Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,206
- 1,464
Mbona bado msikiti anaoswali watu wamejaa pomoni? Angepiga marufuku wasiswali aone kama hajabaki peke yake. Kila nafsi itaonja mauti akiwemo na yeye, wewe na mimi! TUSITISHANE!!!View attachment 1702454
Sheikh Ponda ambaye ni miongoni mwa Masheikh wanaoheshimika sana na Waislam wa Afrika kutokana na kupigania haki za Waislam bila uoga amesema Juhudi za Makanisa kuwaelekeza waumini wao njia bora za kujikinga na Corona haziwahusu waumini hao pekee, bali zinawahusu wananchi wote wa Tanzania.
Amewaasa wananchi wote kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa hatari wa Corona .
Chanzo: MwanaHalisi Digital
anasubiria mizigoSheikh kipoozeo amesemaje yeye!?
πππ Hakuna anayekutisha ila tambua kwamba kule makumbusho wanakochomea mabohora na wahindi foleni ya kuchoma imefika barabaraniMbona bado msikiti anaoswali watu wamejaa pomoni? Angepiga marufuku wasiswali aone kama hajabaki peke yake. Kila nafsi itaonja mauti akiwemo na yeye, wewe na mimi! TUSITISHANE!!!
Jumuiya ipi iliyomkana Ponda ?Jumuiya anayodai kuiwakilisha ilishamkana kitambo!!! ...
Ni mawazo yake binafsi, na ya chama chake cha siasa alichojinasibisha wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita.
Lakini kama Mtanzania ana haki ya kutoa mawazo yake wakati wowote anapojisikia, ingawa alichokinena hakina upy !.
MwanaHalisi DigitalAmeyasema hayo yeye akiwa wapi
Kaenda hapo akaenda kuongea hayo au waandishi walimfuta kwake wakaenda kumhojiMwanaHalisi Digital
Yuko upande wa UKWELI na HAKI.Hivi havina uaondeAmeongea kwa niaba ya Chadema au waislamu?