simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Tunakoelekea Wanzanzibari watamwaga damu zao kulinda kura na heshima yao. Sisemi mimi bali alama za nyakati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SHEHE Ponda sio mzanzibarI akamatwe UPESI akaungane na mashehe wenzie ndani. Zanzibar ni nchi kamili na huru.Hawezi fanya Tanzania bara eneo lake la kuishambulia nchi ya zanzibar .AKAMATWE UPESI
Ndio makamanda uchwara walivyo hao.
mtafungwa kweli kuchochea matatizo ya nchi nyingine ukiwa ndani ya Tanzania jela ujiandaeKama maoni ni jela basi sisi wa vijiweni mtatufunga sana
Sent from my iPhone using Tapatalk
LA UHAINI DHIDI YA NCHI YA ZANZIBAR WAKATI YEYE SIO MZANZIBARIAkamatwe kwa kosa gani?
AYAONE YA NCHI YAKE TANGANYIKA SIO YA NCHI NYINGINE YA ZANZIBARYy kaliona kwa jicho la3. Lakin maneno yake sio sheria au MSAHAFU.
Sent using Jamii Forums mobile app
WAPINGA zanzibar wako tanzania bara!!!! nyumba zao,biashara zao zote ziko bara.Ndio maana likitokea la kutokea zanzibar wao hao utawakuta wako wanakula kuku kwa mrija Tanzania bara wanaacha wenzao wanakula virungu zanzibarZanzibar is a ticking bomb kwa Tanganyika.
Isipotumika akili ya ziada basi tegema kuona Mfekane War kubwa siku sijazo.
Kama mchakato uliofanywa ZnB ni huo, basi ndio kwanza mbegu ya machafuko kupandwa. Sh.Ponda Kasema ukweliBwashee kwani hayo aliosema ni uongo?
Sema itaheshimu vyema pinzani sio watanzania usisema kwa ujumla japo hata Mimi siipendi
WAPINGA zanzibar wako tanzania bara!!!! nyumba zao,biashara zao zote ziko bara.Ndio maana likitokea la kutokea zanzibar wao hao utawakuta wako wanakula kuku kwa mrija Tanzania bara wanaacha wenzao wanakula virungu zanzibar
Kama Zanzibar huru, ilikuwaje wale mashekhe wakatiwa Jela Tanganyika mwaka wa nane huu? Au ndio uhuru wenyewe huo? Uko huru kufanya utakalo Zanzibar ukitokea tanganyikamtafungwa kweli kuchochea matatizo ya nchi nyingine ukiwa ndani ya Tanzania jela ujiandae
Zanzibar ni nchgi huru .Tanzania bara haiwezi tumika kama kambi ya waasi wa kuishambulia zanzibar.Ponda asiachwe akamatwe.Ya zanzibar waachiwe wazanzibari wenyewe wenye vitambulisho vya ukaazi wa ZANZIBAR
Mnayoyafanya nyinyi kinyume na taratibu nisahihi na mko sawa?SHEHE Ponda sio mzanzibarI akamatwe UPESI akaungane na mashehe wenzie ndani. Zanzibar ni nchi kamili na huru.Hawezi fanya Tanzania bara eneo lake la kuishambulia nchi ya zanzibar .AKAMATWE UPESI
Leo ni nchi huru baadaye mnasema si nchi.mtafungwa kweli kuchochea matatizo ya nchi nyingine ukiwa ndani ya Tanzania jela ujiandae
Zanzibar ni nchgi huru .Tanzania bara haiwezi tumika kama kambi ya waasi wa kuishambulia zanzibar.Ponda asiachwe akamatwe.Ya zanzibar waachiwe wazanzibari wenyewe wenye vitambulisho vya ukaazi wa ZANZIBAR
Mbona mliwakamata mashekhe na mkawapeleka Tanganyika wakati walikuwepo Zanzibar.AYAONE YA NCHI YAKE TANGANYIKA SIO YA NCHI NYINGINE YA ZANZIBAR
ponda anakamatwa anapelekwa zanzibarMbona mliwakamata mashekhe na mkawapeleka tanganyika wakati walikuwepo Zanzibar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chanzo cha machafuko Hongkong ni kupinga taratibu ya kuwashtaki watuhumiwa China bara badala ya kisiwani Hongkong.Mbona mliwakamata mashekhe na mkawapeleka tanganyika wakati walikuwepo Zanzibar.
Sent using Jamii Forums mobile app