Sheikh Ponda Issa Ponda Alama ya Uadilifu

Sheikh Ponda Issa Ponda Alama ya Uadilifu

Mzee Mohamed Said wewe ni mwislamu mnafiki. Kwenye uzi wako kuhusu vurugu za mabucha ya kitimoto ulisema wakati wa vurugu uliingia mitini na kuacha waislamu wenzako wakiingia kwenye matatizo. Kwa mfano hiyo picha uliyopost yenye swali " NECTA PAROKIA?" nia yake ni nini kwa wakati tuliopo? Inajulikana wewe ni mtu mwenye nia ovu dhidi ya amani ya nchi hii ndo maana watu kama nyie mtaishia kulalamika tu mtandaoni ila mkijitokeza dola inalala nanyi sambamba. Mzee acha chokochoko. Kama kuna watu wanakulipa kwa huu ushenzi unaoandika hapa JF waambie ni ngumu sana kutimiza huo ujinga wenu ndani ya Tanzania.
 
kwa kilugha kwetu hilo username yako maana ake ni mbuzi, nafikiri unazijua tabia na hulka za huyu mnyama, nilipoona komenti yako inafanana na tabia hizo nikasema labda ndo maana umeamua kujiita hivo,
Sikushangai, inawezekana na wewe ni miongoni mwa wenzetu wa kulalamika na kuhisi wanaonewa kwa kila jambo. Fanyeni mambo yenu kwa ajili ya maendeleo yenu, siyo kusubri huruma, uchokozi na maandano. Shari kwenu mnaiona kama ujasiri.
 
Mzee Mohamed Said wewe ni mwislamu mnafiki. Kwenye uzi wako kuhusu vurugu za mabucha ya kitimoto ulisema wakati wa vurugu uliingia mitini na kuacha waislamu wenzako wakiingia kwenye matatizo. Kwa mfano hiyo picha uliyopost yenye swali " NECTA PAROKIA?" nia yake ni nini kwa wakati tuliopo? Inajulikana wewe ni mtu mwenye nia ovu dhidi ya amani ya nchi hii ndo maana watu kama nyie mtaishia kulalamika tu mtandaoni ila mkijitokeza dola inalala nanyi sambamba. Mzee acha chokochoko. Kama kuna watu wanakulipa kwa huu ushenzi unaoandika hapa JF waambie ni ngumu sana kutimiza huo ujinga wenu ndani ya Tanzania.
Naungana na wewe kwa % zote. Ni uchochezi na chuki zisiyokuwa na sababu "necta parokia". Wenzetu hawawezi kuaddress shida zao bila kuchokoza Imani nyingine alafu wapuuzi fulani wanataka serikali iruhusu maandano ya kipuuzi aina hii.
 
kwa kilugha kwetu hilo username yako maana ake ni mbuzi, nafikiri unazijua tabia na hulka za huyu mnyama, nilipoona komenti yako inafanana na tabia hizo nikasema labda ndo maana umeamua kujiita hivo,
Nadhani ungejiita "Wakulengwa" kwa hii comment yako ya kipumbavu uliyoandika
 
Lax: Kwann Waislam ndiyo waandae maandano ya kupinga kinachoendelea Gaza, nani alishaitangazia dunia kuwa hiyo vita ni ya kidini? Uhai wa kila mwanadamu ni muhimu, sijaona dhehebu lolote lina andaa maandano kwa kile kinachotokea Ukraine. Mtailaumu serikali lakini inajuwa inachokifanya.
Marekani , uk na maeneo mengine ya west watu wanafanya maandamano haya ( wa dini mchanganyiko + hadi wasiokua wa dini) hili la kwanza.
Pili kutoona watu hawaandai maandamano yoyote kwa ajili ya ukraine sina jibu lakukupa hapa, lakini huwezi sema watu wasiandamane kisa hawajaandamana kwa ukraine
Msisitizo
Kwanza fahamu mgogoro wa israel na palestine ni wa muda mrefu (miaka ya kutosha mtu kazaliwa hadi kawa babu)
na ukifatilia hata nchi za west watu wameanza kua na muamko mkubwa kupita kiasi kipindi hiki kwa sababu ya wanachofanya israel wanabonda hadi mahospitali

Swali kwako; mrusi anachapana na ukraine kaua raia wa kawaida wangapi wa ukraine? Na israel anachapana na kikundi cha hamas ameua raia wa kawaida wangapi?

Mwisho siyo issue ya mgogoro wa kidini sjui nini , hii ni political conflict ,
NA ndomaana hata Vatican nayo inaungana na wengi kusema kwamba watu warejee kwenye two-states solution huku jerusalem ikipewa hadhi ya kipekee

hii october kilivowashwa kuna nyuzi hapa jf kuna mtu alitaka kuanza bla bla za conflict ya dini nikamjibu hivi na quote


Comment
Iwe wanampinga kristo hawampingi haiondoi au kubadirisha ambacho Mungu alisema!
Neno la Mungu halibadiriki!
Lkn pia Israel Kuna dini kibao km nchi nyingine..

My reply
kwenye mgogoro huu, mtu ukitaja na hoja za maandiko ya dini yoyote ile, tayari ushapoteza mantiki

The idea ni kupata suluhu hapo middle east
 
Marekani , uk na maeneo mengine ya west watu wanafanya maandamano haya ( wa dini mchanganyiko + hadi wasiokua wa dini) hili la kwanza.
Pili kutoona watu hawaandai maandamano yoyote kwa ajili ya ukraine sina jibu lakukupa hapa, lakini huwezi sema watu wasiandamane kisa hawajaandamana kwa ukraine
Msisitizo
Kwanza fahamu mgogoro wa israel na palestine ni wa muda mrefu (miaka ya kutosha mtu kazaliwa hadi kawa babu)
na ukifatilia hata nchi za west watu wameanza kua na muamko mkubwa kupita kiasi kipindi hiki kwa sababu ya wanachofanya israel wanabonda hadi mahospitali

Swali kwako; mrusi anachapana na ukraine kaua raia wa kawaida wangapi wa ukraine? Na israel anachapana na kikundi cha hamas ameua raia wa kawaida wangapi?

Mwisho siyo issue ya mgogoro wa kidini sjui nini , hii ni political conflict ,
NA ndomaana hata Vatican nayo inaungana na wengi kusema kwamba watu warejee kwenye two-states solution huku jerusalem ikipewa hadhi ya kipekee

hii october kilivowashwa kuna nyuzi hapa jf kuna mtu alitaka kuanza bla bla za conflict ya dini nikamjibu hivi na quote


Comment


My reply


The idea ni kupata suluhu hapo middle east
Lax: the point is, sishabikii mauaji yanayoendelea huko Gaza, issue ni aina ya uwasilishaji wa kibaguzi wa hoja ya mzee Mohamed kwamba Ponda ni mwadilifu ktk Uislamu na ndiyo maana anaratibu na kuandaa maandano kulaani kinachoendelea huko Gaza. Ameenda mbali kwa kuilaumu BAKWATA. Hii ina maana kwamba kama siyo Uislamu basi huyu mzee yuko tayari kuona jamii hisipokuwa ya kiislam ikimwaga damu. La sivyo kama swala ni kupinga na kulaani mauaji duniani, huyu mzee na Ponda wake wangeanza na Ukraine, au tangu mwanzo walau wangelilaani kilichofanywa na Hamas.

Kwamba Ukraine raia wangapi wamekufa? Nikushangae kidogo, unataka wafe wangapi ndiyo ujue kumwaga damu ni kitu kibaya?. Silaa za Putin uko Ukraine zinawabagua raia? Kifupi watu wa aina zote wanakufa Ukraine pengine sawa tu na kinachofanyika Gaza.
 
Hapa ndipo penye mtihani wa BAKWATA.
BAKWATA wanataka kuwa kiongozi wa Waislam.

Kuwa kiongozi wa Waislam kunataka imani ya hali ya juu na kujitolea kwa lolote.
.
Kuwa kiongozi wa Waislam kunataka kumtegemea Allah na kutomuogopa yeyote ila Allah Pekee.

Ponda kasimama dhidi ya dhulma za Baraza la Mitihani (NECTA) dhidi ya wanafunzi Waislam na kutangaza maandamano kama haya ya kuwaunga mkono Wapalestina.

Polisi wakatoa onyo kali kwa watakaotoka kuandamana.

Sheikh Ponda katika sala ya Ijumaa Msikiti wa KIchangani akawaambia Waislam, 'Kama hatukuandamana kwa dhulma hii ya NECTA tufanywe lipi ili tuandamane?''

Sheikh Ponda aliwauliza Waislam akiwa kasimama mbele kwenye kibla cha msikiti wa Kichangani.

Hotuba yake kwa Waislam jinsi vijana wa Kiislam wanavyodhulumiwa na NECTA ulijaza msikiti nzima simanzi.

Akawaambia Waislam.
''Tumekusanya ushahidi wote tunao.''

Ndani ya msikiti wamejaa makachero.
Nje ya msikiti kuna Defender na askari wamevalia mavazi ya mapambano.

Juu inapita helicopter.
Matangazo yametolewa Waislam wasithubutu kuandamana.

"Kama hatukuandamana kwa hili tutaandamana kwa lipi?
Mimi nitatangulia mbele kuongoza maandamano haya."

Hapo akaipa mgongo hadhira yake akaelekea kibla akanyanyua mikono yake kumkabili Allah kuomba nusra ya umma ule uliokuwa tayari kulikabili Jeshi la Polisi lenye silaha.

Allah aliwanusuru waandamanaji wote.

Maandamano yanafika Jangwani habari zinatangazwa Waislam wanaombwa waandamane kwa amani waelekee Kidongo Chekundu wasiingie mjini hapo viongozi watapokelewa na Polisi na kupelekwa Makao Makuu ya Wizara ya Ndani na ndipo Waraka wa Shura utapokelewa.

Wataalamu haraka waliishauri waliishauri serikali vizuri polisi wasipambane kwa kuwa yote aliyosema Sheikh Ponda msikiti ni kweli tupu.

Polisi haiwezi kuwashambulia Waislam kwani itakuwa fedheha kubwa ukweli utakapojulikana.

Vijana wote wanafunzi wa Kiislam waliodhulumiwa na NECTA walipata haki zao.

Sheikh Ponda alikuwa mstari wa mbele akiongoza maandamano yale.
Serikali ikijua yote yaliyofanyika NECTA dhidi ya wanafunzi wa Kiislam.

Hii ilikuwa mwaka wa 2012.

Leo Sheikh Ponda kasimama tena dhidi ya dhulma ya Ghaza na mauaji ya Wapalestina.

Kakamatwa.
Umma unasubiri.

Turejee nyuma miaka 10 iliyopita BAKWATA wanaotaka uongozi walisimama wapi sakata la NECTA?

Leo BAKWATA wamesimama upande gani katika mauaji ya Wapalestina Ghaza?

View attachment 2810973
View attachment 2810976
View attachment 2810982
View attachment 2810978
Sheikh Ponda akizungumza na Vyombo Vya Habari
(Picha ya zamani)
Sheikh Ponda ni mnafiki Wacongo waafrika wanauwawa kila siku hataki kuandamana lkn waarabu anataka kuandamana.

Mpuuzi wa kiwango cha SGR.
 
Lax: the point is, sishabikii mauaji yanayoendelea huko Gaza, issue ni aina ya uwasilishaji wa kibaguzi wa hoja ya mzee Mohamed kwamba Ponda ni mwadilifu ktk Uislamu na ndiyo maana anaratibu na kuandaa maandano kulaani kinachoendelea huko Gaza. Ameenda mbali kwa kuilaumu BAKWATA. Hii ina maana kwamba kama siyo Uislamu basi huyu mzee yuko tayari kuona jamii hisipokuwa ya kiislam ikimwaga damu. La sivyo kama swala ni kupinga na kulaani mauaji duniani, huyu mzee na Ponda wake wangeanza na Ukraine, au tangu mwanzo walau wangelilaani kilichofanywa na Hamas.

Kwamba Ukraine raia wangapi wamekufa? Nikushangae kidogo, unataka wafe wangapi ndiyo ujue kumwaga damu ni kitu kibaya?. Silaa za Putin uko Ukraine zinawabagua raia? Kifupi watu wa aina zote wanakufa Ukraine pengine sawa tu na kinachofanyika Gaza.

Issue ya bakwata tuweke pembeni maana hata waislamu asilimia nyingi huwa wanailaumu kwa mambo mengi sana,
Kuna namna unaweza sema ni kama cwt dhidi ya walimu.

Kuhusu kulaani matendo ya hamas ya hapa october,
HApa kwanza narudia kusema tena mgogoro ule ni wa muda mrefu,

Pili ukakasi wa kurukia kulaani hamas unakuja pale ambapo mataifa mengi yenye nguvu marekani, uk na washirika wake kikinukaga kama hivi raia wapalestina kwao hugeuka kama sio watu nahii haijaishia kwenye izo serikali tu hata media kubwa za west zinavoreport coverage ya habari mfano week ya kwanza baada ya hamas kushambulia hii october vyombo vya habari kama bbc, wanareport mfano " 50 israel citizens killed ... 50 palestians died"

Hapa nikuulize swali hata wewe kwamba 50 israelis killed (by hamas) , 50 palestinians died ( died kivipi kwanini hawaandika "killed" ambayo kwenye mabano (by idf)

Sasa ndo hali kama hii ikawa inaleta huzuni hata kwa baadhi ya wazungu na waamerica
IDF mwanzo ikareport hamas kawachoma moto watoto kama 40, kashindwa prove na infact ni uongo na zile claims zimepotea, lakini IDF hii hii imesha fyeka watoto wasio na idadi wakiwa mahospitali ama makambi ya wakimbizi

Taja media yoyote ya magharibi iliyolaani hili? Marekani, uk, france EU ??

(Utasikia tu kuna hamas walikua wamejificha mule)
swali la nyongeza ukisema wamewau kijumuishi kwa sababu kulikua na hamas mbona kule Westbank napo wapalestina wanadondoka izo nchi kubwa nani kakemea?

Wewe utapata ujasiri wa kulaani hamas unautoa wapi?



Issue ya ukraine sihitaji idadi ngapi sjui kusema kwamba umwagaji damu ni mbaya

Lakini unataka kunishangaa japo hujataja civilian casualties ya ukraine ipoje, maana ya palestina hii inafahamika na ipo wazi mtu kutoijali ni kufumbia macho tu,


Mwisho nikusihi mara mojamoja uwe unapitia aljazeera skiliza analysts wanaohojiwa kule chambua point zao vizuri.


Wewe kama kweli mpenda amani na mtu wa kukemea umwagaji damu itakua ni jamno la kushangaza kuona unaona huzuni kwa ukraine zaidi kuliko hali ya wapalestina itakua kitu cha kushangaza sana

Ni kama msanii mmoja pale marekani alipost instagram picha ya majengo yakiwa yamefyekwa vibaya mno with caption i stand with israel, baada ya kupata backlash kwanza ile picha ni ya gaza alifuta post na hakuongelea tena ( natumai unaona reality iliyopo)
 
Naungana na wewe kwa % zote. Ni uchochezi na chuki zisiyokuwa na sababu "necta parokia". Wenzetu hawawezi kuaddress shida zao bila kuchokoza Imani nyingine alafu wapuuzi fulani wanataka serikali iruhusu maandano ya kipuuzi aina hii.
Mbussi...
Umeghadhibika ndiyo kisa unatukana.

Nimeandika paper nzima ya mabucha: "Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma (1940 - 1994) And the Dar-es-Salaam Pork Riots of 1993," na hakuna mahali nimetumia lugha ya mitini.

Paper hii nilizungumza Kenyatta University 2006.
 
Issue ya bakwata tuweke pembeni maana hata waislamu asilimia nyingi huwa wanailaumu kwa mambo mengi sana,
Kuna namna unaweza sema ni kama cwt dhidi ya walimu.

Kuhusu kulaani matendo ya hamas ya hapa october,
HApa kwanza narudia kusema tena mgogoro ule ni wa muda mrefu,

Pili ukakasi wa kurukia kulaani hamas unakuja pale ambapo mataifa mengi yenye nguvu marekani, uk na washirika wake kikinukaga kama hivi raia wapalestina kwao hugeuka kama sio watu nahii haijaishia kwenye izo serikali tu hata media kubwa za west zinavoreport coverage ya habari mfano week ya kwanza baada ya hamas kushambulia hii october vyombo vya habari kama bbc, wanareport mfano " 50 israel citizens killed ... 50 palestians died"

Hapa nikuulize swali hata wewe kwamba 50 israelis killed (by hamas) , 50 palestinians died ( died kivipi kwanini hawaandika "killed" ambayo kwenye mabano (by idf)

Sasa ndo hali kama hii ikawa inaleta huzuni hata kwa baadhi ya wazungu na waamerica
IDF mwanzo ikareport hamas kawachoma moto watoto kama 40, kashindwa prove na infact ni uongo na zile claims zimepotea, lakini IDF hii hii imesha fyeka watoto wasio na idadi wakiwa mahospitali ama makambi ya wakimbizi

Taja media yoyote ya magharibi iliyolaani hili? Marekani, uk, france EU ??

(Utasikia tu kuna hamas walikua wamejificha mule)
swali la nyongeza ukisema wamewau kijumuishi kwa sababu kulikua na hamas mbona kule Westbank napo wapalestina wanadondoka izo nchi kubwa nani kakemea?

Wewe utapata ujasiri wa kulaani hamas unautoa wapi?



Issue ya ukraine sihitaji idadi ngapi sjui kusema kwamba umwagaji damu ni mbaya

Lakini unataka kunishangaa japo hujataja civilian casualties ya ukraine ipoje, maana ya palestina hii inafahamika na ipo wazi mtu kutoijali ni kufumbia macho tu,


Mwisho nikusihi mara mojamoja uwe unapitia aljazeera skiliza analysts wanaohojiwa kule chambua point zao vizuri.


Wewe kama kweli mpenda amani na mtu wa kukemea umwagaji damu itakua ni jamno la kushangaza kuona unaona huzuni kwa ukraine zaidi kuliko hali ya wapalestina itakua kitu cha kushangaza sana

Ni kama msanii mmoja pale marekani alipost instagram picha ya majengo yakiwa yamefyekwa vibaya mno with caption i stand with israel, baada ya kupata backlash kwanza ile picha ni ya gaza alifuta post na hakuongelea tena ( natumai unaona reality iliyopo)
Lax: Nashukuru umegusia tatizo lilipo. Shida kubwa iliyopo ni kuwa baadhi ya watu wamechagua upande wa vyombo vya habari aidha vya Magharibi au vya Kiarabu. Propaganda za haya matukio zipo kila upande, lakini kwasababu watu wameshachukia mataifa ya Magharibi kila taarifa itakayotolewa kwao ni ya uongo na itakayotolewa na Aljazeera ni ya ukweli! Upotoshaji ni mkubwa kila upande. Yote kwa yote mauwaji ni makubwa kwa Wapalestina na yanapaswa kulaaniwa na kila mwanadamu. Shida ni pale baadhi watu wanavyolichukulia kama agenda ya kujiimarisha kidini.

Utakuwa Shahidi wewe mwenyewe, jinsi vyombo vya habari vya nchi za Magharibi vinavyoripoti vifo vya watu Ukraine ni tofauti kabisa na jinsi Urusi inavyoripoti ikisaidiwa na hiyo Aljazeera. Muhimu ni kuwa makini na upotoshaji.
 
Marekani , uk na maeneo mengine ya west watu wanafanya maandamano haya ( wa dini mchanganyiko + hadi wasiokua wa dini) hili la kwanza.
Pili kutoona watu hawaandai maandamano yoyote kwa ajili ya ukraine sina jibu lakukupa hapa, lakini huwezi sema watu wasiandamane kisa hawajaandamana kwa ukraine
Msisitizo
Kwanza fahamu mgogoro wa israel na palestine ni wa muda mrefu (miaka ya kutosha mtu kazaliwa hadi kawa babu)
na ukifatilia hata nchi za west watu wameanza kua na muamko mkubwa kupita kiasi kipindi hiki kwa sababu ya wanachofanya israel wanabonda hadi mahospitali

Swali kwako; mrusi anachapana na ukraine kaua raia wa kawaida wangapi wa ukraine? Na israel anachapana na kikundi cha hamas ameua raia wa kawaida wangapi?

Mwisho siyo issue ya mgogoro wa kidini sjui nini , hii ni political conflict ,
NA ndomaana hata Vatican nayo inaungana na wengi kusema kwamba watu warejee kwenye two-states solution huku jerusalem ikipewa hadhi ya kipekee

hii october kilivowashwa kuna nyuzi hapa jf kuna mtu alitaka kuanza bla bla za conflict ya dini nikamjibu hivi na quote


Comment


My reply


The idea ni kupata suluhu hapo middle east
Lax: Nashukuru umegusia tatizo lilipo. Shida kubwa iliyopo ni kuwa baadhi ya watu wamechagua upande wa vyombo vya habari aidha vya Magharibi au vya Kiarabu. Propaganda za haya matukio zipo kila upande, lakini kwasababu watu wameshachukia mataifa ya Magharibi kila taarifa itakayotolewa kwao ni ya uongo na itakayotolewa na Aljazeera ni ya ukweli! Upotoshaji ni mkubwa kila upande. Yote kwa yote mauwaji ni makubwa kwa Wapalestina na yanapaswa kulaaniwa na kila mwanadamu. Shida ni pale baadhi watu wanavyolichukulia kama agenda ya kujiimarisha kidini.

Utakuwa Shahidi wewe mwenyewe, jinsi vyombo vya habari vya nchi za Magharibi vinavyoripoti vifo vya watu Ukraine ni tofauti kabisa na jinsi Urusi inavyoripoti ikisaidiwa na hiyo Aljazeera. Muhimu ni kuwa makini na upotoshaji.
Mbussi...
Unajua chochote kuhuhu hayo hapo chini?:

1699905619652.jpeg


 
Mbussi...
Umeghadhibika ndiyo kisa unatukana.

Nimeandika paper nzima ya mabucha: "Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma (1940 - 1994) And the Dar-es-Salaam Pork Riots of 1993," na hakuna mahali nimetumia lugha ya mitini.

Paper hii nilizungumza Kenyatta University 2006.
Ni kweli Mohamed Said, inagadhabisha. Katika agenda yenu ya maandano kule NECTA kwa mfano, hilo bango la Parokia lilikuwa na maana gani kama si chokochoko za kidini? Kwanini mkiwa na madai yenu serikalini muwaingize na wasiohusika? Na si wewe tu mzee Mohamed, kuna wakati ukisikiliza Radio Iman utajuwa wazi kuwa nyie watu mmejaa chuki dhidi ya Imani ya watu wengine hasa katoliki.

Hayo ya Mwembechai tuyaache, lakini kitimoto kama ni kufru ktk Imani yenu, msilazimishe wengine.
 
Ni kweli Mohamed Said, inagadhabisha. Katika agenda yenu ya maandano kule NECTA kwa mfano, hilo bango la Parokia lilikuwa na maana gani kama si chokochoko za kidini? Kwanini mkiwa na madai yenu serikalini muwaingize na wasiohusika? Na si wewe tu mzee Mohamed, kuna wakati ukisikiliza Radio Iman utajuwa wazi kuwa nyie watu mmejaa chuki dhidi ya Imani ya watu wengine hasa katoliki.

Hayo ya Mwembechai tuyaache, lakini kitimoto kama ni kufru ktk Imani yenu, msilazimishe wengine.
Mbussi,
Maana yake watendaji Wakatoliki wamehodhi NECTA.
 
Amani itunzwe kwa gharama yeyote.
Unapozungumzia migogoro ya mashariki ya Kati, unagusa dini ya Kiislamu, Kikristo na Kiyahudi. Wakristo wanaamini Yesu Kristo alikuwa Yahudi hivyo imani yao ni directly linked Mayahudi.

Sasa Waislam wakiruhusiwa kuandamana kupinga mauaji ya Wapalestina, Wakristo nao wakaandamana kupinga mauaji na utekaji wa Mayahudi ya October 7, automatically tutaanza mabishano ya Kidini na baadaye vita kamili.

Ikiwa serikali ya Tanzania Ina nia ya kutunza Amani ya nchi hii; inapaswa kupiga marufuku maandamano ya Aina yeyote yanayohusu mashariki ya Kati.
Uzi ufungwe hapa. Kwa nchi zetu ambazo watu wako na mahaba na dini bila reasoning ni sahihi kuyazuia maandamano. Nachelea kusema dini kwa mtu mweusi imegeuka shubiri badala ya kumstaarabisha. Tupo kama vipofu. Hatuchambui mambo kwa mapana. Mradi mwarabu au myahudi basi sisi akili zinayeyuka kabisa na hisia kushika usukani.
 
Mohamed, hapana. Ni mara yangu ya kwanza kuona hichi ulichokileta. Sikubishii lakini angalizo tu, propaganda ni kubwa sana tuwe waangalifu.
Mbussi...
Nimepita katika mikono ya wachapaji wakubwa ulimwenguni mfano wa Oxford University Press na wamenifunza mengi yenye faida.

Ninajua mengi sana kwa ushshidi.
Umesoma kitabu cha Abdul Sykes?

Kama bado anza na kitabu hicho.
 
Lax: Nashukuru umegusia tatizo lilipo. Shida kubwa iliyopo ni kuwa baadhi ya watu wamechagua upande wa vyombo vya habari aidha vya Magharibi au vya Kiarabu. Propaganda za haya matukio zipo kila upande, lakini kwasababu watu wameshachukia mataifa ya Magharibi kila taarifa itakayotolewa kwao ni ya uongo na itakayotolewa na Aljazeera ni ya ukweli! Upotoshaji ni mkubwa kila upande. Yote kwa yote mauwaji ni makubwa kwa Wapalestina na yanapaswa kulaaniwa na kila mwanadamu. Shida ni pale baadhi watu wanavyolichukulia kama agenda ya kujiimarisha kidini.

Utakuwa Shahidi wewe mwenyewe, jinsi vyombo vya habari vya nchi za Magharibi vinavyoripoti vifo vya watu Ukraine ni tofauti kabisa na jinsi Urusi inavyoripoti ikisaidiwa na hiyo Aljazeera. Muhimu ni kuwa makini na upotoshaji.
Tuendelee kuwaombea wale watu wapate amani
 
Back
Top Bottom