majonzi katika historia ya Waislam wa Tanzania.
Nimeieleza kwa kirefu katika kitabu cha Abdul Sykes (1998).
 
Back
Top Bottom